Mkurugenzi jana nimeona anatangaza fursa nyingine.....hahahaha! Vitunguu swaumu, eti soko anatafuta yeye wewe kazi yako ni kukodi shamba, pembejeo, mbegu, nk ni juu yake, picha anaweka za India kwa msaada wa google ..ila mara hii naona uso wake umetakata Sana, kanawiri!Huyo mkurugenzi sura yake na pozi wakati akitangaza lazima upate uwalakini
Hii thread ni wake-up call, kama watu wataingia kichwa kichwa, wakisha pigwa wasitulaumu. We have played our roleMkurugenzi jana nimeona anatangaza fursa nyingine.....hahahaha! Vitunguu swaumu, eti soko anatafuta yeye wewe kazi yako ni kukodi shamba, pembejeo, mbegu, nk ni juu yake, picha anaweka za India kwa msaada wa google ..ila mara hii naona uso wake umetakata Sana, kanawiri!
Watanzania kuna kitu tumewekewa vichwani mwetu na kinasambaa kupitia kizazi!
Mkuu Alvin A., hayo maswali yako ya msingi kuhusu kilimo/ biashara ya vanilla hakuna mtu aliyeyajibu mpaka sasaNawasikilizaga weee nabaki nacheka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani
1. Wakupe shamba
2. Pembejeo
3. Mwangalizi/kibarua wakukufanyia kazi kama upo mbali
Halafu wewe uvune faida ukiwa Dar??
Nanusa harufu ya kupigwa hapa.
Km wanapemnejeo, mashamba, vibarua, madawa na mbegu kwanini wasifanye wao.
Hii itakua kama Mr. Kuku
Usiwe na wasiwasi Mkuu, Laiti km mradi huu ungekuwa na walakini bila shaka Viongozi wa Serikali wasingekuwa wanaenda kuunadi.Uwekezaji huu kama wa Sungura, Mr Kuku , Jatu &Co nilishaukataa kabisaa
Mkuu pale Vanilla village ndo wameanza mwaka huu,kwa hiyo sijashuhudia bado.Ndugu tuletee mtu ambaye ameuza akapata hiyo Tsh 850,000 kwa kilo atupe unshuhuda
Km huyu jamaa wa Vanilla village atakuwa amewaingiza Chaka viongozi wote waliokwenda pale, basi kuna walakini ktk mbongo za viongozi wetuUmesahau ya songea mkuu yule jamaa aliye nunua mahind kwa Bei kubwa na kuuza kwa Bei ndogo
Had makamu wa Rais ambaye Rais Sasa alienda na kumpongeza jamaa
Watanzania tusiwe wasahaulifu jaman
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hivi Qnet haikuzinduliwa na kiongozi fulani wa serikali?Usiwe na wasiwasi Mkuu, Laiti km mradi huu ungekuwa na walakini bila shaka Viongozi wa Serikali wasingekuwa wanaenda kuunadi.
Kiongozi yupi aliyeizindua??.Hivi Qnet haikuzinduliwa na kiongozi fulani wa serikali?
Duh . Nani huyo mkuuHata yule wa Ruvuma mnunuaji mahindi kwa bei juu walienda na akamsifia ila haukupita muda tukasikia mayowe na jamaa kapotea
Nini kilimkuta mkuuUmesahau ya songea mkuu yule jamaa aliye nunua mahind kwa Bei kubwa na kuuza kwa Bei ndogo
Had makamu wa Rais ambaye Rais Sasa alienda na kumpongeza jamaa
Watanzania tusiwe wasahaulifu jaman
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Jamaa aliwatapeli wananchi mahind tani nying za kutosha na kwenda kuziuza nchi jiran ya Kenya na wananchi hawakupta chochote had leo hiiNini kilimkuta mkuu
Peramiho yetu Uko deep sana kwa kweli na nakupongeza kwa kuweka mifano hai. Sasa hawa wanakwenda kichwa kichwa hasa wastaafu wa PSSSF sisi tumefanya kazi yetu. Wakilizwa na Simon Mkondya wasije kutusumbuaJamaa aliwatapeli wananchi mahind tani nying za kutosha na kwenda kuziuza nchi jiran ya Kenya na wananchi hawakupta chochote had leo hii
Kwan malipo yake yalikuwa ukisha pima mahind yako malipo yako baada ya siku 2 naye akatumia mwanya huo kutokomea na mahind
Nasikia alidakwa
Q net ilizinduliwa na Dr khamis kigwangala ...
Mr kuku .. wazir wa uwekezaji wa wakat huo alitimiza vijana wawekeze kwa mwamba wa kuku
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hiyo ni fikra ya kizamani sana. Lima kwa kutumia teknolojia ya kisasa na utaona faida yake.Narudia, ukitaka kuwa maskini nchi hii basi kuwa mkulima.
Kuipata kilo ya vanilla siyo mchezo hata kidogo. Hiyo bei bado ni ndogo.Kweli aisee hata mimi siku nilipoliona tangazo ilibidi nirudie kutazama bei tena na tena, lakini bado nikaamii labbda walikosea zile tarakimu badala ya 8,500 ikawa 850,000!
Nilijua una akili kumbe huna kabisa. Qnet ilizinduliwa na kigwangalla enzi akiwa waziri, Ila watu mwishoni wakalia.Usiwe na wasiwasi Mkuu, Laiti km mradi huu ungekuwa na walakini bila shaka Viongozi wa Serikali wasingekuwa wanaenda kuunadi.
Hiyo ni fikra ya kizamani sana. Lima kwa kutumia teknolojia ya kisasa na utaona faida yake.