Biashara ya Vanilla, Tshs 850,000 kwa kilo; Kuna nini nyuma ya tangazo hili?

Biashara ya Vanilla, Tshs 850,000 kwa kilo; Kuna nini nyuma ya tangazo hili?

Nisiwachoshe bure nitaandika kifupi sana. Kuna tangazo limepata airtime kubwa kwenye ITV kuhusu Vanilla International inayo promote kilimo cha vanilla wilayani Njombe. Bottom line ni bei ya soko ya kilo moja kuwa ni Tsh 850,000.

Wasiwasi wangu:
1. Kama faida ni kubwa hivyo kwa nini wasilime wenyewe kwa vile wanajuwa soko lilipo?

2. Ile methali ya kizuri chajiuza, na kibaya chajitembeza, je ina apply hapa?

3. Kuna watu wanalima vanilla Mkoa wa Kagera wanadai kuwa hata mteja wa kumuuzia kilo moja kwa Tsh 50,000 hawampati.

4. Kwa nini wanatangaza "faida" tu mfano bei nzuri na hawatangazi "changamoto" zinazoendana na biashara hii?

5. Naiona kama DESI watu wanaweza kupigwa hela hapa.

Wajuzi tufahamisheni
Yametokea tayari mkuu. Angalia hii video ya jana pale Njombe.
 
Bei ya Vanilla iliyokaushwa sio hiyo ni zaidi ya Milioni moja, wakati Vanilla mbichi ni Laki moja kwa kilo.Mimi nimefika hadi kwenye hicho Kijiji Cha Vanilla.Ishu ilivyo ni kwamba wale jamaa wao wanadai kuwa Wana Soko la kuuzia Vanilla lkn hawana Uwezo wa kifedha kuzalisha vanilla ya kukidhi mahitaji ya Soko.Km una mtaji nakushauri nenda kachukue ploti kule utakuja kunishukuru.Mimi nimeenda nikawahoji maswali yote niliyokuwa nayo akilini mwangu wakanijibu bila shida.Kule kuna plot za Akina Joyce Mhaville mkurugenzi wa ITV na Radio one,Prof.Juma Athuman Kapuya,na wengineo.
[emoji23][emoji23][emoji23] kuna plot hadi za kina Joyce mhavile? Wabongo huwa mnatapeliwa kijinga mno
Haya leo tuambie mmefikia wapi?
 
Mkuu, yn mm hua nafurahi sana kuona Watanzania wakitapeliwa
Hata mimi hii video naenda kumwonyesha maza, Mama mzazi mdogo wangu alitakaga kuinvest heavily kwenye hiyo project mimi ndio nliingilia kati, alienda mpaka njombe kuchukua maelekezo.... Ikabidi mimi niingie mzigoni kufanya research why vanilla is expensive na kwanini haipo nyingi... Nikagundua kuizalisha ni mziki inahitaji hela na manpower yakutosha.... Nilipiga kelele mpaka akaarisha.. Ivi kesho inabid atume hata laki mbili nikajilipue ma Heineken mitaa yangu ya kujidai kale ka 20,000,000 kangeenda nlimwokoa pakubwa sana
 
Namuomba Mungu, makampuni ya kitapeli kama hayo yaendelee kuwepo na kujitokeza nchini kwa wingi ila kuwanyoosha wapumbavu. Ikiwezekana wawe wanapewa vibali siku hiyo hiyo bila kuwachelewesha
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]vibali Bila kuchelewesha
 
😂😂😂

images - 2023-04-08T025716.967.jpeg
 
Hata mimi hii video naenda kumwonyesha maza, Mama mzazi mdogo wangu alitakaga kuinvest heavily kwenye hiyo project mimi ndio nliingilia kati, alienda mpaka njombe kuchukua maelekezo.... Ikabidi mimi niingie mzigoni kufanya research why vanilla is expensive na kwanini haipo nyingi... Nikagundua kuizalisha ni mziki inahitaji hela na manpower yakutosha.... Nilipiga kelele mpaka akaarisha.. Ivi kesho inabid atume hata laki mbili nikajilipue ma Heineken mitaa yangu ya kujidai kale ka 20,000,000 kangeenda nlimwokoa pakubwa sana
Usisahau kumpiga kofi moja la kichwa ili kumuweka sawa ht kama n bimkubwa
 
Hata mimi hii video naenda kumwonyesha maza, Mama mzazi mdogo wangu alitakaga kuinvest heavily kwenye hiyo project mimi ndio nliingilia kati, alienda mpaka njombe kuchukua maelekezo.... Ikabidi mimi niingie mzigoni kufanya research why vanilla is expensive na kwanini haipo nyingi... Nikagundua kuizalisha ni mziki inahitaji hela na manpower yakutosha.... Nilipiga kelele mpaka akaarisha.. Ivi kesho inabid atume hata laki mbili nikajilipue ma Heineken mitaa yangu ya kujidai kale ka 20,000,000 kangeenda nlimwokoa pakubwa sana
Wewe ni shujaa, unastahili kabisa kujidai na Heineken zako na kitimoto
 
Back
Top Bottom