Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha

wanakata karume ila duu ni bei juu me nilitoka arusha nikavifata dar nilijuta kwanza inatakiwa sa 10 usiku umeshafika viatu viko moshi tena bei ni nzur kuliko dar japo mzigo wanachukua dar na nairobi
Mkuu hapo Memo mnachukua kwa bei ya jumla au rejareja. Wakati tunasoma tulikuwa tunatoroka kwenda kununua code kali za bei nafuu sana.
 
Mkuu samahani niulize hiyo Vans umenunua kiasi gani na unauza kiasi gani
Kyawanjubu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…