Boko na Bunju ndio maeneo muafaka kwa biashara ya hardware kwa sababu ndiyo maeneo mapya na vifaa vinahitajika zaidi ya Chalinze. Unaweza kukodisha fremu eneo bora kwa wateja kufika. Kiwanja cha ndani unaweza kufanya kama ghala la mbao, cement, nondo na kama eneo ni kubwa unaweza kufyatua matofali.
Ama kweli Mungu akupe haja ya moyo wako. Ubarikiwe munoooo
Yaan nlikuja na nia ya kuulizia hii biashara nikasema pengine kuna mtu alisha post kumbe humu ndani hukosi kitu aisee, sasa mabosi zangu mbna hamzungumzii maeneo ya kuweka hio mambo, mimi nna two plots kimoja kipo mlandizi na kingine kipo boko wapi nit pazuri cha mlandz kipo barabaran cha boko kipo interior...msaada pliz
Km una pumzi yakutosha wekeza kote Ingawa kwa BOKO km eneo liko vzr panafaa zaidi lkn pia unatakiwa ujue Hardware imegawanyika kwenye makundi mengi tofauti Kuna cement,bat,nail nk,Kuna mabomba na fittings zake kuna Boards pamoja na Accs zake kwa ujumla unatakiwa uchagua nahiyo Inategemea sana na Eneo unalotaka kuweka hilo Duka ndio litakupa huo.uchaguzi wa Vifaa gani uweke Km una maswali karibu sana nafanya hii kz tangu mwaka 1993
Mkuu hongera sana kwa umri mrefu kiasi hicho kwenye hiyo biashara. Mimi sasa nina miaka 6 kwenye biashara hiyo huku SHY, Shida ninayokumbana nayo ni kutopata mahali kunakouzwa vifaa hivyo kwa bei ndogo ili nami nipate faida nzuri. Nilijibamiza siku 1 kwa KAMAKA pale Tabata, sawa kuna vifaa vingine vina bei nzuri vingine kama mikoani!
Ila kuna wafanyabiashara wenzangu wanauza bidhaa zao bei ya chini sana na wanasema wananunulia Dar, ukiwaomba wakuelekeze hawataki! Hebu nielekeze mdau Wewe unakochukulia kwa bei nafuu ili na Mimi nitoke!
Mkuu hongera sana kwa umri mrefu kiasi hicho kwenye hiyo biashara. Mimi sasa nina miaka 6 kwenye biashara hiyo huku SHY, Shida ninayokumbana nayo ni kutopata mahali kunakouzwa vifaa hivyo kwa bei ndogo ili nami nipate faida nzuri. Nilijibamiza siku 1 kwa KAMAKA pale Tabata, sawa kuna vifaa vingine vina bei nzuri vingine kama mikoani!
Ila kuna wafanyabiashara wenzangu wanauza bidhaa zao bei ya chini sana na wanasema wananunulia Dar, ukiwaomba wakuelekeze hawataki! Hebu nielekeze mdau Wewe unakochukulia kwa bei nafuu ili na Mimi nitoke!
Mkuu hongera sana kwa umri mrefu kiasi hicho kwenye hiyo biashara. Mimi sasa nina miaka 6 kwenye biashara hiyo huku SHY, Shida ninayokumbana nayo ni kutopata mahali kunakouzwa vifaa hivyo kwa bei ndogo ili nami nipate faida nzuri. Nilijibamiza siku 1 kwa KAMAKA pale Tabata, sawa kuna vifaa vingine vina bei nzuri vingine kama mikoani!
Ila kuna wafanyabiashara wenzangu wanauza bidhaa zao bei ya chini sana na wanasema wananunulia Dar, ukiwaomba wakuelekeze hawataki! Hebu nielekeze mdau Wewe unakochukulia kwa bei nafuu ili na Mimi nitoke!
Mkuu Mimi nashughulika na vifaa vya ujenzi vyote vile vidogo vidogo. Misumari ya aina zote, measuring tapes, welded mesh, wavu aina zote, hata vifaa vya maji pia k.v. cork, IPS materials, coprin n.kAsante pale kwa KAMAKA nikweli kuna baadhi ya vitu Bei yake ni rahis lkn vingine ni Maumivu,,,Mimi vitu nachukulia hapahapa KKOO lkn kuna style flan tunaitumia kupata vitu kwa bei nzuri Labda nikuulize wewe unashgulika na nini vifaa gani manake mimi nauza maBOMBA na Fittings zake Vyoo vya kukaa na Accesories zake,yaani kwa ujumla nadili na mambo ya Plumbing sasa wee hebu nambie mchepuo.wako ni upi? Ili nijue cha kukwambia
mkuu mi napatikana kkoo kwny maduka ya hardware nioredheshee vitu unavyohitaji nikupe bei cheap
Mkuu Mimi nashughulika na vifaa vya ujenzi vyote vile vidogo vidogo. Misumari ya aina zote, measuring tapes, welded mesh, wavu aina zote, hata vifaa vya maji pia k.v. cork, IPS materials, coprin n.k
Habari zenyu wanaharakati naomba ushauri kuhusiana na biashara hii nampango wa kuanza nayo.
here is their website HOME aysee kwa mama wahenga ni mwisho wa matatizo kuhusu hardwareMkuu huyo mama Wahenga unaweza kutuwekea contacts zake ili tumpige wire? Nilijipigiza siku moja pale KAMAKA kuna baadhi ya vifaa vina bei poa vingine wananyoa sana! Hapo ndo Mimi nalewa kabisa. Huku kwetu kuna jamaa wanauza bei chee kiasi huwezi shindana nao na wanadai wanachukulia Dar sasa najiuliza ni Dar gani hiyo? Hebu wakuu mtusaidie labda nasi tutatoka!
here is their website HOME aysee kwa mama wahenga ni mwisho wa matatizo kuhusu hardware
Barikiwa pia mkuu na kazi njema ya kutafuta mkate wa kila siku.Mkuu asante sana kwa hiyo website ya huyo mama Fatina, zamani tulikuwa tunasema tayari nimshamvutia waya sijui sasa hivi tunasemaje maana simu za waya hazina kazi tena!!
Ubarikiwe mkuu!!
Wadau mi nataka kujua kuhusu kufanya biashara ya cement kutoka nje ya nchi, process yake, unalipia vibali gani na unatakiwa uwe na nini na faida ikoje, asanteni