Bill of Quantity
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 1,233
- 406
Jamani mi naulizia bei za bati hizi wanazosema zinatoka south africa, bei zake zikoje wadau??
Je, nikichukua bati 20 naweza maliza nyumba ya vyumba vitatu na sebule yake??
Naombeni pia ushauri katika comparison hasa bati hizi za kawaida na hizo wanazoita za S.A.
Nina Tshs mil. 6 nataka nikajenge nyumbani kwetu kijijini kabisa ambako bei ya tofali ndogo ni tshs 100, hiyo ni ya kuchoma.
Naombeni msaada wenu.
cc Zanzibar Spices Issangous Mom, Jayfour_King, babalao , FirstLady1, Mokoyo, Fighter, na wengineo
Je, nikichukua bati 20 naweza maliza nyumba ya vyumba vitatu na sebule yake??
Naombeni pia ushauri katika comparison hasa bati hizi za kawaida na hizo wanazoita za S.A.
Nina Tshs mil. 6 nataka nikajenge nyumbani kwetu kijijini kabisa ambako bei ya tofali ndogo ni tshs 100, hiyo ni ya kuchoma.
Naombeni msaada wenu.
cc Zanzibar Spices Issangous Mom, Jayfour_King, babalao , FirstLady1, Mokoyo, Fighter, na wengineo
Last edited by a moderator: