Biashara ya Vifaa vya Ujenzi (Hardware Store): Ushauri wa Mtaji, Uendeshaji, Changamoto na Faida

Jamani mi naulizia bei za bati hizi wanazosema zinatoka south africa, bei zake zikoje wadau??

Je, nikichukua bati 20 naweza maliza nyumba ya vyumba vitatu na sebule yake??

Naombeni pia ushauri katika comparison hasa bati hizi za kawaida na hizo wanazoita za S.A.

Nina Tshs mil. 6 nataka nikajenge nyumbani kwetu kijijini kabisa ambako bei ya tofali ndogo ni tshs 100, hiyo ni ya kuchoma.

Naombeni msaada wenu.

cc Zanzibar Spices Issangous Mom, Jayfour_King, babalao , FirstLady1, Mokoyo, Fighter, na wengineo
 
Last edited by a moderator:
Anatakiwa alete kilishanyuma(feedback),leo mwaka wa nne huu.
 

Shake Money hoja yako ni nzuri na umeipanga vizuri, lakini umepost kwenye uzi ambao kidogo hauendani na hoja zako za msingi.Nakushaur anzisha thread mpya ili iwe inajitegemea na hapoa utapata michango zaidi.
 

Umenena vyema Mkuu!..
 
Mkuu asante sana kwa hiyo website ya huyo mama Fatina, zamani tulikuwa tunasema tayari nimshamvutia waya sijui sasa hivi tunasemaje maana simu za waya hazina kazi tena!!

Ubarikiwe mkuu!!

Siku hizi tunasema, "Namwendea hewani" au "Nampandia hewani".
 
natafuta mbia kwenye hii biashara.biashara IPO mbezi kwa msuguri.tuwasiliane 0713-510040
 

Mkuu ulifanikiwaga kufungua hardware?
Your feedback is important plz
 


Kuna wengine wananunua vifaa vya wizi au madili ndio maana vinaonekana vipo bei ya chini.
Kuna sehemu huko kipawa nimeona wanagawana viti walivyoiba kiwandani bei sawa na bure.
 
Habari wadau. Nataka kutanya biashara ya kuwa Wakala wa kiuza cement, mimi sijawahi kuifanya. Nilitaka kupata picha kutoka kwa mtu anayeifaham hii biashara. Kwa maana ya namna ya kuanza, mtaji ni kiasi gani pamoja changamoto zake.

Nawasilisha
 
hiyo nadhani haina process kubwa zaidi unaenda pale kiwandani unanunua kwa jumla wanaanzia nadhani 100 chini ya hapo hawakuuzii bei elfu kumi nadhani ulizia zaidi lakin hiyo kwa wazo
 
hiyo nadhani haina process kubwa zaidi unaenda pale kiwandani unanunua kwa jumla wanaanzia nadhani 100 chini ya hapo hawakuuzii bei elfu kumi nadhani ulizia zaidi lakin hiyo kwa wazo

Bora nagalua wewe umetoa mwanga.
Maana wengine kusikia hela tuu wamenza kumvuta chamber of kuchapwa hela
 
Kuwa wakala wa cement sio kazi ndogo. Una vigezo vingi wnaangalia,i kiwemo location, uzoefu wako wa biashara. Uwezo wako wa kuuz akwa week angalau mt1000!!uwe na kampuni iliyosajiliwa na tin zako. Wengine wanaangalia adi trucks kama unazo. Ni biashara nzuri sana kama utaimudu na utafanya kazi usiku na mchana maana unavyonunua sana na kuuza ndio faida inakua kubwa, na ktk cement hata tsh100 inaweza kukupa faida kubwa mno
 

Usimwogopeshe bhana!

Iko hivi;

Kuna uwakala mkubwa na uwakala mdogo.

Kama unataka kuwa wakala mkubwa unatakuwa ume na kampuni yenye usajili wa kisheria(hii inafahamika, Brela, TIN, Leseni kutoka manispaa)

Unatakiwa uwe na magari nakubwa ya kubebea. Pia uwe na vituo vya kusambazia si chini ya 60.

Ukiwa na vigezo hivyo unaenda moja kwa moja kiwandani (Nazungumzia wazo-Twiga cement wengine sijui vigezo) ukifika ni faster tu hata uchekeweshwi.

Wakala mdogo

Wtanunua kwa mawakala wakubwa. Minimum unanua tani moja ambapo kama bei hazijabadikija ni Tshs10500/ kwa mfuko.
 
Habari wadau. Nataka kutanya biashara ya kuwa Wakala wa kiuza cement, mimi sijawahi kuifanya. Nilitaka kupata picha kutoka kwa mtu anayeifaham hii biashara. Kwa maana ya namna ya kuanza, mtaji ni kiasi gani pamoja changamoto zake. Nawasilisha

Kila kiwanda kina utaratibu wake.

Nenda pale wazo twiga cement waombe wakupe utaratibu wa kuwa wakala.

Pia, uwe na wateja wa uhakika, sio unaenda kiwandani kuchukua cement unaenda kuiweka store baada ya hapo ndo uanze kutafuta wateja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…