Biashara ya Vifaa vya Ujenzi (Hardware Store): Ushauri wa Mtaji, Uendeshaji, Changamoto na Faida

Biashara ya Vifaa vya Ujenzi (Hardware Store): Ushauri wa Mtaji, Uendeshaji, Changamoto na Faida

Kwanini msichukue mkopo bank kama tayari mmeshapewa distributorship ? .... au
 
Ni kwel ukiangalia kwa benki hizo asilimia hua wanazitoa miezi 3 na kuendelea kwa hiyo kama ni mwezi 1 ni faida kubwa
 
Pia kama utaongeza mtaji hela pia itaongezeka lakini je kuna ukwel juu ya hili ?
 
Roli moja la mchanga kubwa ni tzs 120000-180,000 inategemeana uko wapi kwa hapa Dar
Mifuko 12 kwa roli moja =13500x12
Upigaji tzs 5000 kwa mfuko x 12=60000
Idadi ya tofali za biashara kwa mfuko 1 ni 55 hadi 60. Maji na upangaji wa tofari fanya 30,000/= asume 5% ya tofali zitavunjika. Fanya tofali moja utauza kwa sh800-1000. Hizo zote ni variable cost. Hapa naasume kuwa tayari una mashine na vibao vyake. Kama huna machine andaa laki 4 hadi 3.5



Elimu nzuri sana.
 
Tukiacha za biashara, uimara wa tofali unatakiwa kuchanganya kiwango gani cha cement na mchanga?

Nahitaji kupiga tofali zangu binafsi za kujengea maana naamini zinazouzwa kunakuwa na uchakachuaji ili kutengeneza faida kubwa zaidi.
Hapa nilipo tofali moja ya inch 5 ni sh.1500.

Nikinunua mashine yangu binafsi ya kupigia tofali naamini naweza kuikodisha kwa watu na ikanirudishia faida pia.
 
Tukiacha za biashara, uimara wa tofali unatakiwa kuchanganya kiwango gani cha cement na mchanga?

Nahitaji kupiga tofali zangu binafsi za kujengea maana naamini zinazouzwa kunakuwa na uchakachuaji ili kutengeneza faida kubwa zaidi.
Hapa nilipo tofali moja ya inch 5 ni sh.1500.

Nikinunua mashine yangu binafsi ya kupigia tofali naamini naweza kuikodisha kwa watu na ikanirudishia faida pia.

Tofari 40 kwa mfuko 1
 
Tukiacha za biashara, uimara wa tofali unatakiwa kuchanganya kiwango gani cha cement na mchanga?

Nahitaji kupiga tofali zangu binafsi za kujengea maana naamini zinazouzwa kunakuwa na uchakachuaji ili kutengeneza faida kubwa zaidi.
Hapa nilipo tofali moja ya inch 5 ni sh.1500.

Nikinunua mashine yangu binafsi ya kupigia tofali naamini naweza kuikodisha kwa watu na ikanirudishia faida pia.
uimara wa matofali unategemea na aina ya mchanga, aina ya maji unayotumia, aina ya cement, machine inayotumika kuyatengeneza na umwagiliaji wa maji baada ya kufyatua hasa hasa siku sita za kwanza tokea kufyatua. Mchanga wa kolongoni au unaopatikana kwa kuuuzoa mitaani ni tofauti sana na ule unaochukuliwa kule bagamoyo au maeneo ya kibaha kule, nimeona maeneo ya boko dsm watu wanachukua mchanga wa bagamoyo wanauchanganya na ule wa kolongoni kwa ratio ya 2:3 kupata tofari nzuri na kafaida. nadhani ule wa bagamoyo ni mzuri zaidi. Maji yakiwa na acid au salt sana sio mazuri kwa kufyatulia matofali, wataalam wa cement wanalijua hili chumvi ni adui mkubwa wa cement kwenye quality ya kukamata udongo (binding effect), aina ya cement na zenyewe ni sababu nyingine sio kila cement inafaa ukiwaona wataalam wa cement watakushauri kwa ubora zaidi juu ya hili, Twiga, rhino na ile ya pakistan nadhani ni bora sana. suala la machine pia ni muhimu nadhani kwenye uimara tofari la machine ya mkono ni tofauti sana na aliyetumia machine ya umeme yenye vibration na hii pia inachangiwa na uchanganyaji wa cemet na mchanga kupata equal distribution(mchanganyiko ulio sawa). tofali ukiwa mzembe kuzimwagilia maji tegemea asara ya tofali kupasuka, tofali baada ya siku moja tokea ufyatue lazima ulimwagilie maji ya kutosha asubuhi na jioni kwa muda walau siku tano. huo ndio mchango wangu ahsante.
 
Roli moja la mchanga kubwa ni tzs 120000-180,000 inategemeana uko wapi kwa hapa Dar
Mifuko 12 kwa roli moja =13500x12
Upigaji tzs 5000 kwa mfuko x 12=60000
Idadi ya tofali za biashara kwa mfuko 1 ni 55 hadi 60. Maji na upangaji wa tofari fanya 30,000/= asume 5% ya tofali zitavunjika. Fanya tofali moja utauza kwa sh800-1000. Hizo zote ni variable cost. Hapa naasume kuwa tayari una mashine na vibao vyake. Kama huna machine andaa laki 4 hadi 3.5vibao ni kuanzia 300 mbavyo ni sh laki nne hivi

hii kiboko aisee yaani mfuko mmoja wa saruji utoe tofali 55 hadi 60 !!![emoji2][emoji2]
hii nyumba ikinyeshewa na mvua inamong'onyoka aisee...kwavile ni nyumba ya mchanga hii
 
Hii ilikua ni mwaka 2012 kipindi ambacho hata ungefungua duka la kope ungefaidika.

Kwa kipindi hiki biashara ya uhakika ni kuuza chakula tu.

Maana hata toilet paper siku hizi haziuziki tena. Sasa sijui ndiyo kusema watu wakitoka msalani wavuta kyupi juu na kusepa au wamerudi kwenye maji hata sielewi.
 
Back
Top Bottom