Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaji wa kuanzia tsh ngapiBiashara ya hardware ni nzuri lkn pia imegawanyika kwenye maeneo mengi Vifaa vya kuanzia ujenzi,na vyaumaliziaji ss inatakiwa ujue sehem unayotaka kufungua Vitu vyaaina gani watu wanahitaji! Naili upate faida nzuri inatakiwa uwe na Mtaji MKUBWA vinginevyo utaishia kupata HELA yakula2!
Kama shs ngapi kianzio?Hii ni biashara nzuri kama utapata location nzuri,changamoto kubwa ya hii biashara ni mtaji kwani inahitaji mtaji mkubwa mno
Kama shs ngapi kianzio?
Nimekupata kwa wilayani kama KAHAMA vipi imekaa vizuri?Ni vizur ukaanza na milion 50 nje ya malipo ya pango if untaka benefit kubwa
Inategemea Eneo wapi unataka kufunguaMtaji wa kuanzia tsh ngapi
Kahama mkoani shyInategemea Eneo wapi unataka kufungua
Naweza kuja kwa maana nipo siriaz kwenye hiyo ishu.Kaka biashara hiyo ni nzuri sana, usireudi nyuma, mtaji wa milioni 35 maka50 unaifanya, wewe unachotakiwa kukifanya ni kuwa baada ya kuifungua uipe grass period ya matumizi binafsi maana ukiifungua na kuanza kupata fedha na kuishia kuzira itakula kwako, kama unamtaji wamilioni 50m, tafadhali fungua kwa 40, kumi ibakie ya matumizi yako bnafsi! hakka 40m itajizaa mara dufu, ungekwa DSM ningekushauri uje ofisini kwangu nikuoneshe inavyoweza kukufaidisha.
Grace periodkaka biashara hiyo ni nzuri sana, usireudi nyuma, mtaji wa milioni 35 maka50 unaifanya, wewe unachotakiwa kukifanya ni kuwa baada ya kuifungua uipe grass period ya matumizi binafsi maana ukiifungua na kuanza kupata fedha na kuishia kuzira itakula kwako, kama unamtaji wamilioni 50m, tafadhali fungua kwa 40, kumi ibakie ya matumizi yako bnafsi! hakka 40m itajizaa mara dufu, ungekwa DSM ningekushauri uje ofisini kwangu nikuoneshe inavyoweza kukufaidisha.
Grace period
Mtaji wangu peke yanguunataka kuanza kwa mtaji wa Mkopo au wako personaly,check with me 0717616227
Poa nakuja muda sio mrefukaribu mjini DSM, tuweke sawa mambo.
kaka biashara hiyo ni nzuri sana, usireudi nyuma, mtaji wa milioni 35 maka50 unaifanya, wewe unachotakiwa kukifanya ni kuwa baada ya kuifungua uipe grass period ya matumizi binafsi maana ukiifungua na kuanza kupata fedha na kuishia kuzira itakula kwako, kama unamtaji wamilioni 50m, tafadhali fungua kwa 40, kumi ibakie ya matumizi yako bnafsi! hakka 40m itajizaa mara dufu, ungekwa DSM ningekushauri uje ofisini kwangu nikuoneshe inavyoweza kukufaidisha.
Babangu una mawazo mazuri sana ila tatizo kiswahiliiii!! Tusubiri Msuya wa Tanesco atufanikishie kesho yale mambo yetu ndio mengine yafuate[/QUOTE
we kijana mbonas mbona umeniandama? nyie vijana wa DSM akika ni km majogoo ya shama yasyowika mjini.