Bible Vs Science: Je ulimwengu una umri gani?

Bible Vs Science: Je ulimwengu una umri gani?

Ukweli ni upi kaka. He, Dunia kama part and parcel ya solar system sio zao la Big Bang?

"Have those who disbelieved not considered that the heavens and the earth were a joined entity, and We separated them and made from water every living thing? Then will they not believe?" (Qur'an 21:30)
Universe ina miaka bilion 13.8
Umri wa dunia ni miaka bilion 4.5,dunia ilizaliwa kutoka solar nebula
 
Yanayofanana na Bibilia huwa nayakubali, yanayotofautiana ,Bibilia ni Sahihi kuliko hiyo quran. Maana Bibilia imeanza kuyaandika kabla ya quran.
Binafsi huo ndio ufahamu wangu, unaweza usiwe mzuri sana.
Biblia(mkusanyijo)ya juzi mkuu. Vitabu vya zamani bwana nii hivii tourati, zaburi, Injili na nyaraka za Nabii Ibrahim, Na kupata vitabu hivi katika asili yake ni shughuli.,,

Rejea Biblia upande Wa dibaji uonee waandishi walivyofanya yao katika biblia, yaaani maneno mingine wametoaaa mengine wamepunguza yaani tafrani tuu hata majina ya Mungu kama Yehova nayo yamefikiriwa, majina ya sehemu mbalimbali kutungwa wahusika wengine kutolewa wengine kuongezwaa.


Asili ya matatizo yote haya ni pale kiumbe binadamu alipoyaingilia kati maandiko ya Mungu. Rejea Habari za Paulo.
 
Biblia(mkusanyijo)ya juzi mkuu. Vitabu vya zamani bwana nii hivii tourati, zaburi, Injili na nyaraka za Nabii Ibrahim, Na kupata vitabu hivi katika asili yake ni shughuli.,,

Rejea Biblia upande Wa dibaji uonee waandishi walivyofanya yao katika biblia, yaaani maneno mingine wametoaaa mengine wamepunguza yaani tafrani tuu hata majina ya Mungu kama Yehova nayo yamefikiriwa, majina ya sehemu mbalimbali kutungwa wahusika wengine kutolewa wengine kuongezwaa.


Asili ya matatizo yote haya ni pale kiumbe binadamu alipoyaingilia kati maandiko ya Mungu. Rejea Habari za Paulo.
kilichokusanywa sio lini kimekusanywa, maana hata huo mushaf ulikusanywa pia na Caliph umar.
Tunaweza kurudi kwenye mada kuu pia
 
Hivi umeelewa kweli swali langu?
Au username yangu imekuzuzua,kiasi kwamba ukashindwa kabisa kusoma swali vizuri?
Yaani hapa mlichokifanya ni hichi yulee katoa maandiko yanagoonesha wingi na wewe umetoa maandikonya hanayonesha umoja.

Sasa yule Mwamba anataka kujua sababu ya matumizi ya wingi yaani ikojee hapo. Maibishane kwa kweli aio vizuri elimishananeni tu hyo itapendeza sana tena na malipo juu.
 
Naona kama mada umeichanganya, unaulizia umri wa ulimwengu au umri wa dunia au umri toka alipoumbwa Adam?
 
pia kabla ya 1586 dunia nzima iliamini katika geocentricism/geo-system. soma yoshua 10:13 "Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia, Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao."

lakini leo iko kabisa proved kisayansi (definitive truth) kwamba ni dunia na sayari zingine ndizo zinazozunguka jua. heliocentricism/solar-system na inapingana kabisa na yoshua 10:13.

biblia haikukusudiwa kuja kufundisha sayansi au kuwa kitabu cha sayansi au kufafanua masuala ya sayansi.
Joshua 10:13 ipo sahihi: Mwezi unazunguka Dunia, Dunia inazunguka Jua. Jua linazunguka Milkyway galaxy kwa speed ya 220KM/sec. So Jua linazunguka.
Jua likisimama obvious Dunia itasimama na mwezi pia utasimama.

Qur'an inathibitisha Pia JUA LINAZUNGUKA.
"Na Yeye ndiye Aliyeumba usiku na Mchana, na JUA na MWEZI, vyote vinaogelea katika duara zao. (Qur'an 21:33).

Kwa hiyo: heliocentricism/solar-system ni UONGO. Imepitwa na wakati.
 
Yaani hapa mlichokifanya ni hichi yulee katoa maandiko yanagoonesha wingi na wewe umetoa maandikonya hanayonesha umoja.

Sasa yule Mwamba anataka kujua sababu ya matumizi ya wingi yaani ikojee hapo. Maibishane kwa kweli aio vizuri elimishananeni tu hyo itapendeza sana tena na malipo juu.

Nakumbuka Maneno ya mwalimu Nyerere wakati anataka kuivamia Uganda: Nanukuu
*Uwezo tunao!
*Sababu tunayo!
*Na nia tunayo!
Wakati huu wa Mzee wetu JPM angesema hivi.
*Uwezo ninao!
*Sababu ninayo!
*Na nia ninayo!
*Mimi nimesema! Mimi ndiye Raisi.

Ukizingatia Kauli za viongozi hao wawili ni kuwa wote wako sahihi. Killa mmoja anazungungumzia "Majestic power aliyonayo! Haimaanishi Kuna watawala wawili au watatu au Zaidi. Ni huyohuyo mmoja.

Mwenyezi Mungu kwa kuwa Yeye ndiye Mtaalamu wa Lugha anatumia njia zote mbili - Majazi.

"Na hatukumtuma kabla yako mtume yeyote Ila tulimfunulia ya kwamba Hapana mungu Ila MIMI. Basi niabuduni MIMI tu". (Qur'an 21:25)
 
Lazima utofautishe kwanza
Ulimwengu ni kitu kingine na Dunia ni kitu kingine
 
Universe ina miaka bilion 13.8
Umri wa dunia ni miaka bilion 4.5,dunia ilizaliwa kutoka solar nebula

Asante kwa post nzuri. Nimejifunza kitu. Sipingani na uvumbuzi ila sio kila uvumbuzi umetegemea vifaa maalum. Wakati mwingine ni hypothesi ambazo zaweza kuhojiwa na layman kama mimi.
Nikirudi kwenye mada kuu ni kuwa wataalamu wa miamba wamegundua kuwa Dunia ina umri mrefu wa 4.5Billion years. Hiyo ni kwa kupima miamba.
Je, Hiyo age ya Nebula imepimwa kwa kutumia kifaa gani???.
Naelewa nyota huzaliwa na kufa pale Hydrogen au Helium inapoisha. Ni Juzi tu kifaa kilichorushwa angani katika kinachoitwa insight lander kimetua katika sayari ya Mars kilichorushwa na NASA kama miezi Saba iliyopita.
Sasa natakaa nijue hicho kifaa na kipimo kilichofika kupima particles za Nebula kilichokuja na age ya nebula ya 13.8Billion years.
 
Mkuu shukrani kwa kudadavua vizuri kabisa juu ya credibility ya vipimo vya kisayansi katika lugha inayoeleweka ningependa mkuu mitale na midimu aione hii atupe maoni yake.
mkuu maelezo ya mkuu pale yako vizuri ila siungi mkono hoja ya dunia mamilioni kwa maelezo ya vipimo vyake.

Hija zangu kutoka katika maelezo ya mkuu Kituko ni kama ifuatavyo:
1:anasema bibilia imekuwa coded, lkn katika decoding au kuzisimbua hoja zilizokuwa coded kwenye bibilia anatumia nadharia za kisayansi. Je Bibilia haina uwezo wa kujing'amua yenyewe?
Mfano hizo tunazoita codes za kitabu cha mwanzo na Torati, Yesu aliwalaumu marabbi na mafarisayo kwa kushindwa kuziona zikimuelezea yeye. Alipoquote Mwanzo na matukio yake Yesu alitafsiri literally. Je Yesu alitenda dhambi kwa kuwalaumu wale jamaa kushindwa kuelewa mambo ambayo kumbe yangesubiri sayansi ndio yaeleweke?
Nini nafasi ya Roho mtakatifu katika decoding maana inaonyesha hapo msaada wa sayansi ndio wenye nguvu.

2: Kuhus Galileo, Aliamini bibilia na aliamini uumbaji, hivyo anautofauti na wanasayansi wanaopinga uumbaji. Kanisa lilishikilia Bibilia lkn upande mwingine lilikumbatia philosophy za kigiriki. Na Galileo aliwashinda wanasayansi wa kigiriki na kuwadhalilisha kwa ushahidi kuwa mambo yao ni ya kutunga na hayana ushahidi. Kwa Sababu kanisa lilikuwa upande wao lilimshughulika ingawa viongozi wengine walikuwa marafiki zake, waliona anaweza kusababisha machafuko. Ila msingi wa hoja hapa, utetesi wa Galileo uliegemea Bibilia, Ufahamu wa kanisa ulichanganya bibilia na philosophia za kigiriki, Ufahamu wa wanasayansi wengi wa leo wanaanza kwa kumpinga Mungu na uwepo wao hivyo wengi hata kama watagundua kitu sahihi watalazimisha kitoke kwenye mtazamo wa Bibilia. Hii ni taadhari inayotakiwa kuchanganywa katika decoding zetu.

Kwenye MADA

* Sio wanasayansi wote wanakubaliana na hiyo miaka 4.5Mil. Kuna wanasayansi wacha Mungu, Wengine sio wacha Mungu lkn ni Pro -Creation wanakubaliana na 24Hrs Days za Kwenye Bibilia. Hitimisho la wanasaynsi la kuleta miaka hiyo halihusishi Bibilia na halikubaliani na Uumbaji wa Mungu Bali Cosmic Evolution na mambo ya Bing Bang Theory ambayo ni anti-Biblical.
Huoni kwamba tunahitaji kuchekecha akili zaidi ya kukubali kila kitu cha mwanasayansi hasa yeye anapokana Bibilia kufanya baadhi ya mahitimisho na sisi kuyatumia hayo unbiblical conclusions kuwa Biblical.?

* Kuhusu Miamba na Tafsri yake ya pili. Hili naomba nilifanyie kazi maana na kuona wanasayansi wanaoounga mkono bibilia wanalizungumziaje. Maana nimewahi kujifunza huko nyuma ila kwa sasa sikumbuki vizuri. Linamaelezo ya kutosha kupinga hizohizo miaka maelfu.


* Conclusion pia ya mkuu kituko inaacha ombwe la kibibilia. Maana anatushawishi kwa kutumia sayansi mambo ya kibibilia, ilanapozungumzia kwenye Bibilia anaishia kusema kule Kuna CODES. Nilidhani ni wakati wa Kuzitafuta ni zipi na kwa kutumia Bibiliq tuzidecode kwa pamoja. Mfano Kusema kulikuwa na watu wengine walioumbwa nje ya Adam na Hawa kama baadhi wanavyojenga hoja ni Kubishana na Bibilia Yenyewe. Vinginevyo dhambi ingewahusu adam na hawa na watoto wao, hao wengine wangeendelea kula raha. Ila kusema kuoana Ndugu kwa Ndugu au watoto wa Kike kitohesabiwa katika baadhi ya maeneo ya Bibilia ikiwemo mwanzo inaleta mantiki ya kibibilia maana ilibidi waoane ndugu ili kuiendeleza kizazi, Ila walipojaa katika uso wa Dunia, Mungu akasema kupitia Vitabu Vya Musa ni Laaana Mtu Kulala na mke wa Baba Yake au hata dada yake. Nasisitiza tusome bibilia kwa jicho linaloona nyuzi 360 zinazocover mwanzo hadi ufunuo sio kasehemu kamoja na kujenga hitimisho.


Maelezo haya sio Msaafu, yanaruhusiwa kukosolewa kupingwa, kubishiwa, hata kuboreshwa.
Ila kuhusu Mimi, Nasimama na wote wanaoamini siku saba na Young earth 6000 maana ndio maelezo ambayo kwa kutumia bibilia naweza kiyasimamia. Na naungana na wanasayansi wote wanaoyaamini haya kama Alivyoeleza Mungu katika Bibilia.
 
Biblia na umri wa Dunia
Mwaka 1650 professor wa masuala ya theologia na Askofu wa makanisa ya protestant wa Ireland John Ussher aliandaa maandiko yake kupitia mfululizo wa vitabu vyake kuanzia cha Annals of the Old Testament: Origins of the world ambacho ndani yake aliibua mjadala mpana sana wa karne nyingi sana. Ussher alipiga hesabu ya muda ulivyopita kati ya Adam kuumbwa hadi Yesu kuzaliwa na kugundua kwamba ni miaka 4000 imepita tokea Adam aumbwe hadi Yesu kuzaliwa hivyo kufanya dunia yetu ikiwa na wanadamu kuwa na miaka elfu 6 pekee mpaka sasa!!. Ussher alitumia maandiko kama chanzo cha nadharia yake alitumia nyaraka za masoretic zilizotumika kuandaa Biblia za agano la kale ili kuweza hesabu umri wa Adam hadi vizazi vya Abraham hadi kufikia Yesu na baada ya mnyambuliko huo alifanikiwa kugundua kwamba dunia iliumbwa usiku wa October 23 4004 kabla ya kristo.


Haya ndio madhara tunayoongea kila siku na watu hawajatuelewa! Watu wengi wanaojiita Leo Wanateolojia walidandia Biblia na madhara take ndio haya ya akina John Ussher. Kimsingi, Kitabu cha Mwanzo alichotumia Ussher kukokotoa umri Wa dunia siyo Kitabu cha Kisayansi( scientific Textbook) Bali Accounts za Kiteolojia. Lengo ni kueleza kwamba Ulimwengu na kila kilichomo viliumbwa na kwa upande mwingine kuonyesha jinsi ambavyo wanadamu wamehusiana na Mungu kwa Nyakati mbalimbali.

Suala la Geneology katika Kitabu cha Mwanzo haliko katika kuonyesha watu waliishi kwa muda gani Bali jinsi walivyohusiana. Utaona katika upotoshaji kama huu, William Miller aliamini tafsiri za namna za hii na ndio akaanza kuhesabu zile siku 2300 sawa na miaka miaka 2300 kuanzia Oktoba 457 BC. Nadhani utaweza kuona connection. Ussher anasema Dunia imeumbwa Mwaka 404 na Miller anaanza kuhesabu Mwaka 457.
 
Na Je, umesoma post yangu ukaielewa vizuri kabla ya kua-assume kuwa nimezuzuliwa na jina lako??.
Hebu some vizuri kisha utafakari halafu onyesha ni wapi hujaelewa. Nimekuelimisha kama mwanafunzi usiyejua taawili ya maana ya Lugha.
Swali langu limetoka katika maneno haya kutoka katika kitabu cha Qur'an:
"Hakika Sisi tumemuumba mtu kutokana na mbegu ya uhai iliyo changanyika"
Hiyo SISI katika lugha ya Kiswahili inawakilisha nafsi ya tatu katika wingi, ina maana inatumika kuelezea mtu/nafsi zaidi ya mmoja. Hivyo basi kauli hiyo inaonesha Mungu hakua peke yake kipindi anafanya uumbaji wa binadamu.
Ndio mimi nimekuuliza, Mungu alikua na nani wakati wa uumbaji wa binadamu mpaka akalazimika kutumia neno SISI?
Mistari uliyonitumia inaonesha Mungu ni mmoja,mimi sijapinga hilo,pia swali langu halihitaji kujua kuwa kuna Mungu zaidi ya mmoja au la,nachohitaji kujua mimi ni kwanini limetumika neno SISI?
Sidhani kama neno SISI limetumika bahati mbaya,lazima lina maana yake.
 
Ushahidi.
'' Kwa siku sita (sio mamilioninya miaka) mimi mwenyezi Mungu niliziumba Mbingu na Dunia Bahari na Vyote vilivyomo...'' Kutoka 20:11


Nafikiria unapaswa pia unaposoma Biblia uelewe Lugha inayotumika na aina ya speeches walizotumia waandishi kufikisha maudhui kwa Hadhira husika. Kusema "Mimi Mwenyezimungu niliziumba...", sio kauli ya Mungu moja kwa moja. Hivi kwa mfano Leo kuna watu wanasema: " Mungu ameniambia" au "Bwana amesema nami..." au alivyokuwa akisema Ellen White " ...Naliona..." Mungu alinionesha...", ina maana hapo ni kweli wahusika huwa wameambiwa na Mungu moja kwa moja au Ellen alikuwa amemuona Mungu kweli?

Nakusihi sana ujitahidi kusoma historia ya Kila kitabu katika Biblia, Historia ya kila mwandishi na Staili ya Uandishi Wa kila kitabu. Vitabu vingine katika Biblia ni Hadithi, Sala, Mambo ya Hekima, Apocalyptics na kadhalika. Unasoma sana Biblia ila nimegundua tatizo kubwa ni msingi Wa Biblia uliojengewa toka Mwanzo.
 
Nakumbuka Maneno ya mwalimu Nyerere wakati anataka kuivamia Uganda: Nanukuu
*Uwezo tunao!
*Sababu tunayo!
*Na nia tunayo!
Wakati huu wa Mzee wetu JPM angesema hivi.
*Uwezo ninao!
*Sababu ninayo!
*Na nia ninayo!
*Mimi nimesema! Mimi ndiye Raisi.

Ukizingatia Kauli za viongozi hao wawili ni kuwa wote wako sahihi. Killa mmoja anazungungumzia "Majestic power aliyonayo! Haimaanishi Kuna watawala wawili au watatu au Zaidi. Ni huyohuyo mmoja.

Mwenyezi Mungu kwa kuwa Yeye ndiye Mtaalamu wa Lugha anatumia njia zote mbili - Majazi.

"Na hatukumtuma kabla yako mtume yeyote Ila tulimfunulia ya kwamba Hapana mungu Ila MIMI. Basi niabuduni MIMI tu". (Qur'an 21:25)
Chief,mimi nafikiri Mwalimu Nyerere alitumia maneno ya "uwezo tunao,sababu tunayo na nia tunayo" akiwa na maana ya kuwawakilisha Watanzania wote katika tamko lake hilo. Sidhani kama alikua na maana nyingine zaidi ya hiyo.
 
Kwa hiyo muda wa kuumbwa mbingu na Ardhi na vilivyomo umechukua miaka elfu sita kwa hesabu zetu s

Ninyi ndio basi wagonjwa mliofukamia uji na mkavimbewa. Biblia waachieni wenye nayo. Ninyi endeleeni tu na matangopori ya Muhammad madhali wanaume wazima mliamua kudanganywa kiasi kile.Ukitaka kufahamu Muhammad alikuwa hajitambui au anaongea nonsense na bado hajui kama ametapika ujinga,fikiria eti kuna wakati Jibrili aliacha kushusha Wahyi kwa wiki kadhaa na baada ya kujiuliza imekuwaje ndio akagundua Mbwa amefia chini ya Kitanda!

1. Hivi Malaika na Allah wanamuogopa Mbwa?

2. Hivi na Khadija walikuwa na Pua za aina gani hata Mbwa afie chini ya Kitanda na wasiweze kugundua kwa wiki zote zile?
 
akawapa maelekezo hao watu wake wa enzi hizo akisisitiza ni siku sita lateral 24Hrs, mavumbuzi ya tafsiri za mamilioni yamekuja hapo katikati ya safar

Mungu katika Uumbaji alifanya process ambayo kila kitu kimekuwa kiki-evolve chenyewe. Kwa lugha nyingine aliweka automatic mechanism ya vitu kutokea na kisha development kutokea au kuendelea. Mungu Mwenye uwezo hawezi kuwa Wa kuumba sisimizi au funza kwa kila alicho nacho. HE just created the Process.
 
Ninyi ndio basi wagonjwa mliofukamia uji na mkavimbewa. Biblia waachieni wenye nayo. Ninyi endeleeni tu na matangopori ya Muhammad madhali wanaume wazima mliamua kudanganywa kiasi kile.Ukitaka kufahamu Muhammad alikuwa hajitambui au anaongea nonsense na bado hajui kama ametapika ujinga,fikiria eti kuna wakati Jibrili aliacha kushusha Wahyi kwa wiki kadhaa na baada ya kujiuliza imekuwaje ndio akagundua Mbwa amefia chini ya Kitanda!

1. Hivi Malaika na Allah wanamuogopa Mbwa?

2. Hivi na Khadija walikuwa na Pua za aina gani hata Mbwa afie chini ya Kitanda na wasiweze kugundua kwa wiki zote zile?
Bible vs quran vyote matango pori mnazidiana ujinga tu.
 
Back
Top Bottom