Mkuu asante kwa hoja.
hoja hii aliyoleta mkuu inachangamoto kubwa sana na inaleta uelewa mpya na migogoro hata kwa waumini wa bibilia.
wengi hata wa imani moja wanaibuka na kutofautiana pia.
Makasisi/wachungaji na wanatheolojia wengi wa kisasa wanabishana na kutofautiana katika hili wengine wakiungana na wanasayansi wanaoamini miyo miaka mamilioni wengine wakiungana na wanasayansi wanaosema ni miaka kama 6000 tu.
Msingi wa hoja yangu katika hili. Hatujui ilichukua muda gani kwenye mwanzo 1:1 au Mwanzo 1:3
Ila kabla hatujaruka bibilia na kuwauliza wanasayansi tukiiuliza bibilia inasema wazi kupitia Mungu huyohuyo aliyehusika kuumba kuwa yote yalifanyika kwa siku sita. Na Kumbukumbu ya siku hizo sita ilimtofautisha Mungu wa waisrael na Miungu mingine yoyote iliyokuwepo enzi zile. Na wakristo wanamuamini Yesu, Na Bibilia Inasema Hakuna kilichofanyika pasipo yeye Yesu, Basi naamini hata Yesu anatutaka Turudi kuheshimu Ufafanuzi wa Bibiliq kqbla ya sayansi.
Kwa nini?
Sayansi Inabadilika, na Bado inagap Kubwa la ufahamu kuliko ilivyovifahamu, Haina Vifaa reliable undebatable vya kutatua utata huu bila shida.
Ila Bibilia Inatutaka tuiamini kama Ultimate truth na ukweli usiobadilika hadi mwisho hivyo inatoa mwanya mpana wa kujadili pia. Ndio maana naamini mada hizi zote zinaibuka na zitaendelea kuibuka kwa sababu tuliutupilia mbali ule mpango wa Ile amri Ya sabato ambayo inawataka wanadamu wakumbuke 6 literal days of creation na sio mamilioni.
maoni mkuu, tunaweza kupingana bila kukwanguana piq. Maana haya mambo sio yetu ni Ya yeye aliyeumba.