zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
- Thread starter
- #101
Mkuu mitale na midimu kama unashikilia msimamo wa Young Earth creationists kuwa dunia ina umri wa miaka 6000 pekee labda niulize je accuracy yao ipoje?? Mfano calendar ya kiyahudi na wakati mwingine walitumia tarehe za kibabylon kuhesabu miaka yao na inajulikana kabisa kuwa tarehe zao hazilingani kabisa na gregorian calendar maana miaka yao ilikuwa mifupi kuliko yetu sasa huoni hata hiyo elfu 6 tayari ina kasoro kubwa?? How accurate can it be??
Nikupe mfano mwanzo 12:4 inasema Abraham alikuwa na umri wa 75 alipoondoka Nchini kwake lakini Biblia hiyo hiyo kupitia Matendo 7:4 inasema Abraham hakuondoka mpaka baba yao alipokufa hivyo kufanya aliondoka akiwa na miaka 135!!
Sasa errors kama hizi kwenye kuhesabu miaka zinawezaje kuleta credibility kwa mfumo waliotumia kina YEC kufikia conclusion yao kuwa dunia ina miaka 6000 pekee??
Nikupe mfano mwanzo 12:4 inasema Abraham alikuwa na umri wa 75 alipoondoka Nchini kwake lakini Biblia hiyo hiyo kupitia Matendo 7:4 inasema Abraham hakuondoka mpaka baba yao alipokufa hivyo kufanya aliondoka akiwa na miaka 135!!
Sasa errors kama hizi kwenye kuhesabu miaka zinawezaje kuleta credibility kwa mfumo waliotumia kina YEC kufikia conclusion yao kuwa dunia ina miaka 6000 pekee??