Biblia imetamka laana Kali sana kwa wanaofanya Ibada za mwenge

Uchawi mbaya sana ule...mimi huwa sitaki hata kuuona. Unakufanya unakuwa zuzu
 
Ni kama yanga.Waliingia maagano ya kichawi kutotumia rangi nyekundu
Ccm wanapenda sana usheitwani na uchawi, ukisoma historia ya Mwenge na Forojo Ganze mchawi mahiri Tanzania aliyefahamika kwa jina la Master utashangaa.
Yaani ni uchawi mtupu
 
Shida zote za Nini hizii πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ana mdomo ulivo gundishwa πŸ€¦β€β™€οΈ ni huzuni kwakweliii πŸ˜†
Woyoooo upo? It is another blessed Saturday, twaweza kukutana kwa ajili ya lunch?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…