Biblia inasema ni ruksa kumpiga mtumwa wako. Mungu mwenye upendo ananichanganya

Bado hujafafanua huo mstari wa kuwadunda ili mradi wasife, na lengo la mtoa mada ni ufafanuzi tu, mkuu tufafanulie hiyo basi.

Haijasema ni ruksa kupiga mtumwa, acheni kupindisha.
Sio kama nyie kwenye ugaidi wa kiislamu mumepewa maagizo kabisa ya kuchinja kwa kukata kichwa yeyote asiyeabudu matambiko ya mwarabu.
Hii hapa tena ipo wazi bila kupindisha
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
 
Upako sio biblia,agano la kale ni maisha kabla ya Yesu jipya ni baada ya Yesu.toka lini asiye Mkristo akailewa biblia, Biblia sio kitabu cha kukariri bali kujifunza na kuelewa na kuishi.lugha ubadilika kulingana na wakati na mazingira ya eneo hivyo tafsiri haiwezi kuwa sawa tafsiri haibadilishi maana ya awali.
 
Kiazi toka pande za kilifi, biblia haijasema muwadunde bali imesema nini? Wewe unaweza kuongea na mtu hadi akafa kwa maneno? Ndiomaana kuna padri katoa mchongo wa kuuwa albino
 
Kiazi toka pande za kilifi, biblia haijasema muwadunde bali imesema nini? Wewe unaweza kuongea na mtu hadi akafa kwa maneno? Ndiomaana kuna padri katoa mchongo wa kuuwa albino
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…