inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Alipoenda huko alikoenda alioa akamzaa Enoch,alimuoa nani na yeye alikua mtoto wa kwanza wa Adam!?..hakuhofia hao waliozaliwa baadaeMwanzo 5:4 BHN
4. Baada ya kumzaa Sethi, Adamu aliishi miaka 800, na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.
Hawa ndio alikuwa anawahofia
Watoto wengine wa Adamu nao si walizaaAlipoenda huko alikoenda alioa akamzaa Enoch,alimuoa nani na yeye alikua mtoto wa kwanza wa Adam!?..hakuhofia hao waliozaliwa baadae
watoto wengine wa Adam ni wadogo kwa Cain,hata Kama walizaa na hao watoto kuolewa na Cain,bado si kweli ukizingatia umri,na Cain anaongea wakati uliopo ambao Adam hakuwa na watoto wengineWatoto wengine wa Adamu nao si walizaa
Tayari Adamu alikuwa na watoto wengine ukiacha Cain na Abelwatoto wengine wa Adam ni wadogo kwa Cain,hata Kama walizaa na hao watoto kuolewa na Cain,bado si kweli ukizingatia umri,na Cain anaongea wakati uliopo ambao Adam hakuwa na watoto wengine
Unahofiaje mtu ambae hajazaliwa?Alipoenda huko alikoenda alioa akamzaa Enoch,alimuoa nani na yeye alikua mtoto wa kwanza wa Adam!?..hakuhofia hao waliozaliwa baadae
Msingi wa dini uko kuanzia mwanzo 1 inayoelezea uumbaji wa Mungu wa binadamu wa Kwanza.
Baada ya Adamu kuubwa, alipewa mke wake akamuita Eva, wakazaa watoto 2, mmoja Abeli mwingine Kaini.
Hao watoto mmoja akawa mkulima (Kaini) na mwingine Abel mfungaji. Mmoja, Abel akapata kibali machoni pake Bwana baada ya kua anamtolea dhabihu ya mwana kondoo alienona( sijui kwa nini Mungu anapenda vitu vinono) na mwingine akawa anatoa dhabihu ya mazao, bwana hakuyapenda. Hata wewe ungekubali, mwingine anakuletea nyama iliyonona mwingine anakuletea mihogo sijui viazi, magimbi, utampenda nani?
Msingi wa hoja yangu uko Mwanzo 4:12- 14 ambapo baada ya Kaini kumuua kaka yake Abeli, Mungu akamtimua Kaini kwenye ardhi aliyokua amewaweka na akamuagiza atoke kwenye eneo lake na kwenda huko kutangatanga.
Kaini akaomba kwamba akitimuliwa kwenye ardhi ile ya kwao akaenda kwenye ardhi nyingine huko nje kutangatanga itakua ni rahisi mtu yoyote yule kumuona na kumuua ama kumdhuru.
Mwanzo 4:15 Mungu anamuahidi Kaini yoyote atakaemfanyia jambo baya Kaini ataadhibiwa mara 7 na Mungu akaahidi kumuwekea alama maalum Kaini ili watu wengine huko nje wamtambue na wasije kumdhuru ama kumuua.
Swali langu linakuja, kama Adam ndio alikua binadamu wa Kwanza, Abel na Kaini ndio walikua watoto wa Adam pekee, Kaini akamuua kaka yake Abel akabaki mwenyewe, hao watu ambao Kaini alikua anahofu watamuua walitoka wapi?
Kumbuka aliefukuzwa Eden ni kaini tu. Na kaini baada ya kufukuzwa Eden akaenda huko kwenye kutangatanga akapata mke, wakazaa mtoto Enoch na kuendelea.
Je biblia inadanganya kuhusu binadamu wa kwanza hapa Duniani ama inajichanganya?
Kwa nini hawakuandikwa, lengo la kutokuwataja hao watu ilikua ni nini? Ni obvious kulikua na nia ovu, ill intent watu wengine waaminishwe kwamba binadamu wa kanza hii Dunia alikua adam na aliumbwa na Mungu, je hao wengine ambao hawakutajwa waliumbwa na nani?Kwa hiyo tusemeje sasa....hakuna Mungu?kama walikuwepo na haikuandikwa kama walikuwepo watu leo tukifahamu then ni kwa faida gani?
Yote yatadhihiri kwa kila mmoja wetu siku siyo nyingi,na hivi hata kufika 70 ni mtihani basi hamna haja ya kuumiza vichwa tungoje!
Hao wengine waliokuwepo waliumbwa na nani na kwa mfano wa nani? Walijiumba wenyewe?Kabla ya kuubwa kwa Adamu (na tuumbe mwanadamu kwa mfano wetu) walikuwepo viumbe wengine Duniani.
NI Adamu pekee ndiye alikuwa mwanadamu kwa kwamza aliyeumbwa kwa mfano wa Mungu mwenyezi.
Hao other people waliumbwa na nani, ama walikua wamejiumba wenyewe?Adam alikua binadamu wa kwanza na Sio mtu wa kwanza watu walikuwepo long time ago,
Bible Mwanzo inasema Bwana Mungu akapanda bustani Mashariki mwa Edeni
Nukuu 'mashariki mwa'
Ikiwa na maana Edeni ulikua mji wanamoishi watu ila Bwana Mungu akapanda bustani huko na kumuweka Adam,
Pili Cain alipomuua ndugu yake aliwekwa alama ili kila amuonaye asimuue means kuna wauaji huko yaani other people,
Pia next chapter jamaa anaenda kaa nchi ya NODI
(Land of Nod )
Sass jiulize watu walikua watatu hiyo nchi ya Nod waliishi nyau?😁
Nchi wanaishi watu na ndiko Cain alikopata mke akamuoa,
Ukienda next chapter utakuta Dunia haikukaliwa na Binadamu tu Kulikua na
Watu, Nephilim (giants),Na Wana wa Mungu wengi tu ambao baadae walizaa na wanadamu
Kumbuka kipindi hiki Dunia ilikua advanced kwenye science na Technology kuliko sasa na kazi zake zipo mpaka leo ukitaka kujua in deep juu ya maisha ya kale tafuta
THE CHRONICLES OF ANNUNAK
Utaupata uhalisia wa Haya mambo na balaa lake!
Biblia ni kitabu cha hadithi. Hakina ukweli wowote.Ndiyo maana wazungu ukiifanya biblia kuwa rejea,wanakucheka,wanajua ni kitabu Cha hadithi za kale Cha hovyo
Adamu alizaa watoto wengi sio tu Abel na KainiHao other people waliumbwa na nani, ama walikua wamejiumba wenyewe?
Babu walizaa na dada zaoKuna kitu hakipo sawa, alieandika biblia hakuwa makini aliacha loopholes nyigi sana. Kaini na Abeli ndio uzao wa kwanza wa Adama na Eva, halafu nao wakazaa, walizaa na kina nani? Adam ndi kiumbe wa kwanza kwa mujibu wake na Eva ni ubavu wake.
Kumbuka aliefukuzwa Karibu na eneo salama(secured area) alikua ni Kaini ndio maana anasema Mungu ukiniondoa hapa kwenye eneo lako nitaenda huko kwa nchi nyingi watu wataniua.Tayari Adamu alikuwa na watoto wengine ukiacha Cain na Abel
Hawa wadogo zake wangeweza kumuua kwa sababu ya kumuua ndugu yao Abel
Miaka ya zamani watu walikuwa wanaishi mpaka miaka 800
Inawezekana tayari wadogo zake walikuwa watu wazima ambao wangeweza kumdhuru kaka yao
Watoto wengine wa Adam walikuwa tayari wameshasambaa maeneo mengineumbuka aliefukuzwa Karibu na eneo salama(secured area) alikua ni Kaini ndio maana anasema Mungu ukiniondoa hapa kwenye eneo lako nitaenda huko kwa nchi nyingi watu wataniua.
Cain alimuua kaka yao AbelHoja kwamba kaini alikua akihofia wadogo zake haina mantiki.
Hao waliumbwa katika uumbaji wa Mwanzo kabla ya Adam wa Eden ,Hao other people waliumbwa na nani, ama walikua wamejiumba wenyewe?