Biblia Mwanzo 4: Kwa nini Kaini baada ya kumuua Abel, aliogopa watu wengine watamuua, hao watu ni kina nani?

Sawa walikuwepo watu kabla yao,pia sawa Mungu hayupo,tukiiweka hivi hii kutakuwa na tatizo lolote mkuu?
 
Kibiblia tunaweza sema, Adam alikua na watoto wengine ambao hawakutajwa coz walikua hawana role yoyote kwenye mtiririko wa maandiko hivyo hao pia walikua threat kwa Cain. Kumbuka zamani watu waliishi miaka mingi so kama cain alikua na miaka say 100 kuna possibility ya ndugu zake kuwa na 40s hivi so wangeweza kuwa threat kwake katika miji mingine.

Kihistoria tunasema Adam hakuwa mtu wa kwanza, maana upo ushahidi wa uwepo wa wanadamu kwa miaka zaidi ya elfu 6 inayotajwa kwenye biblia.

Kitheolojia tunasema Adam hakuwa binadamu wa kwanza bali alikua mtumishi/nabii/mtume etc wa kwanza wa Mungu. So kulikua na viumbe wengine ila Adam ndio alikua topameumbwa/tengenezwa/mentored kufanana na Mungu. So Adam alihofia hao viumbe/binadamu wengine wangemdhuru.

Na hoja ya kwamba kulikua na viumbe wengine tunaweza ona kwenye mwanzo 6 na kuendelea.

Further readings
Je, huu ni ukweli uliofichwa kwa miaka mingi?

Mfalme Ogu wa Bashani: Mnefili pekee aliyepona kwenye Gharika la Nuhu
 
1. Hoja ya kwanza Adam alikua na watoto wengine ambao hawakutajwa bado inabakia kua ni ya kihisia zaidi maana haijaandikwa popote. Basi tukubali alikua na watoto wengine. Lakini kaini hakua anawahofia hao watoto wengine kwa sababu wao bado alibakia kwenye eneo maalumu ama eneo tegemezi la Mungu, hawakufukuzwa.

Kaini alikua anahofia watu ambao angekutana nao baada ya kufukuzwa kutoka eneo tengwa la Mungu walipokua wakiishi. Kaini hakusema nikikaa hapa hawa wataniua, alisema nikienda huko hao wa huko wataniua.

Pia kwa mantiki ya mwandishi, kaini ndio mtoto wa Adam aliefanya kosa la mauaji na alikua akijua ni kosa, hao wengine wasingeweza kufanya kosa la kumuua Kaini kwani walikua wakijua kuua ni kosa na Mungu hapendi. Hivyo ndugu zake hawakua threat kabisa kwake.

2. Iwapo kulikua na watu wengine ambao wangemuua kaini, hao watu wengine walitoka wapi, waliumbwa na nani kama Adam ndio binadamu wa Kwanza kuumbwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…