Biblia ndio kitabu pekee kinachojibu maswali Mengi kumuhusu binadamu na maisha yake

Biblia ndio kitabu pekee kinachojibu maswali Mengi kumuhusu binadamu na maisha yake

Allah anapenda nini ?

Watu wanafanya ibada kwa miungu wengi tofauti tofauti na kila mungu wao anakua na sifa zake na vitu anavyopenda.
Allah anapoenda kuombwa. Anapenda kuabudiwa.

Sasa hoja yako ipo wapi hapo ? Kwahiyo hao miungu wakipenda yao kuna badilisha maana ya Ibada niliyo itoa ?
 
Mi naomba nikueleweshe kwa urahisi.

Mwamba amesema kuna mwili, nafsi na roho.

Mwili ni jumba (body) ambalo linaishi katika dunia hii, Biblia inasema neno Vazi.

Hii kwanza ili uelewe, ni kuwa kwenye kila ulimwengu kuna vazi lake.

Ukiwa unaishi duniani, au kwenye ulimwengu huu tunaoishi ni lazima utatumia vazi la mwili.

Hapa kwanza tupo pamoja. Si ndio?

Haya twende sasa...

Kuna nafsi,

Hii ndio identity yako wewe, yaani hii ndio wewe. Nafsi ndipo inakaa id yako kuwa wewe ni nani.

Kwenye mwili huu wa ulimwengu wetu nafsi hatuioni, ila inajificha ndani yetu inabeba vitu vyake kadhaa, mf. Self (inner conscience); hii ni ile hali yako ya kutambua mema na mabaya, kufanya maamuzi binafsi, ni ile sauti flani unaisikiaga au inakuambiaga wakati mwingine unapotaka kufanya maamuzi ya hiari au ya lazima (hatari), na kadhalika.

Nikiielezea hizo sauti za ndani zinaweza kukuchanganya ukaamini ubonho ndio unafanya kazi zote, ila ni hapana, ubongo ni kama computer system tuu ya body zima la mwili, au kama unajua computer, brain ni kama CPU au processor kwenye computer.

Lakini kwenye nafsi hakuna kitu kimoja tuu, kuna vingine ambavyo kuvifahamu ni mpaka uwe na full access ya ulimwengu wa roho, namaanisha, uweze kuwa umefunguka zile SENSES zako zilizofungwa, zikiwemo THIRD EYE na zinginezo. Zinafika hata saba au zaidi, ndio Zile Higher dimensions. Usijali sana kama huzijui maana bado hazijagundulika vizuri kwenye ulimwengu wa mwili, so..yah.

Ila kwa ufupi, nafsi ni identity yako wewe.

Sawa. Mpaka hapo nadhani tupo pamoja.

roho sasa....

Roho ni power grid, light au energy source ya kila kitu chako. Maana rahisi ni chanzo cha nishati ambacho Mungu kakupa. Na hiki anakiona yeye mwenyewe. Na kikizima hiki, anajua, kikiendelea kuwaka anajua.

Kumbuka kuwa wewe ni system, so kila system ni lazima iwe na power source/ chanzo cha nishati, ndio roho sasa.

Watu wa dini na imani wanasemaga roho imetoka kwa baba, maana yake ni roho ni ya Mungu mwenyewe, ndio maana ukisali au usiposali, Mungu anakusikia, anakuona, na anakujua popote pale ulipo.

Wengine hufika mbali zaidi kuwa hii ndio inayompelekea taarifa Mungu kuwa unafanya mema au mabaya, well, kwa hilo sina uhakika...ila najua tuu NAFSI ndio itakayohukumiwa siku ya mwisho coz ina matendo yako yote, tangu kuzaliwa mpaka kuda kwako duniani, na itaendelea kurekodi maisha yako yote ya milele.

Anyway, tusipotelee huko, turudi kwenye reli.

So, Hauwezi kutengeneza roho, wala kuiona, wala kujua inavyofanya kazi...sanasana utasoma na kuelewa, lakini ni tech ya Mungu mwenyewe, hauwezi uifanyia manouver, kwa sababu roho ni ya milele.

Mnaosoma biblia mlionaga lines zinasema na tumuumbe mtu kwa mfano wetu, maana yake mtu amepewa roho. Ndicho pekee kinachokufananisha na Mungu, na si kingine. So hapa kwa wengine majibu wamepata, kuwa mwanadamu amefananaje na Mungu.

Mpaka hapo sasa umeelewa?

SASA INAKUWAJE MTU ANA VYOTE HIVI KWA PAMOJA???

Nafsi na roho zinaweza kushikamana na kukaa pamoja, lakini mwili hauwezi kushikamana na vyote hivi kwa muda mrefu, kwa sababu mwili ni wa muda, mpito, unaishia kwenye ulimwengu huu pale unapokufa (iwe duniani au mars au hata sayari yoyote ile, au galaxy gani sijui ukiweza kuishi huko)
Lakini Nafsi ni ya milele, na roho ni ya milele. Havifi, havipotei na wala havichakai.

NINI KUHUSU STORI ZA KWENDA MBINGUNI?

Kwa watu wa dini na imani mbalimbali wanaamini kuhusu kwenda mbinguni, ila endapo wakibahatika kwenda huko ni kuwa wataenda na NAFSI (mwili utauacha) na wakifika kwenye ulimwengu husika, watakuta au kupewa vazi jipya la ulimwengu huo, ili waishi maisha ya huko.

Sasa kama umeenda Mbinguni utapewa vazi la huko ambalo naskia ni zuri ajabu, lipo so pure, so real, na soo perfect, (kama ambavyo Zumaridi amejaribu kuelezea kwenye interview yake na MillardAYO na akashindwa[emoji23][emoji23])

Na kama ukibahatika kwenda motoni, basi utapewa vazi la huko ambalo limejaa mateso, taabu, funza, wadudu, moto na maumivu ya milele.

Mpaka hapo sijui kama umenielewa??

Na haya hadi zumaridi amejaribu kuelezea pia, ila inabidi umsikilize kwa makini sana ili upatepate idea.
Nashukuru sana, umeniongezea kitu kikubwa,. Ni kama naendelea kuelewa, kuhusu mwili Kuna mtu alielezea sana kwa Nini Malaika wakija Dunian wanaonekana kama sisi, na akasisitiza ni lazima iwe hivo coz ni kanuni ya kiulimwengu wetu chochote kinachoingia kuwa ktk maumbo yake,ie njiwa, mtu, nk, ilikuwa just here in JF
Nieleweshe zaidi,, pale "kwa mfano wetu"nilijua Mungu alimaanisha jinsi tunavopanga(nafikili hiii ndio kazi ya kinafsia KULINGANA na nilivokuelewa,. Huo mpango utakavokuwa , kwa mfano kinafsia napanga kununua ndege, ,,in vision najiona mwenyewe nikirusha ndege akati Bado hata sijanunua ,au naiona ndege yangu kichwani, Naweza kuwa sahihi nikisema utendaji wa roho uko zaidi katika taswira !? Najua ufanano wetu na Mungu uko hapa, waswahili wanasema aliwazalo mjinga humtokea, maneno yanaumba, je kauli zote hizi zinadhihirisha nguvu ya roho tuliyonayo ambayo imechagizwa na mawazo ya kinafsia!?

Na je Naweza fungua jicho la tatu bila ya kumuasi Mungu!?
Nashukuru kwa maalifa,
 
Allah anapoenda kuombwa. Anapenda kuabudiwa.

Sasa hoja yako ipo wapi hapo ? Kwahiyo hao miungu wakipenda yao kuna badilisha maana ya Ibada niliyo itoa ?
abudu na ibada ni msamiati mmoja.

ndio najua anataka kuabudiwa.

nini maana ya ibada ( kuabudu) ?
 
Kama lazima kuwepo na chanzo na Mungu pia lazima awe na chanzo.

Maana huwezi kusema binadamu ana chanzo na Mungu Hana chanzo.

Hapo utakuwa una ji contradict na msimamo wako wa kwamba LAZIMA kuwe na chanzo.
Apo unakimbia swali mkuu we nijibu kama hajaumbwa ametikeaje??chanzo chake nini
 
Niambie jinsi ya biblia imeonyesha namna ya kufanya ibada?

Niambie wapi biblia imeonyesha namna ya kufunga ndoa na kugawana mirathi?

Nionyesha katika adabu na taratibu za binadamu kama kula ,kulala, kutembea Na mambo ya kili siku kupitia bible?

Nionyeshe sayansi ya binadamu kupitia biblia kwa mfumo wowote ule ?

Biblia haiwezi kuwa katiba wala muongozo wa mwanadamu kwa saba mbu haiendani na matakwa ya kibidamu na haina mfumo complete wa maisha ya binadamu.

Ndo maana leo kuna watu hata kuchinja hayaruhusi kisa wanafuata bible sasa wakulajd nyama?

Ishu ya ndoa ambayo ni pana kwa zama za sasa kuvunjika ndoa ila unaambiwa [emoji23][emoji23]ndo ni milele mpaka watu wanakuja kuuana kabisa .

Wanaume wasioe au waoe wanawake wachache ,ilihali kimatakwa ya binadamu hususani mwanaume kamili ni ngumu sana asioe au awe na mke mmoja ,hili tunaona huko mitaani.

Akijibu ni tagg
 
Back
Top Bottom