Biblia ndio kitabu pekee kinachojibu maswali Mengi kumuhusu binadamu na maisha yake

Biblia ndio kitabu pekee kinachojibu maswali Mengi kumuhusu binadamu na maisha yake

Kwanza aliyemfanya Lucifer aasi sio yeye mwenyewe, hapana, bali ni Kiumbe alieumbwa kabla ya Adamu ndie aliezua mbalaa.

Mwanadamu ujue ni creation project 2.0..so creation project ya kabla ndio ilileta mbalaa, mpaka wa kuwavuta malaika baadhi na viumbe wengineo kwenye uasi.

Shetani mkuu sio lucifer, no, lucifer anatumika tuu ki project ya uasi kama chambo ya kumvuta mwanadamu kwenye dhambi.

So, majaribu anayopata mwanadamu ni kutoka kwa kiumbe older zaidi ya mwanadamu, ambaye ameshakula hukumu, na ndio alieomba battle la challenge na Mungu dhidi ya mwanadamu.

So, Mungu anaposema sali, okoka, au umuabudu yeye, anamaanisha kuwa ishinde dhambi, ishinde nafsi yako dhidi ya mwanadamu mwenzako aliyeumbwa kabla yako...maana huyu alipanda daraja la uasi na kuwa juu sana kiasi cha kutaka kumchallenge Mungu..kisa tuu kaupata umilele...or maybe more..i don't know.

Hapa hauwezi elewa kama haujui vingi, na utaniona kama chizi vileee..
Mkuu ni vizuri ukaelezea mambo kwa kuzingatia biblia pekee la sivyo utaeleza kitu kisicho na mashiko yoyote.Kuhusu Lucifer yeye aliasi kutokana na kiburi chake maana alikuwa ni mzuri,,amepewa vitu kupita malaika wengine,,alikuwa karibu kabisa na Mungu kwa ajili ya sifa na zaidi alikuwa kerubi aufunikae uso wa Mungu kwa mabawa yake.Kwa hio mwanga wake na utukufu wake ulikuwa mkubwa...With due respect nakuomba usome EZEKIELI 28:11-17 HAPA UTAIPATA HABARI YOTE YA LUCIFER
 
Una uhakika waislam hawanywi pombe?
😂😂 Mweny sifa za kuwa muislamu hanywi pombe yule muumini sio jina wala kurith dini kwa wazazi.

Kawaida ukinywa pombe ukiwa muislamu watu watakushangaa kwa vile ipo wazi waislamu hawanywi pombe.
 
Wewe Huwezi kujenga hoja unatumia kigezo cha kuyaita maswali yangu ujinga, uboya na upumbavu kwa vile Umeshindwa na huwezi kuyajibu kwa uthibitisho unao eleweka.

Jibu Hoja acha kuzunguka zunguka na Aya ndefu zisizo na mantiki.

Naku uliza hivi, Huyo Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele Alishindwaje kuumba binadamu wema tu,ambao wangemfurahisha milele?

Kwa nini aumbe binadamu walio kuja kumsikitisha aanze kujutia?
Mkuu ukisoma mwanzo wa uumbaji kwenye bustani ambayo ndio mwanzo wa maisha ya binadamu kulikuwa na option mbili moja ya binadamu kuishi free mbali na shida,,taabu au ubaya.Lakini kwa kuongozwa na Mungu na kuishi pasipo kifo,,kuishi milele na option ya pili binadamu kuishi kwa maarifa yake mwenyewe bila kuongozwa na Mungu ila kukiwa na severe hardship kama umaskini maradhi kifo na ubaya wa kila na kusolve matatizo yote kwa akili yake.Sasa binadamu alichagua option ya pili ambayo hadi na wewe umekutana na hio hardship ila sio kwamba MUNGU mwenye uwezo wote alishindwa HAPANA.alishaweza ila kwa sababu ya huo uwezo wake aliweka hadi OPTION.Rejea GENESIS 2:16-17
 
Baada ya kupitia uzi, sioni hoja ya kukujibu huko.
Swali ntakalokuuliza kule ndilo hili nakuuliza huku.

Hoja ndo hii ipo hapa hapa.

Eleza roho ni kitu gani?
Eleza ulimwengu ni nini then maliza kwa kueleza ulimwengu wa kiroho ni kitu gani kama hamkujitungia tu.
Ulimwengu wa roho ndio ulimwengu halisi ambapo kunaishi viumbe vya kiroho visivyo na mwili kama wanyama wote walio duniani,,yaani anga,,ardhini na kwenye maji.
 
Hukuweza kuelezea ulimwengu wa kiroho, wala hujanieleza roho ni nini.

Na huenda ukawa huelewi hata ulimwengu ni nini.

Thibitisha uwepo wa ulimwengu huo wa kiroho ili tuelewane.

Huwezi kumthibitisha Mungu kwasababu hayupo, badala yake utahitaji kujitungia uongo mwingine (roho) ili kuproof uongo mkuu.

Bisha.
Mtizamo wako ndio unaokupa guts ya kusema hakuna Mungu,,Na pia hakuna roho ila hatuwezi kukupinga maana ndio mtizamo wako,,na anaesema kuna Mungu wewe utahitaji uthibitisho lakini shida ni kwamba wewe huijui asili yako na pia umetokea katikati ya safari ambapo wapo waliochafua taswira ya ukweli wa asili na wewe umekwama kwenye disinformation.Kwa kifupi ADAMU ambae ndie mwanzo wa binadamu wote alikuwa anaexist katika ulimwengu wa roho ambao ndio halisi na at the same time alikuwa duniani.Yaani alikuwa active katika sehemu mbili kwa wakati mmoja.Lakini alipofeli activation ya upande wa pili ilipotea akabaki bila uhalisia wake.Na wewe ni product ya kosa lile la kukosa activation na huna connection ya ule uhalisia wako.
 
Hakuna Mungu
Hakuna Malaika
Hakuna Pepo Wala Moto
Hakuna Nafsi
Hakuna Roho

Ni propaganda tu zisizo na mashiko toka kwa watu wenye mtindio wa ubongo.
Umeeleweka
 
Mtizamo wangu kuhusu binadamu ninamfananisha na Printer ambayo ili ikamilike lazima kuwe na waya unaoiunganisha na kompyuta na hio komputa ndio imebeba vitu vyote ambavyo vinatakiwa viprintiwe kwenye komputa ili viwe halisi.Kwa hio printer ikiisha wino kurefil lazima utumie computer,,ikiwa out of date software yake lazima uidownload kwenye computer na ikiwa haiprint lazima utumie computer kuflush bubles..Kwa hio hapa tulipo duniani tuko as printer na wengi wetu hawajui kwamba kila kitu cha kuiendesha printer kiko wapi.....VYOTE viko kwenye ulimwengu wa roho,,,havipatikani pengine...

YEREMIA 10:23
Ee BWANA ,NAJUA YA KUWA NJIA YA MWANADAMU HAIMO KATIKA NAFSI YAKE;KUELEKEZA HATUA ZAKE SI KATIKA UWEZO WA MWANADAMU.
HII ni katika ulimwengu huu tulio katika state ya MEMA NA MABAYA. KAMA ROHO YA MWANADAMU IKIWA ACTIVE MWILI UNAKUWA AS IF SIO CHOCHOTE.
 
Mtizamo wako ndio unaokupa guts ya kusema hakuna Mungu,,Na pia hakuna roho ila hatuwezi kukupinga maana ndio mtizamo wako,,na anaesema kuna Mungu wewe utahitaji uthibitisho lakini shida ni kwamba wewe huijui asili yako na pia umetokea katikati ya safari ambapo wapo waliochafua taswira ya ukweli wa asili na wewe umekwama kwenye disinformation.Kwa kifupi ADAMU ambae ndie mwanzo wa binadamu wote alikuwa anaexist katika ulimwengu wa roho ambao ndio halisi na at the same time alikuwa duniani.Yaani alikuwa active katika sehemu mbili kwa wakati mmoja.Lakini alipofeli activation ya upande wa pili ilipotea akabaki bila uhalisia wake.Na wewe ni product ya kosa lile la kukosa activation na huna connection ya ule uhalisia wako.
Chanzo Cha hii taarifa umeitoa wapi?
Kwamba aliexist kama roho na mwili
 
Mtizamo wako ndio unaokupa guts ya kusema hakuna Mungu,,Na pia hakuna roho ila hatuwezi kukupinga maana ndio mtizamo wako,,na anaesema kuna Mungu wewe utahitaji uthibitisho lakini shida ni kwamba wewe huijui asili yako na pia umetokea katikati ya safari ambapo wapo waliochafua taswira ya ukweli wa asili na wewe umekwama kwenye disinformation.Kwa kifupi ADAMU ambae ndie mwanzo wa binadamu wote alikuwa anaexist katika ulimwengu wa roho ambao ndio halisi na at the same time alikuwa duniani.Yaani alikuwa active katika sehemu mbili kwa wakati mmoja.Lakini alipofeli activation ya upande wa pili ilipotea akabaki bila uhalisia wake.Na wewe ni product ya kosa lile la kukosa activation na huna connection ya ule uhalisia wako.
Unawezaje kujua kuhusu roho pasina kuthibitisha?

Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote inawezekana vipi afeli mpango wake huo wa activation kwenye project yake!?

Unaweza kuthibitisha kuwa hadithi za Mungu, adamu na eva, roho na uumbaji kwa ujumla kuwa ni za kweli na sio hadithi za kutungwa tu na watu!?
 
Unawezaje kujua kuhusu roho pasina kuthibitisha?

Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote inawezekana vipi afeli mpango wake huo wa activation kwenye project yake!?

Unaweza kuthibitisha kuwa hadithi za Mungu, adamu na eva, roho na uumbaji kwa ujumla kuwa ni za kweli na sio hadithi za kutungwa tu na watu!?
SIJASEMA ALIFELI ACTIVATION ILA NI BINADAMU ALICHAGUA OPTION KATI YA MBILI ZILIZOWEKWA.KAMA BIBLIA NI HADITHI LABDA UNIJUZE HADITHI NYENGINE YENYE KUJULIKANA NA KUHESHIMIWA NA VIZAZI KWA VIZAZI VYA DUNIA YOTE.
ROHO INATHIBITISHWA KWA WEWE KUIJUA NAMNA YA KUFUMBULIWA MACHO YAKO ILI YAONE ULIMWENGU HALISI WA KIROHO,,NA ZIPO OPTION ZA KISHIRIKINA NA NYINGINE ZA KIDINI.UTACHAGUA.
 
Mkuu ukisoma mwanzo wa uumbaji kwenye bustani ambayo ndio mwanzo wa maisha ya binadamu kulikuwa na option mbili moja ya binadamu kuishi free mbali na shida,,taabu au ubaya.Lakini kwa kuongozwa na Mungu na kuishi pasipo kifo,,kuishi milele na option ya pili binadamu kuishi kwa maarifa yake mwenyewe bila kuongozwa na Mungu ila kukiwa na severe hardship kama umaskini maradhi kifo na ubaya wa kila na kusolve matatizo yote kwa akili yake.Sasa binadamu alichagua option ya pili ambayo hadi na wewe umekutana na hio hardship ila sio kwamba MUNGU mwenye uwezo wote alishindwa HAPANA.alishaweza ila kwa sababu ya huo uwezo wake aliweka hadi OPTION.Rejea GENESIS 2:16-17
Inakuwaje Option (chaguo), Akili na maamuzi ya watu wawili
(Adamu na Hawa) ya athiri binadamu wote ?

Na wakati huo huo binadamu wengine huzaliwa na options (machaguo) yao?

Huoni kwamba Mungu hayupo Fair kwa kuingilia "free will" za binadamu wengine wasio husika na chaguo la kina Adam na Hawa na kuadhibu binadamu wengine wasio na hatia na wasio husika na uzembe wa watu wawili (Adam&Hawa)?
 
Natamani sana kuijua qurani tatizo wenzentu ukiwalizia wanaanzaga kufoka,,,,
 
Kwahyo biblia ni hadithi za ukweli na unaamini kabisa!?
WEWE UNASEMA BIBLIA NI HADIDHI HEBU NIAMBIE HILI KWA SAYANSI YAKO LINAWEZEKANA AU LITAHITAJI UTHIBITISHO
YEREMIA 5:22
JE` HAMNIOGOPI MIMI? ASEMA BWANA: HAMTATETEMEKA MBELE YA USO WANGU;MIMI NILIEWEKA MCHANGA KUWA MPAKA WA BAHARI, KWA AMRI YA DAIMA,ISIWEZE KUUPITA? MAWIMBI YAKE YAJAPOUMUKAUMUKA,HAYAWEZI KUSHINDA NGUVU;YAJAPOVUMA SANA,HAYAWEZI KUUPITA.
 
Inakuwaje Option (chaguo), Akili na maamuzi ya watu wawili
(Adamu na Hawa) ya athiri binadamu wote ?

Na wakati huo huo binadamu wengine huzaliwa na options (machaguo) yao?

Huoni kwamba Mungu hayupo Fair kwa kuingilia "free will" za binadamu wengine wasio husika na chaguo la kina Adam na Hawa na kuadhibu binadamu wengine wasio na hatia na wasio husika na uzembe wa watu wawili (Adam&Hawa)?
Ukitengeneza gari wewe ndo unaamua ukubwa wa injini,ubora wa breki,taa na liwe na speed Gani,,,kwo unataka mwanadamu ajichagulie yeye kajiumba???
 
Inakuwaje Option (chaguo), Akili na maamuzi ya watu wawili
(Adamu na Hawa) ya athiri binadamu wote ?

Na wakati huo huo binadamu wengine huzaliwa na options (machaguo) yao?

Huoni kwamba Mungu hayupo Fair kwa kuingilia "free will" za binadamu wengine wasio husika na chaguo la kina Adam na Hawa na kuadhibu binadamu wengine wasio na hatia na wasio husika na uzembe wa watu wawili (Adam&Hawa)?
NI KWAMBA OPTION YOYOTE AMBAYO WANGECHAGUA INGEATHIRI VIZAZI VYOTE HATA NA HIO AMBAYO MABAYA YASINGEWEZEKANA.NA WACHAGUZI WA KWANZA WA OPTION NDIO HAO HAO WAWILI...SASA BINADAMU WOTE WAMEZALIWA KATIKA HIO OPTION YA PILI LAKINI MUNGU NI MWINGI WA REHEMA NA AMBAE MAARIFA YAKE HAYAPIMIKI AMEWEKA BACKDOOR YA KUTENGENEZA BAADHI YA MAMBO HATIMAE BAADA YA KUFA NA KURUDIA ILE OPTION YA KWANZA LAKINI KATIKA MWILI MWENGINE.NA KATIKA ULIMWENGU HALISI.
 
WEWE UNASEMA BIBLIA NI HADIDHI HEBU NIAMBIE HILI KWA SAYANSI YAKO LINAWEZEKANA AU LITAHITAJI UTHIBITISHO
YEREMIA 5:22
JE` HAMNIOGOPI MIMI? ASEMA BWANA: HAMTATETEMEKA MBELE YA USO WANGU;MIMI NILIEWEKA MCHANGA KUWA MPAKA WA BAHARI, KWA AMRI YA DAIMA,ISIWEZE KUUPITA? MAWIMBI YAKE YAJAPOUMUKAUMUKA,HAYAWEZI KUSHINDA NGUVU;YAJAPOVUMA SANA,HAYAWEZI KUUPITA.
Mbona Kuna maeneo mengi tu iliyokuwa sehemu ya ardhi bahari imeshaimeza.

Kuna Visiwa vilikuwepo Sasa vimemezwa na bahari.

Watu wa visiwa vya Vanuatu wapo hatarini ardhi yao kumezwa na bahari.

Sasa huo mstari una maana ya watu duni wa kale walivyokuwa wanatafsiri mazingira ila sio kweli kwa maana ya kuntu.
 
Back
Top Bottom