Biblia ndio kitabu pekee kinachojibu maswali Mengi kumuhusu binadamu na maisha yake

Biblia ndio kitabu pekee kinachojibu maswali Mengi kumuhusu binadamu na maisha yake

Sawa hamna, ila kuna Warumi.

Na bado hujanijibu swali nlilokuuliza mkuu
Na Kilichoandikwa kwenye Sura za Warumi najua hujui chochote. Kwasababu ndio yameandikwa maonyo kuwahusu wao hasaaa.

mmmh Umeniuliza swali gani ?? Sijaona.
 
Mkuu tunapoanalyse data hizi, tunafuata timeline tu, tunaangalia chimbuko ama mwanzo wa kitu.

Wapi nimesema kuwa nachukua mafundisho kwenye Ukatoliki!?

Unaelewa kuwa hizo hadithi za uongo za biblia zimetungwa na hao halafu wewe kijana Surya mtanzania mmoja hivi ukaja kuyabugia tu bila kufanya reasoning yeyote!?

Halafu kwa bahati mbaya sana unahisi wewe ni mjuzi kuwazidi hata walioandika hayo.

Mimi si mfuasi wa Mungu wa aina yeyote ile, ila nmefuatilia jamii mbalimbali na imani zao.
nikishusha historia hapa kutoka chimbuko la kitu na msingi wake utaweza kunyambua!?

Unaelewa nini kuhusu hiyo biblia!?

Lakini yote haya tunazunguka tu, hujaweza kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu wala kutatua contradiction kwenye dhana ya uwepo wake, badala yake unanihubiria tu.
Shusha machimbuko ya imani yoyote ile, kwa faida yangu na ya wengine. I am happy to learn.

Timeline sometimes tells you tje truth, but in bible, sometimes don't.

Bible ni jser guide ya mwanadamu katika malimwengu yote, hasa ya kiroho, ambako ndipo anapasa kuishi.

Usinogewe na maisha ya ulimwengu huu wa mwili, haukupeleki popote pale.

Vitu vya rohoni vinafanya kazi kimaajabu mno.

Unaeza kuona kabibi kazee ndotoni, au duniani na ukakadharau, hakana nguvu na kako slow mno, lakini kwenye ulimwengu wa roho ni beast, ambaye hashikiki, haambiliki, na anaogopeka na watu wote wa huko.

You get the idea

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Hoja zako zimebase kwenye ulimwengu wa mwili. Haujui hata biblia ni nini.

Unaendelea ku focus kuwa imeandikwa na nani, lakini haujui ndani ina nini.

Biblia ina codes za kiroho, ambazo ni sawa na kusema zimeandikwa na Mungu mwenyewe.

Kama unajua kuwa Mungu anaweza kumtuma mwanadamu kufanya jambo lolote akiwa na udahamu nalo au hata asipokuwa na ufahamu nalo, nadhani hoja ya kuuliza kaandika mrumi sijui na ajenda zake itakua haina mashiko.

Na hii hpja inakufa kabisa kwa sababu wapo wanaoendelea kuitumia biblia kiroho na wanafanikiwa, tena kwa kiwango kikubwa mno.

Sasa sijui kwanini unan'gan'gania historia ya mrumi na uandishi, au vitabu vingine, au ajenda zingine, na kadhalika huku ukiwapa mgongo wanaofaidika na maajabu, kukua kiroho na mafunzo ya imani katiika biblia.

Jua kwa ufupi tuu kuwa Wayahudi, warumi na wengine hawajaanza leo kutumia biblical scriptures kwa amatumizi yao binafsi,

Hata leo hii watu wanatumia biblical codes na lines kugundua vitu, utawala wa kisiasa, maendeleo ya utamaduni, psychological treatments, kukuza maarfa na upeo (strengthening minds) na hata maendeleo ya kkiuchumi

Hii yote haitoshi kuelewa na babdo unan'gan'gania watu waweke mitazamo hasi kwa biblia??

Shauri lako, we shikilia unachoelewa na kuamini na qenzio wanaendelea kuitumia kujisogeza wanapotaka kufika

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Hukuweza kuelezea ulimwengu wa kiroho, wala hujanieleza roho ni nini.

Na huenda ukawa huelewi hata ulimwengu ni nini.

Thibitisha uwepo wa ulimwengu huo wa kiroho ili tuelewane.

Huwezi kumthibitisha Mungu kwasababu hayupo, badala yake utahitaji kujitungia uongo mwingine (roho) ili kuproof uongo mkuu.

Bisha.
 
Na Kilichoandikwa kwenye Sura za Warumi najua hujui chochote. Kwasababu ndio yameandikwa maonyo kuwahusu wao hasaaa.

mmmh Umeniuliza swali gani ?? Sijaona.
Ndio nmekuandikia Warumi coz ndo huo ukatholic ulipo.
Na ndiyo habari za yesu zilipopikwa.

Habari za watu kufanya miujiza, habari za watu kutembea juu ya maji, mara wengine wakafa hadharani wakafufuka chumbani.

Unaelewa kuwa hao wakatholic ndo wamekuandalia hiyo user manual ya maisha yako kwa utashi wao ili wewe uifuate?
Swali nlilowauliza ni hili, ndo ukaendeleza wewe story nyingine badala ya kujibu hili.
 
Mkuu tunapoanalyse data hizi, tunafuata timeline tu, tunaangalia chimbuko ama mwanzo wa kitu.

Wapi nimesema kuwa nachukua mafundisho kwenye Ukatoliki!?

Unaelewa kuwa hizo hadithi za uongo za biblia zimetungwa na hao halafu wewe kijana Surya mtanzania mmoja hivi ukaja kuyabugia tu bila kufanya reasoning yeyote!?

Halafu kwa bahati mbaya sana unahisi wewe ni mjuzi kuwazidi hata walioandika hayo.

Mimi si mfuasi wa Mungu wa aina yeyote ile, ila nmefuatilia jamii mbalimbali na imani zao.
nikishusha historia hapa kutoka chimbuko la kitu na msingi wake utaweza kunyambua!?

Unaelewa nini kuhusu hiyo biblia!?

Lakini yote haya tunazunguka tu, hujaweza kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu wala kutatua contradiction kwenye dhana ya uwepo wake, badala yake unanihubiria tu.
Ndio maana Sikua mjinga Kukuvuta Kwenye huo Uzi wangu mwingine.

Njoo ujibu Hoja yangu ya huu uzi mwingine
 
Mkuu tunapoanalyse data hizi, tunafuata timeline tu, tunaangalia chimbuko ama mwanzo wa kitu.

Wapi nimesema kuwa nachukua mafundisho kwenye Ukatoliki!?

Unaelewa kuwa hizo hadithi za uongo za biblia zimetungwa na hao halafu wewe kijana Surya mtanzania mmoja hivi ukaja kuyabugia tu bila kufanya reasoning yeyote!?

Halafu kwa bahati mbaya sana unahisi wewe ni mjuzi kuwazidi hata walioandika hayo.

Mimi si mfuasi wa Mungu wa aina yeyote ile, ila nmefuatilia jamii mbalimbali na imani zao.
nikishusha historia hapa kutoka chimbuko la kitu na msingi wake utaweza kunyambua!?

Unaelewa nini kuhusu hiyo biblia!?

Lakini yote haya tunazunguka tu, hujaweza kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu wala kutatua contradiction kwenye dhana ya uwepo wake, badala yake unanihubiria tu.

Ndio maana Sikua mjinga Kukuvuta Kwenye huo Uzi wangu mwingine.

Njoo ujibu Hoja yangu ya huu uzi mwingine
Njoo ujibu hoja yangu kwenye huo uzi, Uje ukatae. Si kweli Na hii dunia inaendeshwa vizuri tu na akili ya kawaida.
 
Biblia ina codes za kiroho, ambazo ni sawa na kusema zimeandikwa na Mungu mwenyewe.

Kama unajua kuwa Mungu anaweza kumtuma mwanadamu kufanya jambo lolote akiwa na udahamu nalo au hata asipokuwa na ufahamu nalo, nadhani hoja ya kuuliza kaandika mrumi sijui na ajenda zake itakua haina mashiko.
Unajuaje kuw Mungu ndo kaandika kitabu chenye uongo na contradiction nyingi vile!?

Thibitisha uwepo wa Mungu kwanjia ambayo si ya uongo, yaani kutumia uongo kuproof uongo.
Hata leo hii watu wanatumia biblical codes na lines kugundua vitu, utawala wa kisiasa, maendeleo ya utamaduni, psychological treatments, kukuza maarfa na upeo (strengthening minds) na hata maendeleo ya kkiuchumi
Hicho ndicho ambacho kinawavuta mnakuwa wenye delusion.

Unaweza experience placebo kwenye baadhi ya mambo, kitu ambacho sio kweli.

Embu tetea madai yako kwa mifano thabiti.
Jua kwa ufupi tuu kuwa Wayahudi, warumi na wengine hawajaanza leo kutumia biblical scriptures kwa amatumizi yao binafsi
Wayahudi si ndio kitabu chao,

Mungu wa waisrael ndo kaandikwa humo, si Mungu wa watanzania.

Mungu wa Isack na akina yakobo, siyo Mungu wa Man Jau
Na ndio watunzi wa kazi ile ya fasihi.

Sasa wewe Man Jau mtanzania hvi uko umekamatwa na vijimistari vya waroma hao.
Na hii hpja inakufa kabisa kwa sababu wapo wanaoendelea kuitumia biblia kiroho na wanafanikiwa, tena kwa kiwango kikubwa mno.
Unaweza kunitajia hata wawili!?
 
Kwani wewe ukizaa mtotoo na ukawa unaiona mienendo yake yote ni ya wiziwizi, akija kuokoka ghafla na kuwa mhubiri na mkemeaji wezi utajisikiaje? Hata pasipo kumuambia?

Mtu kuasi si mwamba Mungu alijua kama mwanadamu atamuasi, hapana. Na kuishi milele haimaanishi unajua kila kitu, hapana.

Unaweza kujua kila kitu endapo umempa mtu free will, na sheria (rules na laws) ukijua kuwa endapo mtu akizitii zile sheria, nothing will happen, ila asipotii, well, something will happen.

Viumbe wa kwanza hawakumtii, wametaka kuwa mungu,

Na ndio maana Mwana wa Adamu ameishi kwenye utii wa Mungu mpaka alipomuasi kwa kula tunda la mti wa kati, ambalo hukumu yake inaendelea kututafuna taratibu.

Tusingejua mema na mabaya, tungeendelea kuishi milele bila shida, maana yake tusingemkosea Mungu.

You get the idea..

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Mpaka kufikia hapa, Unaona kwamba Mungu Hajui yote na si mjuzi wa vyote na kazi zake si kamilifu.

Kazi zake za uumbaji zina onekana zina Weakness za Uasi na Hakutambua hilo kabla.
 
Njoo ujibu hoja yangu kwenye huo uzi, Uje ukatae. Si kweli Na hii dunia inaendeshwa vizuri tu na akili ya kawaida.
Baada ya kupitia uzi, sioni hoja ya kukujibu huko.
Swali ntakalokuuliza kule ndilo hili nakuuliza huku.

Hoja ndo hii ipo hapa hapa.

Eleza roho ni kitu gani?
Eleza ulimwengu ni nini then maliza kwa kueleza ulimwengu wa kiroho ni kitu gani kama hamkujitungia tu.
 
Baada ya kupitia uzi, sioni hoja ya kukujibu huko.
Swali ntakalokuuliza kule ndilo hili nakuuliza huku.

Hoja ndo hii ipo hapa hapa.

Eleza roho ni kitu gani?
Eleza ulimwengu ni nini then maliza kwa kueleza ulimwengu wa kiroho ni kitu gani kama hamkujitungia tu.
Sibishani na Atheist.

If you don't want to use the power of spirit it is up to you.
sikulazimishi.
Baki na kimwili chako.

Wanaojua ku cooking spirit acha waendelee kukutawala.
ikiwezekana wakubebe wakakulimishe na wakulishe na mavi.
May be unachale za mganga falani zinakupoza poza mateso mimi sijui, ila mwendo ni ule ule.
 
Sibishani na Atheist.

If you don't want to use the power of spirit it is up to you.
sikulazimishi.
Baki na kimwili chako.

Wanaojua ku cooking spirit acha waendelee kukutawala.
ikiwezekana wakubebe wakakulimishe na wakulishe na mavi.
May be unachale za mganga falani zinakupoza poza mateso mimi sijui, ila mwendo ni ule ule.
Achana na mambo ya kufikirika

Hayo yote ni hearsey tu, huna unachoweza kukiproof.

Huwezi kuviproof kwasababu havipo tu, si sababu nyingine yeyote.
 
Achana na mambo ya kufikirika

Hayo yote ni hearsey tu, huna unachoweza kukiproof.

Huwezi kuviproof kwasababu havipo tu, si sababu nyingine yeyote.
😂😂😂😂🤣🤣 sawa ndio siwezi, uthibitisho ni Maisha unayoishi wewe.

Mimi sina uthibitisho wowote nimekubali.
sibishani na Atheist.
 
Shida IFC umeendekeza ujinga, hutaki kusoma, unakuja unauliza maswali wakati yamejibiwa tayari huko juu. unajitoa akili kabisa unataka tena tukuelezee binadamu kaumbwaje ?
Toka kote huko nipo mkuu
Naona mpaka mtu wako Man jau amekupinga kipengele Cha hapo juu.

Okay wewe jibu maswali ili tukutoe tongotongo
 
Kwani wewe ukizaa mtotoo na ukawa unaiona mienendo yake yote ni ya wiziwizi, akija kuokoka ghafla na kuwa mhubiri na mkemeaji wezi utajisikiaje? Hata pasipo kumuambia?

Mtu kuasi si mwamba Mungu alijua kama mwanadamu atamuasi, hapana. Na kuishi milele haimaanishi unajua kila kitu, hapana.

Unaweza kujua kila kitu endapo umempa mtu free will, na sheria (rules na laws) ukijua kuwa endapo mtu akizitii zile sheria, nothing will happen, ila asipotii, well, something will happen.

Viumbe wa kwanza hawakumtii, wametaka kuwa mungu,

Na ndio maana Mwana wa Adamu ameishi kwenye utii wa Mungu mpaka alipomuasi kwa kula tunda la mti wa kati, ambalo hukumu yake inaendelea kututafuna taratibu.

Tusingejua mema na mabaya, tungeendelea kuishi milele bila shida, maana yake tusingemkosea Mungu.

You get the idea..

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Mtu kuasi si mwamba Mungu alijua kama mwanadamu atamuasi, hapana. Na kuishi milele haimaanishi unajua kila kitu, hapana.

Unaweza kujua kila kitu endapo umempa mtu free will, na sheria (rules na laws) ukijua kuwa endapo mtu akizitii zile sheria, nothing will happen, ila asipotii, well, something will happen.

Maneno yako hayo man jau
Sasa Ile kusema Mungu muweza wa yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo inatoka wapi?
 
Toka kote huko nipo mkuu
Naona mpaka mtu wako Man jau amekupinga kipengele Cha hapo juu.

Okay wewe jibu maswali ili tukutoe tongotongo
so, what kind of Agenda do you push here..?
Don't you see yourself that your nothing and empty.
 
Ni kweli kabisa ndugu mtoa mada, Biblia ni jibu hapa duniani.
 
Nafikiri hii kauli usichukulie literary... kumbuka Mungu ni roho.. hana nyama na damu kama sisi....
Nafikir hyo kauli ina maana tuna sifa kama za Mungu au tunaweza kuziiga.. sifa hzo ni kama upendo, haki, fadhili, wema, na utashi ambao haupo kwa viumbe wengne.
Hicho ulicho comment ndio uhalisia au Ni mawazo yako tu?
 
so, what kind of Agenda do you push here..?
Don't you see yourself that your nothing and empty.
Hakuna Mungu
Hakuna Malaika
Hakuna Pepo Wala Moto
Hakuna Nafsi
Hakuna Roho

Ni propaganda tu zisizo na mashiko toka kwa watu wenye mtindio wa ubongo.
 
[emoji23][emoji23]sio ibada maana ya ibada ni kufanya kitu Chochote kwa kumnyenyekea mwenyewe Mungu..

Yaani ndo maana wewe ukitaka kulala lazima umuombe ,hata ukitaka kula basi kulala ,kula na matendi yote unapomuhusisha Mungu ni ibada..

Kutembea ni ibada, kula ni inada, kufanya tendo la ndo ni ibada.

Tofautisha ibada na sala
Yaani chakula nitafute kwa akili zangu na nguvu alafu Ni muombe Tena yeye? Akafie mbele huko anitolee upuuzi wake hapa.
 
Sipendi kubishana wala kuingilia mamlaka yako , waislamu hatunywi bia kama una akili timamu utajua tu.

kwetu sisi ukinywa bia ni tendo u ibada ya kumtukuza shetani hata uende dunia ipo inajulikana wanaofuata uislamu kamili hawanywi pombe kabla hata kupewa Ayah jambo lipo wazi[emoji23][emoji23]
Una uhakika waislam hawanywi pombe?
 
Back
Top Bottom