Bila vita unadhan quran isingalinyumbuliwa!?
Hata kwenye uislam kuna Makundi yapo usijifanye kutokuyajua.
Kuna wasunni, washia na mengine madog madog. Madhehebu manne yanayokubaliwa kati ya Wasunni ni
Washafi'i,
Wahanbali,
Wamaliki na Wahanafi.
Kwani hujui habari ya Ahmaddya!?
♦️ Hizi dini mbili zimeua watu mamilion katika kueneza imani hizo.
Uislamu unaotaka kuunasibu hapa ni hatari, na ukiwa na imani hiyo, akili yako inakuwa total corrupted.
Kuirecover ni ngumu coz hiyo psychology yake ni nzito kidogo.
Yesu hadi kuwa yesu, biblia kuwa popular kanisa Katholiki limefanya kazi kubwa na ya ajabu sana.
Huwa naskitika mtu anayeamini kuhusu yesu halafu analiponda kanisa katholic.
Kwangu mimi mtu wa design hii huwa namuita mpumbavu.
Kanisa katholic limeua, limechoma moto watu wakiwa hai waliojaribu kupinga ama kujifanya kuchezea biblia na mafundisho yake.
Tena wengine walikuwa wanafukuliwa ili wapate adhabu yao ya kuchomwa moto.
Imagine mtu amekufa miaka 30 imepita, halafu kanisa linagundua huyu alijaribu kuchezea mafundisho yake, mtu huyo anafukuliwa mifupa yake inachomwa moto halafu majivu yananyunyizwa kwenye mto.
Lengo ni mtu apotee kabisa kwenye uso wa dunia.
Nenda kawatafute akina John Hus, John Wycliffite.
Kanisa katholic lilipoishiwa nguvu, hapo ndo tukashuhudia madhehebu mengine ya Kiprotestanti mengi kama usabato (SDA) , moravian Lutheran n. K
Kanisa katoliki limeingia hadi vita vya msalaba kupambania mambo haya.
Kapitie vita vya msalaba. (Crusade) ukasome na habari za Jesuits, utapata habari za black pope wakiongozwa kwa mara ya kwanza na St Ignatius wa Loyola.
Ukipitia historia tu utajua kuwa Huyo Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hayupo, wala hawezekani kuwepo.
Kwahyo Dunia ya sasa imekaa kwenye ustaarabu,
isingalikuwa mabavu huyo yesu unaemjua hadi hesabu za kalenda (AD) zinatumika leo ni nguvu ya kanisa na dola la papa miaka hiyo.
Kwahiyo hatuwezi kusema sana uislamu humu kwasababu ya heading ya Uzii tu.
Lakini usijinasibu sana, hiyo quran na uislamu ni maafa makubwa.
Uislamu unailinda imani yake kwa mabavu ndo maana watu hawawezi kuichezea sana nkilinganisha na ukristo. Maana ukristoni kumekuwa na kaukichaa na madili ya kupiga hela kirahisi.
Mbona hata saiz ni kwamba matendo yenu (Islamic) yanaonekana tu.
Wenzenu wamestaarabika na mambo ya mabavu kwenye imani lakini ninyi nawashangaa bado hamtaki kubadilika, na hambadiliki kwasababu central processor za vichwa vyenu vimecorrupt. Psychology ya muislamu ni tofauti na ya mkristo, pia ni tofauti na ya myahudi.
Juzi hapo Quran imechomwa lakini reaction yake inaonesha kabisa huyu Mola mlezi alieandikwa humo kwa sifa kede kede hayupo, wala hawezekani kuwepo.