Hebrew Bible TANAKH ina vitabu 24 tu,Hebrew Bible, ina vitabu vichache
Acha uongoMmiliki wa biblia na Kanisa Katoliki. Hivyo biblia yake ndio sahihi kuliko zote.
Hivyo kwanza tambua hilo.
Pili biblia ya kwanza iliandikwa kigiriki/kiebrania kisha tafsiri ya lugha zingine. Mfano kiingereza, kifaransa n.k
Sasa biblia nyingi zimefanyiwa tafsiri kutoka lugha ya pili nasio lugha mama. Hivyo kupelekea kupoteza baadhi ya tafsiri halisi.
Nyingine niswaga za makanisa hayo mengine kutaka biblia iendane na matakwa yao.
Viva kanisa katoliki viva wamiliki halisi wa bablia
Pamoja na kuwa na vitabu vingi lakini hamvisomi na wala hujui kilichoandikwa humo.Mmiliki wa biblia na Kanisa Katoliki. Hivyo biblia yake ndio sahihi kuliko zote.
Hivyo kwanza tambua hilo.
Pili biblia ya kwanza iliandikwa kigiriki/kiebrania kisha tafsiri ya lugha zingine. Mfano kiingereza, kifaransa n.k
Sasa biblia nyingi zimefanyiwa tafsiri kutoka lugha ya pili nasio lugha mama. Hivyo kupelekea kupoteza baadhi ya tafsiri halisi.
Nyingine niswaga za makanisa hayo mengine kutaka biblia iendane na matakwa yao.
Viva kanisa katoliki viva wamiliki halisi wa babliaSikupenda kuorodhesha moja kwa moja maana kuna wengine huwa hawapendi..
Na hiyo ndio sababu nikauliza kwanza..
Ushahidi mwingine ninao kwenye Baadhi ya biblia nimeziweka kama Apps kwenye simu yangu zinatofautiana kwenye baadhi ya Aya
Kuna zingune hazimalizi aya na zingine zinaishia nusu na zingine hazina kabisa hiyo aya
Hii Ndiyo maana ya GT, kuleta kitu kikubwa bila ushahidi ni mbaya sana, sasa asiyependa apinge huo ushahidi.Sikupenda kuorodhesha moja kwa moja maana kuna wengine huwa hawapendi..
Na hiyo ndio sababu nikauliza kwanza..
Ushahidi mwingine ninao kwenye Baadhi ya biblia nimeziweka kama Apps kwenye simu yangu zinatofautiana kwenye baadhi ya Aya
Kuna zingune hazimalizi aya na zingine zinaishia nusu na zingine hazina kabisa hiyo aya
Hii ni mada ingine mkuu. Kama unataka tujadili anzisha mada.Pamoja na kuwa na vitabu vingi lakini hamvisomi na wala hujui kilichoandikwa humo.
Msisitizo uko kwenye kumuomba bikira Maria na kubusu misalaba.
Kitabu kinachotumika ni Misale ya waumini tuu hakuna nje ya hapo.
Hata amri za Mungu zimechakachuliwa mkaruka amri ya " Usijifanyie samamu ya kuchonga wala mfano wa kitu chochote kilicho duniani wa mbinguni, ukaviabudu wala kuvitumikia".
Kutembeza sanamu la bikira Maria ni kutumikia hiyo sanamu.
Mkuu kuna Baadhi ya mambo uko Misinformed..Kwa kifupi sana.
Mfalme Constantino wa dola ya rumi (roman) kipindi hiko wakiwa wanatawala dunia, aliwahi kupigana vita na aliweka ishara ya msalaba kama ishara kuu ndani ya jeshi lake. Akashinda ile vita, kwahiyo akatoa agizo dunia nzima kuwe na dini moja tu, ya Kikristo japo mwanzoni dola hiihii ya Rumi ilikuwa ikiipinga mno dini ya Kikristo na hata kuchoma moto maandiko matakatifu yaliyoachwa na waasisi wa imani hiyo, yaani mitume na manabii.
Unfortunately, ndani ya serikali yake, alijali sana kuwaweka Wakristo, matokeo yake dini ikaanza kupoteza ile nguvu ya rohoni na kutoka ktk ile misingi ya mitume na manabii. Tamaduni za kirumi kama kuabudu sanamu, sikukuu n.k vikaanza kuingizwa ndani ya kanisa. Kanisa likafa kabisa rohoni, likabaki jina tu la Ukristo ila rohoni hakukuwa tena na ile nguvu.
Miaka mingi mbele, kwa kufanya utafiti mbalimbali walitokea watu kadhaa wakasema kwamba imani ya Kikristo imepotoshwa na Kanisa Katoriki kwa kufanya ibada za sanamu, kuingiza sikukuu zisizo na maana ndani ya kanisa pamoja na mafundisho manyonge. Watu hawa kwa Historia ya Kanisa wanafahamika kama wana wa uamsho.
Watu hao kuna akina Max, Martin Luther n.k kabla ya Martin Luther walikuwepo watu kadhaa kama watano ambao walichallenge uendeshwaji wa Imani ya Kikristo unaoongozwa na Rumi(Roma) ila tunamtambua Martin Luther sababu yeye aliachana nyaraka nyingi na ndie mwana uamsho mkubwa wa mwisho.
Rumi walihizinisha vitabu 72 na kuundwa Biblia, ndani ya hivyo vitabu 72, Martin Luther King aliviona vitabu 6 havina mafundisho mazuri/umuhimu ktk makuzi ya maisha ya Mkristo kiroho. Ifahamike kuwa Martin Luther alikuwa msomi na Padre ndani ya Kanisa Katoriki.
Baada ya Martin Luther kusigana na viongozi wake, Martin Luther na Katoriki wakatengana, ndipo ukazaliwa uamsho mpya ndani ya Kanisa, hapo ndipo likaja dhehebu la KKKT, lilikuwa na uamsho mkubwa saana kiroho, huduma zote ambazo Yesu aliacha ndani ya Kanisa kupitia Roho Mtakatifu zilionekana, shetani jinsi alivyo na nguvu akapiga kanisa KKKT nalo likatawanyika, hapo sasa ukazaliwa Upentekoste, Pentecoste na KKKT ni kama baba mmoja ila mama tofauti.
Mwisho, tafsiri za Biblia zipo nyingi saana, wala usishtushwe na hizo tafsiri ila kwa sehemu kubwa maana ni ile ile. Ni sawa na kitabu kimoja cha Ushairi kisha kikachambuliwa na maprofessor wa kiswahili, wengine kutoka UDOM, wengine kutoka UDSM na wengine SAUT ila maana ni zile zile.
DAh SimbaMpole123 welcome BrotherSwali ni kwamba biblia vitabu aliandika nani? Kwa misingi gani? Mda gani? Kwa ukweli gani? Nani aliunda biblia na kwa misingi gani waliacha vitabu vingine...🤣🤣dini ni tool ya kutawala watu shtukeni
Correction: Martin Luther aliona vitabu sita haviendani na mafundisho na maslahi yakeRumi walihizinisha vitabu 72 na kuundwa Biblia, ndani ya hivyo vitabu 72, Martin Luther King aliviona vitabu 6 havina mafundisho mazuri/umuhimu ktk makuzi ya maisha ya Mkristo kiroho. Ifahamike kuwa Martin Luther alikuwa msomi na Padre ndani ya Kanisa Katoriki.
Lete ushahidi kama kweli dini ni tool ya kutawala watu. Umesoma wapi hilo andiko?Swali ni kwamba biblia vitabu aliandika nani? Kwa misingi gani? Mda gani? Kwa ukweli gani? Nani aliunda biblia na kwa misingi gani waliacha vitabu vingine...🤣🤣dini ni tool ya kutawala watu shtukeni
Kwa sanamu nitawatetea kwa sababu biblia imeeleza maana nyingine ya Sanamu na sio vilivyotengenezwa..Pamoja na kuwa na vitabu vingi lakini hamvisomi na wala hujui kilichoandikwa humo.
Msisitizo uko kwenye kumuomba bikira Maria na kubusu misalaba.
Kitabu kinachotumika ni Misale ya waumini tuu hakuna nje ya hapo.
Hata amri za Mungu zimechakachuliwa mkaruka amri ya " Usijifanyie samamu ya kuchonga wala mfano wa kitu chochote kilicho duniani wa mbinguni, ukaviabudu wala kuvitumikia".
Kutembeza sanamu la bikira Maria ni kutumikia hiyo sanamu.
Martin luther alicopy na kupaste biblia ya kiyahudi baada ya kuona ile ya warumi imrongezwa vitabu ambayo wayahudi walivikataa kwamba havi-inspire kirohoMkuu kuna Baadhi ya mambo uko Misinformed..
Nisamehe kama nitakuwa nimekuambia kwa Approach mbaya..
Ila Kajifunze kuhusu Constantine tena na how Aliweza kuaccept Imani ya Dini ya kikristo iingie nchini kwake hapo nahisi bado hukuelewa..
Pili Vitabu Vilifanyiwa finalization Na kikao cha mtaguso wa carthage "The Councils of Carthage"
Mnamo mwaka 393 AD mpaka mwaka 397 AD na hapo ndo walikuwa na significant role in confirming and finalizing the canon of the Bible..
Na ndo walipata Vitabu 72 na huku Vingine wakiviacha..
Na hapo ndo kulitokea Utengano kati ya Eastern na Western..Eastern wao wakaamua kuwa na Vitabu kwenye Biblia 76 mpaka 82 wakati West wakaamua kuwa na Vitabu 72..
Wakati huo Martine luther ameanza kufanya Reformation October 1517..
Ikiwa ni zaidi ya Miaka 1200 imepita Na kuondoa vitabu..
Swali ni kwamba Martine alitumia Vigezo gani kuondoa Vitabu vilivyokuwepo kwa Miaka 1200??
Hakukuwa na Biblia ya Kiyahudi wakati huo Tusipende kupotosha..Martin luther alicopy na kupaste biblia ya kiyahudi baada ya kuona ile ya warumi imrongezwa vitabu ambayo wayahudi walivikataa kwamba havi-inspire kiroho
Ha ha haCorrection: Martin Luther aliona vitabu sita haviendani na mafundisho na maslahi yake
🤣AsanteDAh SimbaMpole123 welcome Brother
🤣Umeona na wewe... we hushtuki mtu anakuletea kitabu anakuambia Mungu kaniambia nikiandike nikiokoe..na wewe unasema yes sir na kutoa sadaka...na kutawaliwa kiuchumi kisiasa mpaka maisha yako private unaambiwa mpaka upige style ganiLete ushahidi kama kweli dini ni tool ya kutawala watu. Umesoma wapi hilo andiko?