Anapewa package ya silaha ambazo hadi thamani yake inatajwa. Na kumbuka watengeneza hizo silaha ni viwanda ambavyo ni private so zinanunuliwa. Ndiyo maana utasikia congress imepitisha package ya silaha zenye thamani ya kiasi fulani.Ukraine hapokei pesa, anapewa silaha
hatari sana
Jamaa alijua silaha zinazopelekwa Ukraine ni mawe na manati zilizotengenezwa kienyeji..Anapewa package ya silaha ambazo hadi thamani yake inatajwa. Na kumbuka watengeneza hizo silaha ni viwanda ambavyo ni private so zinanunuliwa. Ndiyo maana utasikia congress imepitisha package ya silaha zenye thamani ya kiasi fulani.
USD 770 kwa kila kichwa.
Unajifanya unaijua Marekani wakati upo Makete.kwa mtu mmoja mmoja wewe inakuingia akilini hio figure uliyotaja?
Huna akili, myahudi kila siku anaomba misaada America, au huwa anaigiza!?dini zinawafanya mfikiri kwa kutumia miguuWayahudi ndio wenye federal reserve mkuu, siku ukija kujua mzayuni ndio anambeba amerika utajua kama ulikua hujui
Wananchi wanaona Israel inafanya genocide Gaza na US is supporting it with billions of dollars..hiyo ni kama shs za kitanzania milioni mbili, kwa Calfonia hiyo ni hela ndogo sana kwa sababu uchumi upo juu hivyo vitu ni bei juu sana
Wangeachana na hayo mavita ya kuwapiga waPalestina na kwingineko, wangeweza kutoa hela ya kueleweka
Embu badili hiyo hela kwa Tshkwa mtu mmoja mmoja wewe inakuingia akilini hio figure uliyotaja?
Hizi ni stori za kutoka masjid ubwabwa, hakuna muisraeli anayetemea mate makanisa. Israel wanaamini katika uhuru wa kuabudu.Halafu kwanini wanawashabikia jews wakati, jews wana tabia ya kutemea mate makanisa na kutukana Christians?
Katibiwe mirembe ukichaa wakoMfano wa kijinga kabisa kwa hiyo Marekani wanapata excuse kutoka Tanzania?
Tukumbushane tu kuwa; ISRAEL HAKUNA WAKRISTO au NISEME, HAKUNA WAFUASI WA YESU; na kama hakuna wakristo maana yake ni kuwa hakuna makanisa labda ubahatishe kanisa huko pembezoni kwani wafuasi wa Yesu hawafiki hata 1%Hizi ni stori za kutoka masjid ubwabwa, hakuna muisraeli anayetemea mate makanisa. Israel wanaamini katika uhuru wa kuabudu.
Hayo mambo ya kunyanyasa watu wa imani zingine wanaozifanya wanajulikana duniani kote.
Wewe mlokole unangea fikra zako kutokq Uyole, 😂😂Hao watalipwa na bima hiyo serikali imewafanyia suna tu. Israel wameuziwa silaha na Marekani na hawajapewa bure halafu wewe hiyo inakupa tabu gani wakati nchini mwako kunafanyika ufujaji mkubwa wa fedha za umma lakini wala huongelei. Mnafiki mkubwa.
Ni kawaida yao kutemea mate makanisa au wakristo... endeleeni kujidanganya wagalatia kutoka Kipumbwiko..Hizi ni stori za kutoka masjid ubwabwa, hakuna muisraeli anayetemea mate makanisa. Israel wanaamini katika uhuru wa kuabudu.
Hayo mambo ya kunyanyasa watu wa imani zingine wanaozifanya wanajulikana duniani kote.