Soda si nzuri kwa afya.Soda Leo nimenunua elf 11800 per creti moja mwanzo ilikua 9700 aisee na sasa ni rasmi soda za coca zinauzwa tsh 600 badala ya miatano ya awali,
ama kweli mama anaupiga mwingi.
Tatizo watu wabishiSoda si nzuri kwa afya.
Labda ongezeko la bei litapunguza unywaji na kunusuru watu.
HahahaUmenistua, nlidhani bia zimepanda!!!! Kama soda sawa tu😎😎
kwa nini soda sio nzuri kwa afyaSoda si nzuri kwa afya.
Labda ongezeko la bei litapunguza unywaji na kunusuru watu.
Hapo ndipo naona utofauti wa Tanganyika na Zanzibar, huku Nungwi - Zanzibar tumezoea kuuziwa soda 1000/1500 na tunaona fresh tu, tukija Tanganyika tukitoa 1000 tunaondoka hadi muuzaji/muhudumu akuite akurudishie chenchi ndipo unakumbuka uko Tanganyika na si Zanzibar.
Haupigi mwingi tu bali anatakeleza ilani.Soda Leo nimenunua elf 11800 per creti moja mwanzo ilikua 9700 aisee na sasa ni rasmi soda za coca zinauzwa tsh 600 badala ya miatano ya awali,
ama kweli mama anaupiga mwingi.
Nimepita mall hapa dodoma, club soda take away sh950Soda Leo nimenunua elf 11800 per creti moja mwanzo ilikua 9700 aisee na sasa ni rasmi soda za coca zinauzwa tsh 600 badala ya miatano ya awali,
ama kweli mama anaupiga mwingi.
Soda ina sukari nyingi, sukari nyingi inasababisha magonjwa yanayohusiana na mifumo ya maisha.kwa nini soda sio nzuri kwa afya
ahsante
Hizo soda za chupa au take
Zote bei mojaHizo soda za chupa au take away?
Anza kunywa bia, bia hazijapanda bei.Soda Leo nimenunua elf 11800 per creti moja mwanzo ilikua 9700 aisee na sasa ni rasmi soda za coca zinauzwa tsh 600 badala ya miatano ya awali,
ama kweli mama anaupiga mwingi.
Kumbe bado ziko?Soda Leo nimenunua elf 11800 per creti moja mwanzo ilikua 9700 aisee na sasa ni rasmi soda za coca zinauzwa tsh 600 badala ya miatano ya awali,
Ama kweli mama anaupiga mwingi.
Watu wana addictionSoda si nzuri kwa afya.
Labda ongezeko la bei litapunguza unywaji na kunusuru watu.
kuna documentary iko Netflix ( itakuwa na credibility na ubora wa kiwango fulani mpaka ikawekwa netflix) inaitwa WHAT THE HEALTHSoda ina sukari nyingi, sukari nyingi inasababisha magonjwa yanayohusiana na mifumo ya maisha.
Soda kwa wingi inasababisha kuongezeka uzito, kisukari na magonjwa ya moyo.
Is soda bad for you? Effects on the body and alternatives
Soda is bad for a person's health. Learn more about how it can affect the body and alternative options here.www.medicalnewstoday.com