Bidhaa zinazoingiza mapato makubwa zaidi ya kikodi Tanzania 2023/24: Pombe yachangia bilioni 929

Wanywa bia wapewe maua yao.
 
Jumlisha nyama choma wanazokula kodi yake. jumlisha tena supu wanazoamka nazo ahsubuhi hawa ndio walipaji kodi nyingi tz
 
Ukizubaa unakwama.Wakiniangalia ninavyojidai mtoni kwenye mvinyo lazima wakukimbie.🤣
Sasa wee hawajakupa full info...ngoja nikusanue sasa. Huko ukweli wa mambo ni kwamba vibamia wote tutapewa de liboloz na nyie wenye de liboloz mtapewa vibamia.
So wake zako wakiona bilinganya langu lazima waje tuu
 
Huwa nikienda baa au club nikakuta wanawake wamevaa nguo ndefu huwa nahama hio baa🤣nakwosa Ile kitu inataka
Mkuu kwa sisi manguli hivyo ni vitu vya kawaida , kula pombe baki kwenye mstari wako ukizidi unatafuta kupigwa visu vyenye kutu 😂😂😂
 
Sasa ole wake nitakaemkuta akimbugudhi mlevi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…