Bifu la maslahi, linavyokatisha maisha ya mwana harakati wa mtaani

Naijua mzee, halafu sio bogole ni gobole πŸ˜πŸ˜ƒ.
Kuna mzee alikuwa ana windia nyani, Sema risasi zake ni Kama gololi.

Ko vijana wa yesu wali kaa kimasta, maana Wana jua uhuni wa binadamu🀣🀣
Kumbe ni gobole? Unajua Wazee meno yote yameisha kinywani hivyo tunapata shida kidogo kwenye pronunciation 😜

Vijana wa Yesu walikuwa tayari tayari kwaajili ya mapambano, useme yeye Mwenyewe hakuwa tayari kuwaruhusu waingie front πŸ˜…

Mimi mwenyewe bila kuwa mtu wa πŸ‹οΈπŸ‹οΈ na self defense Kuna mjinga mmoja alitaka kuniibia Bibi yenu Mwaka 47, katika mbinu 100 nilitumia mbinu 1 tu na Dogo aliomba msamaha huku akilia machozi πŸ€—
 
Mkuu tuta Rudi hapa, tumalize huu mjadala.
Kuna Uzi nime kutag kule mmu, naomba maoni na ushauri wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…