Hatuchezeshwi mkuu kwani hayo yanatuhusu Nini sisi raia wema wengine !??Ina maana nchi nzima inachezwashwa kindumbwe ndubwe na ukoo mmoja wa gwajima!
Hebu basi tujaribu kuacha na haya mambo tujenge nchi kila mmoja kwa nafasi yake!
Hauoni mumeacha kujadili tozo na kuingia kwenye huu mtego?Askofu Gwajima anafanya haya yote kwa lengo gani na faida ya nani, anataka ku prove nn
tozo Rais si alisema watanzania mumeipokea na mumeshukuru sana, saaa tujadili nini tenaHauoni mumeacha kujadili tozo na kuingia kwenye huu mtego?
Gwajiboy hajui hata babake!?picha ya Marehemu Mzee Stiven Gwajima. Huyu ndiye alikuwa Mkwe wa Waziri wa Afya Dorothy Gwajima.
Mzee Stiven Gwajima alifariki dunia tarehe 30/9/2019 jijini Dar es Salaam. Mtoto wake Mwanasheria Msomi Methusela Gwajima amezungumza na #KitengeTV na kusema huyo ndio alikuwa Baba yake na Mkwe wa Waziri wa Afya na sio mwingine yeyote "Amesema jioni hii"
Hatua ya Mwanasheria huyo kuweka wazi hivyo imekuja baada ya leo Gwajima mwingine kuibuka na kusema yeye ndio mkwe wa Waziri huyo wa Afya.
#KitengeUpdates
View attachment 1903549
je yule mzee Mathias Gwajima aliekuwa kanisa la ufufuo na uzima leo na akamtaka waziri aache kutumia jina la gwajima alikua amesahau au alipangwa?
mtazame mzee mathias Gwajima hapo chiniππ
View attachment 1903552
Pumbavu Sana huyu jamaa, anawaambia wajinga wake pale kanisani eti mtu akishaumwa Corona hana haja ya kuchoma chanjo maana ana kinga tayari na hataugua Tena.Gwajima ni tapeli, anaetumia madhabahau kuwahadaa watu, naimani kaka yangu Job Ndugai hataniangusha hiyo kesho.
N misukule bado inatoa sadaka ππππPumbavu Sana huyu jamaa, anawaambia wajinga wake pale kanisani eti mtu akishaumwa Corona hana haja ya kuchoma chanjo maana ana kinga tayari na hataugua Tena.
Anna Mghwila(RC Kilimanjaro) si aliwahi kuugua Corona akapona na round ya 2 kaugua Tena na ikasepa nae.Misukule yake pale church haitambui Hilo.
Ni zimbukuku wa kikehajitambui
Tangu zamani Gwajima hajawahi kuwa mwana CCM halisi. Alijiunga na CCM wakati wa Magufuli ili kulinda kanisa lake. Na kwa namna Magufuli alivyokuwa anapenda kuabudiwa katika madhabahu alimpokea haraka sana.CCM wanamuogopa Gwajima Kama ukoma na Cha kumfanya hawana.
πππ iko pale inashangilia ujinga ujinga tu.N misukule bado inatoa sadaka ππππ
Na leo kuna misukule imefanyiwa huu utapeli na sadaka yametoa π π π π
hujazuiwa kwenda kuongea nae piaIla huyu Kitenge tv Mimi kama mwanasimba ishatokea tu hua siziamini habari zake, we have crossed lines so many times. Hata hili siliamini labda muweke video, how come waongee nae pekeake