Bifu ya hawa wawili Arusha bado mbichi

Waambie nina mpango wa kuanzisha na mimi biashara yangu ya aina hiyo na nitafanya malipo yawe nusu ya bei wanayotoza huku nikatoa huduma bora zaidi.
 
Mi nilidhani bifu labda la joh makini na spark dawg 😀😀kumbe bifu la dada wa chuga
 

Wazichape
 
Kitu pekee ambacho kimewashinda wanadamu wengi Ni " uaminifu wa kipesa"
 
Kinachofata ni kuuana

Mishangazi haikunywi vizuri hii vijana wa Arusha wapo busy na bangi, kusaga gombaa na pombe
 
Honest mimi niwa Arusha

Lkn hivi viumbe hata siwafahamuu.

Ndio kwanza nawasikia leo.

Humu.

And sidhani kama wapo hata kwenye midomo ya watu wafanyabiasha wa Chuga yetuu.

Natambua watu sikuizi wanavyotengeneza ID feki Nakuanza kujisifia

Hili ni tatizo kubwa
Mfano wanasisiasa wengi wa Arusha.

Alishawai fanya Huyu Gambo,
Huyu Kalanga aliyewaikuwa mbunge wa Monduli enzi hizo na wengine wengi.

Hii Tabia ni mbayaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…