William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
baba yake alizaliwa wapi?
Mkuu FME, wamshangaa huyo kwani RA mbona amefika hapo alipo uraia wake je? Tanzania haijaanza kuliwa leo hasa na wageni toka nchi jirani hao ndo kabisaa!
- Sasa baba yake alifikiaje kufanya kazi kwenye serikali yetu mpaka kuwa ofisa wa juu huko wilayani na mkoani bila kua raia wetu? It does not add up!
Respect.
FMEs!
Kipindi cha Nyerere swali la uraia halikuwa swala Kubwa kama ilivyo sasa, Watanzania wengi tumeshaamka na tunajivunia Uraia wetu, haikuwa hivi miaka ya zamani.
Nazani kwa mtu kama Mkasa amabaye historia yake iko wazi ni rahisi kumkubali kama Mtanzania bila kinyongo chochote, Kwa kweli mchango wake katika Idara ya Afya ni mkubwa sana tatizo sheria zetu za sasa za uhamiaji na Uraia ndio mbovu.
Swala la jina sio tatizo kwasababu tukianza kuanagalia Majina , Hata kina Mzee Lusinde na Jamii yake tungesema tuwarudishe Congo, kwasababu kina Lusinde ni jamii ya congo, Tatizo lililopo hatujaweza kuipitia sheria ya Uhamiaji tena na kuweza kuweka bayana vipengele vya kisheria ambavyo havina tija kwa Taifa. Kwa maoni yangu ,tukibadili sheria zetu kwenda kwenye Uraia wa kuzaliwa itatusaidia sana kutatua matatizo mengi kama haya na kuachana na huu utaratibu wa kutegemea Uraia wa baba.
- Huyu mgombea either ni mbongo au sio, lakini so far kwa niliyoyasoma tayari sioni anything cha kunifanya niamini kwamba huyu sio mbongo, hivi kweli tukifuatilia baba za viongozi wetu walipozaliwa nani atabaki kwenye uongozi?
FMEs!
- Mkuu hebu fafanua hapo kidogo, eti Lusinde ni watu wa Congo? Kwa vipi yaani?
Respect.
FMEs!
- Eti wakuu hii ni CV ya mtu asiyekua raia wa Tanzania? Yaani mzazi wake alifikia mpaka kuwa ofisa wa serikali yetu huku akiwa sio raia wetu? Na huyu kijana yote haya ameyafanya huku akiwa sio raia wetu?
I am missing something or what?
Respect.
FMEs!
Mkuu FMEs, unamkumbuka Omari Juma aliyewahi kuwa katibu Mkuu wa FAT enzi za Said El Maamry ? Wagombea walikuwa wanachujwa kikwelikweli enzi hizo lakini aliweza kupita kwenye vikao vyote husika vilivyoshirikisha viongozi wa serikali na CCM. Nakumbuka mshtuko wa serikali na CCM siku ilipogundulika kuwa si raia - kwa aibu alipewa masaa kuondoka nchini.
ALIKOTOKA
Mukasa aliyezaliwa Julai 1970, ni mtoto wa tano kati ya 10 katika familia ya Mzee William Mukasa na Mama Apolonia Mukasa.
Sawa
Alizaliwa katika kijiji cha Rukaragata
Hapa kuna walakini maana Mzee Mukassa amehamia Rukaragata baada ya Kustaafu Hospitali Teule ya Biharamulo. Na baada ya Kuhamia huko hatujawahi kupeleka hongera kwa Mama Apolonia kwa kujifungua, I mean hakuzaa tena.
Na isingekuwa rahisi kwa Mzee Msomi, mweledi juu ya masula ya afya kuzaa at the age of 55 or above.
Kuhusu jina Rwegasira; labda wanajaribu kumsogeza Oscar kwa wahaya maana hili jina haliko kabisa kwenye orodha ya majina ya Kisubi (wenyeji wa B'mulo). Ingekuwa enzi za Marehemu Kabuye (1985 against Maghufuli) angepiga kampeni ya " Abasubi twemanye" (wasubi tujijue).
Katika decade hii Rwegasira ni ukoo unaojidhatiti zaidi maeneo ya Misenyi, kati ya Kanyigo na mtukula (boarder to Uganda)
- Mkuu wangu slow down, sheria zetu za uraia zinasemaje nataka tu kujaribu ku-entertain hii idea ya baba yake kuwa foreigner kama incase ingekua kweli?
FMEs!
Samahani kama nimekugusa, But the origin ya Hilo Jina ni Congo Mzee. So when walihamia Tanganyika , I dont know but if we want to pick people names by their origin I think kama ulivyosema hapo nyuma hatutakuwa na Viongozi.
FMES, hiyo CV haithibitishi lo lote kuhusu uraia wake au wa baba yake iwe wa Tanzania au la.
Jenerali Ulimwengu aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya, Mjumbe wa NEC, Kamanda wa Vijana mkoa, na vyeo vingi na bado hakuweza kuthibitisha uraia wake. Huyu asili yake Rwanda.
Madam Madeleine Castico aliwahi kuwa Naibu Katibu Mkuu (CCM) Visiwani, Mjumbe wa CC na NEC, Naibu Waziri, naye pia hakuweza kuthibitisha uraia wake. Huyu asili yake Msumbiji.
Bandora (kama sijakosea jina) wa Mambo ya Ndani aliwahi kuwa balozi wa Tz nje, career diplomat na bado alikinyanyua na kwenda kushika uzito Rwanda chini ya Kagame, na kututhibitishia kuwa hakuwa raia wa Tz.
Hiyo ya Mzee Mukasa kuwa Afisa Afya (which could be anything from sanitation officer, meat inspector, etc) siyo CV nzito kabisa ya kuthibitisha u-raia. Hata Chavda ana CV nzito kuliko hiyo (access hadi ikulu) na siyo raia.
Nimeona pia umeepuka katika bandiko lako (copied from UPL-Homepage) kuonyesha kasoro kwa nini jina la Rwegasira halipo katika historia yake, lakini ghafla ni muhimu baada ya kupitishwa kuwa mgombea! Kama halikuwa muhimu kabla katika historia ya family kwanini liwe muhimu sasa?
ALIKOTOKA
Sawa
Hapa kuna walakini maana Mzee Mukassa amehamia Rukaragata baada ya Kustaafu Hospitali Teule ya Biharamulo. Na baada ya Kuhamia huko hatujawahi kupeleka hongera kwa Mama Apolonia kwa kujifungua, I mean hakuzaa tena.
Na isingekuwa rahisi kwa Mzee Msomi, mweledi juu ya masula ya afya kuzaa at the age of 55 or above.
Kuhusu jina Rwegasira; labda wanajaribu kumsogeza Oscar kwa wahaya maana hili jina haliko kabisa kwenye orodha ya majina ya Kisubi (wenyeji wa B'mulo). Ingekuwa enzi za Marehemu Kabuye (1985 against Maghufuli) angepiga kampeni ya " Abasubi twemanye" (wasubi tujijue).
Katika decade hii Rwegasira ni ukoo unaojidhatiti zaidi maeneo ya Misenyi, kati ya Kanyigo na mtukula (boarder to Uganda)
- Mkuu hukuwepo wakati mgombea anazaliwa, umemjua ukubwani sasa unajuaje ya huko nyuma? Au ulikwepo alipozaliwa?
FMEs!
Kwa kadiri unavyofahamu baba yake Oscar alizaliwa wapi Tanzania/Tanganyika?
Mkuu hukuwepo wakati mgombea anazaliwa, umemjua ukubwani sasa unajuaje ya huko nyuma? Au ulikwepo alipozaliwa?
- Mimi sijui baba yake wala yeye mwenyewe amezaliwa wapi, lakini ninaamini nilichokisoma so far, naamini sheria ya kugombea ubunge iko wazi kama inahitaji kuhakikishiwa alipozaliwa baba wa mgombea, basi huyu bwana atakuwa amejaza, sasa tutafute hizo facts tujadili hili tukiwa na facts, leteni facts wakuu, maana so far tunaongea speculations anayejua baba yake alipozaliwa aseme basi au?
- Ninajadili hii ishu na openmind, kwamba anything is possible, lakini facts kwanza sijaona za kuni-convince kwamba jamaa sio raia!
FMEs!
Hapa kuna walakini maana Mzee Mukassa amehamia Rukaragata baada ya Kustaafu Hospitali Teule ya Biharamulo. Na baada ya Kuhamia huko hatujawahi kupeleka hongera kwa Mama Apolonia kwa kujifungua, I mean hakuzaa tena. Na isingekuwa rahisi kwa Mzee Msomi, mweledi juu ya masula ya afya kuzaa at the age of 55 or above.
- Mkuu samahani kwa kukukwaza tatizo langu ni haya maneno hapo juu, ninayaona ni unfair kwa Oscar, kwa sababu hukuwepo akizaliwa sasa hujui alizaliwa wapi, huenda alizaliwa hapo wakahama na wakarudi baada ya ku-retire!
Respect.
FMEs!