Biharamulo: Picha ya mtoto akisomea kwenye taa za barabarani

Biharamulo: Picha ya mtoto akisomea kwenye taa za barabarani

Hongera zake dogo,ila asije akatokea devera stearing imshinde
 
Huyo aliyempiga picha mwambie amnunulie hata solar au aweke bajeti ya mishumaa au kibatari...
 
Vitu vingine tutailaumu serikali Bure tu
Nshomile.jpg
 
Acha kukalili...nshomile na biharamulo wap na wap?
Elimu tu kidogo...biharamulo kuna wasubi, washubi, wasukuma na wazinza...hakuna wahaya huko...wahaya wanapatikana muleba, bukoba na misenyi...wanyambo wapo karagwe na kyerwa ...wahangaza wapo ngara...
Umenikumbusha Kagera, hadi raha wallah....hakika nitarudi tena!
 
Namuombea atoboe afu awe fisadi asepe na kijiji.
 
Picha inasambaa kama moto wa kifuu Africa na duniani ikimuonesha mtoto mmoja mpenda shule akipigia msuli kwenye taa za barabarani hivi majuzi huku akiwa amevalia tisheti ya timu ya taifa ya Tanzania (taifa stars).

Barabara hiyo ambayo haiko busy sana imewekewa taa za barabarani hivi karibuni.

USSR View attachment 2580948

Sent using Jamii Forums mobile app
Laana iwafikie Taa na siko wanaoweka mazingira magumu ya kupata umeme
 
INA MAANA HANA TAA KWAO HATA KIBATARI? AU JOHN KISOMO HADI BARABARANI??
Ungeelewa madhara ya kibatari wala usingeuliza kiko wapi.

Hapo unachokiona ni failures za CCM miaka zaidi ya 60 ya uhuru. Halafu mama Samia akaja kufuta unafuu wa upatikanaji wa umeme nchini kisha mnasema anachapa kazi

CCM ni adui wa Taifa
 
HUyo kapenda tu kams kwao haupo si aende kwa jirani? Kulikua na ulazima gani kusoma usiku ule?
Na kwa jirani nako ni hivyohivyo, unaweza nenda nyumba hadi 15 wote hakuna mwenye solar au umeme.Nadhani Dogo yuko sahihi na hizi solar za barabarani zingefika huko vijiji tungeona maajabu kama haya kila siku.
 
Huyo aliyempiga picha mwambie amnunulie hata solar au aweke bajeti ya mishumaa au kibatari...
Unajua bei ya solar lkn? Kijijin vitu vyenye shida kuvipata ambavyo mtu wa mjini wala hafikirii kama ni shida ni simu ya smart na umeme,
 
Unajua bei ya solar lkn? Kijijin vitu vyenye shida kuvipata ambavyo mtu wa mjini wala hafikirii kama ni shida ni simu ya smart na umeme,
Aisee ?!!!!!

Hivi vidude vinauzwa kiasi gani, je ni gharama kuliko hio camera jamaa aliyotumia

images
 
Picha inasambaa kama moto wa kifuu Africa na duniani ikimuonesha mtoto mmoja mpenda shule akipigia msuli kwenye taa za barabarani hivi majuzi huku akiwa amevalia tisheti ya timu ya taifa ya Tanzania (taifa stars).

Barabara hiyo ambayo haiko busy sana imewekewa taa za barabarani hivi karibuni.

USSR View attachment 2580948

Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonekana anakitu atafika mbali
_20230409_083212.JPG
 
Picha inasambaa kama moto wa kifuu Africa na duniani ikimuonesha mtoto mmoja mpenda shule akipigia msuli kwenye taa za barabarani hivi majuzi huku akiwa amevalia tisheti ya timu ya taifa ya Tanzania (taifa stars).

Barabara hiyo ambayo haiko busy sana imewekewa taa za barabarani hivi karibuni.

USSR View attachment 2580948

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakenya watasema mtoto ni wa kwao
 
Picha inasambaa kama moto wa kifuu Africa na duniani ikimuonesha mtoto mmoja mpenda shule akipigia msuli kwenye taa za barabarani hivi majuzi huku akiwa amevalia tisheti ya timu ya taifa ya Tanzania (taifa stars).

Barabara hiyo ambayo haiko busy sana imewekewa taa za barabarani hivi karibuni.

USSR View attachment 2580948

Sent using Jamii Forums mobile app
picha nzuri sana
 
Back
Top Bottom