Mwanga wake ni afifu sana labda kama unatafuta upofu kwa lazima, sasa kama familia sometime inakosa mafuta ya taa ya 500 au buku, hicho kidude kinauzwa 3000 mpaka 5000 na kinaweza kuharibika ndani ya mwezi mmoja au mvua ikinyesha mfululizo siku 2,3 kinakuwa hakifanyi kazi, je dogo atakaa asubiri hicho kitaa kwanini asiende barbarani akafanya kazi zake.Aisee ?!!!!!
Hivi vidude vinauzwa kiasi gani, je ni gharama kuliko hio camera jamaa aliyotumia
Aisee babu zako na bibi zako waliosomea koroboi na karabai walipofuka mara ngapi unajua LED Lights za sasa huenda ni efficient na zina mwanga kuliko taa ya 100 watts walitumia watu miaka kadhaa iliyopita unaongelea kuweza kuharibika kwa mwezi (kwamba havipo vinavyokaa miaka) kwahio mvua ikinyensha mfululizo siku mbili au tatu unaenda kusoma kwenye taa barabarani ?Mwanga wake ni afifu sana labda kama unatafuta upofu kwa lazima, sasa kama familia sometime inakosa mafuta ya taa ya 500 au buku, hicho kidude kinauzwa 3000 mpaka 5000 na kinaweza kuharibika ndani ya mwezi mmoja au mvua ikinyesha mfululizo siku 2,3 kinakuwa hakifanyi kazi, je dogo atakaa asubiri hicho kitaa kwanini asiende barbarani akafanya kazi zake.
Ndiyo kawaida ya Watoto wa siku hizi,wakipata kaupenyo kakufungua daftari basi wanafungua hapohapo, kwa mfano naonaga vitoto vya shule vikiandika notes kwenye Pantoni za kule Kigamboni, na raia wala hawastuki!!Picha inasambaa kama moto wa kifuu Africa na duniani ikimuonesha mtoto mmoja mpenda shule akipigia msuli kwenye taa za barabarani hivi majuzi huku akiwa amevalia tisheti ya timu ya taifa ya Tanzania (taifa stars).
Barabara hiyo ambayo haiko busy sana imewekewa taa za barabarani hivi karibuni.
USSR View attachment 2580948
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu dogo atakuja kuwa engineer 🙏Picha inasambaa kama moto wa kifuu Africa na duniani ikimuonesha mtoto mmoja mpenda shule akipigia msuli kwenye taa za barabarani hivi majuzi huku akiwa amevalia tisheti ya timu ya taifa ya Tanzania (taifa stars).
Barabara hiyo ambayo haiko busy sana imewekewa taa za barabarani hivi karibuni.
USSR View attachment 2580948
Sent using Jamii Forums mobile app
Unahatarisha maisha yako afu unasema unamtoa mtu tena mtanzania tongo tongo?,may be ingekuwa nchi nyingine mkuuAcha ubabaishaji dogo kawatoa tongo tongo