Uchaguzi 2020 Biharamulo - Rusahunga Dkt. Magufuli aikacha Ngara, aelekea Kigoma

Uchaguzi 2020 Biharamulo - Rusahunga Dkt. Magufuli aikacha Ngara, aelekea Kigoma

Unapenda kupaste upuuzi sana ww

Mwulize jiwe kama atakwambia ni upuuzi mpuuzi wewe.

Hivi wewe ndiyo ulikuwa kwenye ule mfano namna ya ku ignore wapuuzi? Au yule alikuwa Soviet Union na siyo wewe?
 
Nenda uelekeo wa Ngara to Rwanda and Burundi...kuna poda nyekundu barabarani yaani inshort lami iliondoka miaka mingi gari zinaoga vumbi na kukwama kwenye vumbi

Mataga wanadhani Tanzania ni Dar peke yake. Wanadhani duniani nchi pekee ni Tanzania na rais wa dunia ni jiwe.

Kuwaelewesha hao hata utambike na kupiga nyungu wiki 2 ni kazi bure!
 
Wewe nawe unampigia promo lisu au maana wote tunajua yeye maendeleo yake hayapo kwenye vitu hivyo hawezi kuitengeneza hiyo barabara subilini awagawie pesa ya kutuliza vumbi mnazokula hivyo kaa kimya kuhusu mgombea wetu yeye ndiye aliyeijenga na yeye ndiye atakayeirekebisha,iyo barabara IPO kwenye mipango ya kurekebisha ushauri wangu musibebe mizigo mizito kwenye maroli fuateni sheria.
 
Nenda uelekeo wa Ngara to Rwanda and Burundi. Kuna poda nyekundu barabarani yaani inshort lami iliondoka miaka mingi gari zinaoga vumbi na kukwama kwenye vumbi.
Ndiyo mchague Magufuli awaletee maendeleo ya vitu
 
Ndiyo mchague Magufuli awaletee maendeleo ya vitu

Uzi huu ni wa 2017 kuhusu barabara hii:

Hali ya mbaya mno ya barabara Nyakanazi Rusumo vipaumbele vyetu ni nini?

Au unasema tumtegemee huyu ng'ombe kunenepa siku ya mnada?

Pia binti Lowassa, hapa chini ni comment yako:

IMG_20200917_165549_191.jpg


kwenye uzi huu:

Madhila ya Barabara Rusahunga -Rusumo

Kwa mawazo mgando kama yenu hatuwezi kuvuka.

Huyu ni wa kutia adabu tu. Oct 28 njoo upesi tufanye kazi yenye kutukuka.
 
We

wewe nawe unampigia promo lisu au maana wote tunajua yeye maendeleo yake hayapo kwenye vitu hivyo hawezi kuitengeneza hiyo barabara subilini awagawie pesa ya kutuliza vumbi mnazokula hivyo kaa kimya kuhusu mgombea wetu yeye ndiye aliyeijenga na yeye ndiye atakayeirekebisha,iyo barabara IPO kwenye mipango ya kurekebisha ushauri wangu musibebe mizigo mizito kwenye maroli fuateni sheria.

Upotoshaji wenu kuhusu Lissu na maendeleo ya vitu ni sawa na kutega kunguru kwa maharage makavu.

Hatudanganyiki!

Nyie si wasemaji wa Lissu. Pia kama hamjaelewa na mkaulize mtaelimishwa.

Lissu mliyepanga kumdhulumu roho, kipenzi cha wengi hawezi kuwa na mawazo ya kijinga kama yenu.
 
Hata mimi simjui kuna wengine wanasema Meko pia simjui haaaaa haaaa miTanzania bwana wanapenda kutupachikia mijina ya ajabu ajabu.

Kuna tofauti kubwa baina ya kupachikwa jina na kujipachika jina.

Hii inamhusu jiwe mwenyewe.
 
UNAZUNGUMZIAJE KUZOMEWA KWA MEKO? Kagera??MPAKA TBCCM KUKATA MATANGAZO???🤣🤣🤣

Eagle vipi WANAMZENGO wanasemaje??😎😎😎
Mgombea wa ccm pale ngara ameshashinda anasubiri kuapishwa tu so kwenda kule ni kupoteza muda tu chama kwa sasa kimefokasi kwenye maeneo yenye upinzani zaidi
 
Upotoshaji wenu kuhusu Lissu na maendeleo ya vitu ni sawa na kutega kunguru kwa maharage makavu.

Hatudanganyiki!

Nyie si wasemaji wa Lissu. Pia kama hamjaelewa na mkaulize mtaelishwa.

Lissu mliyepanga kumdhulumu roho, kipenzi cha wengi hawezi kuwa na mawazo ya kijinga kama yenu.
Hatujaelewa wakati aliongea mchana kweupe kwamba yeye maendeleo ya watu vitu hapana akatolea na mfano wa Barbara ya njia nane,pia akasema kuhusu ushoga yeye kwake ni tendo la falagha hivyo ni ruksa,anasema akichukua nchi mageti,mipaka haitakuwa na kizuizi chochote kitaingia ili kufanya watu wawe na pesa mfukoni,hakuna kutoza kodi kwa lazima ni hiyari ya mwananchi mwenyewe ukitaka unalipa husipotaka ulipi na magereza zitabomolewa kwa sababu yeye anataka watu wawe huru,atafuta makosa ya uhujumu uchumi,kutakatisha fedha ,kukwepa kodi na pia alisema ruksa kuingiza biashara yoyote ile na ruksa kutoa nje biashara yoyote loh.
 
Hatujaelewa wakati aliongea mchana kweupe kwamba yeye maendeleo ya watu vitu hapana akatolea na mfano wa Barbara ya njia nane,pia akasema kuhusu ushoga yeye kwake ni tendo la falagha hivyo ni ruksa,anasema akichukua nchi mageti,mipaka haitakuwa na kizuizi chochote kitaingia ili kufanya watu wawe na pesa mfukoni,hakuna kutoza kodi kwa lazima ni hiyari ya mwananchi mwenyewe ukitaka unalipa husipotaka ulipi na magereza zitabomolewa kwa sababu yeye anataka watu wawe huru,atafuta makosa ya uhujumu uchumi,kutakatisha fedha ,kukwepa kodi na pia alisema ruksa kuingiza biashara yoyote ile na ruksa kutoa nje biashara yoyote loh.
Ukitaka kuuza madawa ya kulevya ruksa ,

Ukitaka kuuza silaha nayo ruksa yaani wewe hata kuiba iba tu serikali itakulinda.
 
Hatujaelewa wakati aliongea mchana kweupe kwamba yeye maendeleo ya watu vitu hapana akatolea na mfano wa Barbara ya njia nane,pia akasema kuhusu ushoga yeye kwake ni tendo la falagha hivyo ni ruksa,anasema akichukua nchi mageti,mipaka haitakuwa na kizuizi chochote kitaingia ili kufanya watu wawe na pesa mfukoni,hakuna kutoza kodi kwa lazima ni hiyari ya mwananchi mwenyewe ukitaka unalipa husipotaka ulipi na magereza zitabomolewa kwa sababu yeye anataka watu wawe huru,atafuta makosa ya uhujumu uchumi,kutakatisha fedha ,kukwepa kodi na pia alisema ruksa kuingiza biashara yoyote ile na ruksa kutoa nje biashara yoyote loh.

Unadhani huo utopolo wako hapo juu utaondoa ukweli kuwa jiwe kala Kona rusahunga akaelekea kuliko bora akapakacha kuliko dodea mikononi mwake?

Wewe si unafanyia buku 7?

Wenzio tunawafuata wagombea kwa gharama zetu. Aliyejuu hatumsubirii chini. Tunampandia huko huko aliko!

Sisi ni wale wa JKNIA, uhuru stadium na Lupaso wakati wa kuja kwa Lissu na msiba wa Nkapa. Wazalendo wa kweli.

Wadhani kala Kona kwa ajali?

Huyu ni kama kina Gwaji boy, yule mwingine wa upako, nk believe me, ni wale wale.

Hiyo ndiyo habari yenyewe.
 
Ukitaka kuuza madawa ya kulevya ruksa ,

Ukitaka kuuza silaha nayo ruksa yaani wewe hata kuiba iba tu serikali itakulinda.

Kushikwa mmeshikwa vilivyo. Mtajishaua na yote. Ukweli uko pale pale: "for the past five years we deserved better!"

Kwa hakika jiwe huyu usiyemjua katukosea sana sisi kama watanzania hata kama wewe haumo - kwa njaa ya buku 7 zenu.
 
Back
Top Bottom