Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
nchii hii ya kusadikika..
Viva JPM
Viva JPM
Lissu ni package toshelezi kabisa kuiongoza hii nchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu ni package toshelezi kabisa kuiongoza hii nchi.
Yani wasafiri wanataka kuwahi kufanya shughuli zao za kuwapatia kipato wanawekwa pembeni kupisha msafara wa dikteta uchwala mmoja masaa zaidi ya matatu???
HATUMTAKI HUYU MTU!
nchii hii ya kusadikika..
Viva JPM
Mpeleke akaongoze familia yenu, mamabo ya nchi haajui hata mojaLissu ni package toshelezi kabisa kuiongoza hii nchi.
Upinzani ushakufa acha uongo kina waitara walipounga mkono tu ukafaMgombea wa CCM pale ngara ameshashinda anasubiri kuapishwa tu so kwenda kule ni kupoteza muda tu chama kwa sasa kimefokasi kwenye maeneo yenye upinzani zaidi.
Lissu ni package toshelezi kabisa kuiongoza hii nchi.
[emoji3][emoji3][emoji3]
Na kweli kigoma wamemuonyesha "mbaya kweli" mpaka anataka kurudi huko tena, tena amewahahidi Salala huko kabisa, jinsi Kigoma inavyo waka.Atakuwa ndo hataki tena mambo ya Bukoba baada ya kukataliwa ila Kigoma ndio watamuonesha mbaya zaidi.
Wao wanataka Maendeleo ya watu , barabara kila moja atajijengea yake , hiyo ndio sera ya "saccos"Ndiyo mchague Magufuli awaletee maendeleo ya vitu
Tatizo lako ni kufikiria Magufuli atatatua kero zote za maji, umeme, barabara, elimu, na nyinginezo kwa mara moja. Unaposema kuna barabara mbovu huko. kuna bado barabara mbovu nyingi sana. Cha muhimu ni nia ya kuzijenga na lini. Lakini hilo jibu linategemea na kodi zinazokusanywa, kwa hiyo usitudanganye kuwa kutojengwa hiyo barabara moja kati ya nyingi na matakwa ya raisi. Hapana. Ujenzi huo unategemea pesa tunayokusanya kutatua matatizo elfu kidogo.Nenda uelekeo wa Ngara to Rwanda and Burundi, kuna poda nyekundu barabarani yaani inshort lami iliondoka miaka mingi gari zinaoga vumbi na kukwama kwenye vumbi.
Hicho kipande cha vumbi ni km 112 au zaidi ??Nilizisikia laana toka kwa wasafiri waliokuwa wamepigwa pini kusubiri msafara ipite huko utakakopita.
Jiwe mwaka huu mbona kazi anayo?
Wale wasafiri pia wana ndugu zao achilia mbali wapendwa wao. Kampeni nyumba kwa nyumba. Tamu hiyo? Mbona haihitaji TBC 1 na matangazo ya kukata kata.
CDM panatakikana mkakati thabiti wa kuzilinda kura.
Mkoje lakini? Nani kawambieni Dr.Magufuli analazimika kufanya kampein kwenye Wilaya zote za Mikoa anayo tembelea? Mbona hamlalamiki kwamba hakwenda Wilaya ya Karagwe why pick on Ngara!!
Mnapenda penda sana kukuza kuza mambo madogo madogo kwa kuwa hamna any substance to talk about mnapokuwa kwenye kampein za vyama vyenu - chukulia mfano was Lisu wa kusema eti reli ya TAZARA hipo kwenye kundi la SRG!! Nani anaweza kuchukulia kauli zenu seriously - NANI?
Na kweli kigoma wamemuonyesha "mbaya kweli" mpaka anataka kurudi huko tena, tena amewahahidi Salala huko kabisa, jinsi Kigoma inavyo waka.
Yaani jamaa wa saccos akienda huko akachukua "kula" kiurahisi kabisa pamoja na Ngara ,kwabi sera au ilani ya saccos inasemaje juu ya Barabara za huko .
Hicho kipande cha vumbi ni km 112 au zaidi ??
Hatutaki maendeleo ya vitu sisi watu hawali barabara sindio sera zenu hizo tena kumbe munataka lami ya nini?Ramani umeiona? Pia kumeelezwa:
"Lusahunga - Muzani ni kuelekea rusumo. Nyakanazi - kakonko ni kuelekea Kigoma. Nyakanazi - Biharamulo ni 50km."
Yote ni mahaba tu? Ama kweli mapenzi upofu!
Amekula right. Hadi kufunga safari kuja huku safari binafsi unadhani ni lelemama?
Barabara ya Rusahunga Rusumo mtaji kwa wagombea
Picha ni nyantakara kuliko X kwenye ramani. Magari yalikopigwa stop.
Barabara inayopigiwa kelele unakula right ukitokea Biharamulo ili uelekee rusumo.
Pia kupo hivi:
Ukarabati kichekesho Rusahunga - Rusumo
Hatutaki maendeleo ya vitu sisi watu hawali barabara sindio sera zenu hizo tena kumbe munataka lami ya nini?
Atakwenda Tundu LissuBaada ya kufuatilia kampeni za jiwe na kutambua kuwa baada ya Bukoba alielekea Biharamulo, ilitegemewa asingeacha kwenda Ngara ili pia aione barabara ile pendwa ya Rusahunga - Rusumo.
Wanaunga mkono kuonesha kuwa ulishakufa .wanakimbia mazishiUpinzani ushakufa acha uongo kina waitara walipounga mkono tu ukafa