Uchaguzi 2020 Biharamulo - Rusahunga Dkt. Magufuli aikacha Ngara, aelekea Kigoma

Uchaguzi 2020 Biharamulo - Rusahunga Dkt. Magufuli aikacha Ngara, aelekea Kigoma

Usipende kulishwa matango pori na maafisa vipenywa wa TBC moja.

Nenda kajionee mwenyewe.

Nisingemvutia kasi mzee baba ningeujua u mbayuwayu wake au adha za nyantakara anapokuwa kwenye kampeni zake?

Sina hakika katika ile halaiki niliyoiona nyantakara kama atapata kura hata moja kwao. Watu wale walichoka hasa.

Kumbuka pia huu ulikuwa upande mmoja tu Nyantakara kuelekea Nyakanazi. Bado kuna Kakonko - Nyakanazi, Biharamulo - Nyakanazi na Muzani - Nyakanazi.

Subiria ya Ryoba kuaminishwa kuwa hata Bukoba hakukuwa na zomea zomea.
Mimi nimekukubalia na wewe na nimesema badala ya kuwapa maendeleo ya vitu, tuwape fedha ili waweze kupata maendeleo ya watu.
 
Kwani hata ni vumbi tu? Unaoshuhudiwa Tanzania hii hii au ni wale ambao Tanzania ni Dar?

Unaweweseka sana mkuu. Yaonesha ulidhani flyover zimejengwa nchi nzima.

112km ambazo umuhimu wake ni kupendezesha jiji ambazo ujenzi wake labda umeshaanza hizo ni Dodoma. Hali ya rusahunga - rusumo haina dharura wala umuhimu kwa jiwe.

Rusahunga Rusumo ni 92km tu. Hii ni barabara kuu yenye umuhimu wake kwa bandari ya Dar. Barabara hii kutokukuhusu wewe kiuchumi kama mtanzania kwa kuwa tu kwenu ni Ruangwa, Makongorosi, Ukara au kokote kule nchini, ni umbumbu uliopitiliza.

Barabara hii iko hali hohehahe kwa miaka nenda rudi. Nyuzi hizi ni baadhi ya zina zoihusu barabara hii:

Hali ya mbaya mno ya barabara Nyakanazi Rusumo vipaumbele vyetu ni nini?

Barabara ya Rusahunga - Rusumo ifungeni tu ieleweke

Rusumo - Rusahunga njia kuu kwenda Dar taswira halisi ya awamu ya tano - ukweli mchungu

Ziara ya Kagera, Magufuli usiende pekee tu Wasaidizi wako wanakokupangia kwenda


Wewe ndiyo kuisikia leo?

Zipo nyuzi nyingi zaidi. Sema kama huwezi ku search tuendelee kuzifukua.
Poleni Mimi nilivyo ona Rusumo kuna one stop centre nk nikajua barabara muhimu zina lami huko, lakini wenzenu wa Kigoma walikuwa na hali mbaya zaidi ya kwenu.
Lakini changamoto inakuja kutokana na hizi kauli za maendeleo ya vitu vs maendeleo ya watu .tuanze lipi
 
Poleni Mimi nilivyo ona Rusumo kuna one stop centre nk nikajua barabara muhimu zina lami huko, lakini wenzenu wa Kigoma walikuwa na hali mbaya zaidi ya kwenu.
Lakini changamoto inakuja kutokana na hizi kauli za maendeleo ya vitu vs maendeleo ya watu .tuanze lipi

Una mawazo ya kudhani dhani tu?

Rusumo si kwetu bali kuna barabara yenye umuhimu mkubwa kwa bandari ya Dar na hasa Tanzania kama nchi na wewe kama mtanzania.

Badala ya kudhani dhani chukua muda kujifunza. Tembea uone usingoje kuambiwa. Elimu si ya Kata tu.

Hamjihurumii kuwa na mawazo finyu kama yako jombi?

Hata Lupaso uliweza pata hata wazo la kufikiria kwenda wewe kweli?

Mnatia kinyaa kwa kweli.
 
Una mawazo ya kudhani dhani tu?

Rusumo si kwetu bali kuna barabara yenye umuhimu mkubwa kwa bandari ya Dar na hasa Tanzania kama nchi na wewe kama mtanzania.

Badala ya kudhani dhani chukua muda kujifunza. Tembea uone usingoje kuambiwa. Elimu si ya Kata tu.

Hamjihurumii kuwa na mawazo finyu kama yako jombi?

Hata Lupaso uliweza pata hata wazo la kufikiria kwenda wewe kweli?

Mnatia kinyaa kwa kweli.
Ni kweli unavyosema ninatia kinya, Sasa hiyo barabara inakwenda mpaka wapi ?? , maana huko najua ya kwenda Karagwe na ya kwenda Mtukula na hiyo ya Rusumo ambazo kwa sasa zina lami ya kiwango, sio za moram??
 
Ndiyo mchague Magufuli awaletee maendeleo ya vitu
Wamchague Mara ngapi ww inzi wa kijan? Bahat nzur hapo ilipopita hiyo bara bara mbovu kuwah tokea hapa dunian Ni Jimbo la ccm upinzani hakuna kabisa pande hizo lakini hali Ni Tete kabisa .
Tena nilitamani Sana mtu kiherehere Kama ww upite cku moja hii barabara ndio ungeona inzi wa kijan mnavyocheza na uhai wa watu ,na ikumbukwe hii barabara Ni barabara inayounganisha nchi ya tza Burundi na Rwanda so muda mwingine muwe mnatembea tembea mjione mlivyo watupu na muone mnavyotumia ujinga wa wanaccm wenzen kubak madarakan.

Kwa hiki kipande Cha barabara ingekuwa nchi za watu wanaojielewa mapka Sasa Hilo Jimbo ccm wangekuwa hawana Chao Ila maajab ya tz ndio kwanza ccm imetaradad.
Kipande hicho kibovu chenye umbal wa km90 tu kinawafanya wakaz wa huku hasa ngara wasafir kwa masaa 7 ngara to kahama wakat Ni sehem ya masaa 3 had manne.so punguza mahaba kabisa hii barabara Ni kilio kikubwa Sana kwa Wana ngara ,ww wa dar Shona Domo lako Hilo maana Kama kuchagua tumeichagua Sana ccm na hakuna mlichofanya na kwa aibu ndio maana hajataka kupita hiyo barabara
 
Map-of-Kagera-Region.jpg
 
Sasa hizo barabara za kwenda mpakani ni nyingi lakini kilio cha watu wa Ngara kisikilizwe na za Kigoma nazo naona ni nyingi ,lakini kutokana na maeneo hayo kusaulika au kwakuwa mawaziri wa fedha kuwa walikuwa wanaweka budget maeneo yao , basi hali hiyo sasa ibadilike, mpaka katavi, rukwa, tabora n.k
Ndugu zetu wa singida wao wana bahati barabara zimepita sana hapo kwao, na sasa watapata ya kutoka simiyu
 
Una mawazo ya kudhani dhani tu?

Rusumo si kwetu bali kuna barabara yenye umuhimu mkubwa kwa bandari ya Dar na hasa Tanzania kama nchi na wewe kama mtanzania.

Badala ya kudhani dhani chukua muda kujifunza. Tembea uone usingoje kuambiwa. Elimu si ya Kata tu.

Hamjihurumii kuwa na mawazo finyu kama yako jombi?

Hata Lupaso uliweza pata hata wazo la kufikiria kwenda wewe kweli?

Mnatia kinyaa kwa kweli.
Ndugu yangu Brazaj naomba uweke ramani za barabara zote zinye uhitaji wa kuwekewa lami iwe katavi, rukwa, mtwara, lindi , mafia ,kigoma na Kagera n.k
 
Kaikacha Ngara ? Daah . . . ngoja tu. Yaani huko mitaaa ya Rusumo na Benaco barabara zake zinatia huruma sana. Nilizipita juzi juzi yaani tabu tupu
 
Wamchague Mara ngapi ww inzi wa kijan? Bahat nzur hapo ilipopita hiyo bara bara mbovu kuwah tokea hapa dunian Ni Jimbo la ccm upinzani hakuna kabisa pande hizo lakini hali Ni Tete kabisa .
Tena nilitamani Sana mtu kiherehere Kama ww upite cku moja hii barabara ndio ungeona inzi wa kijan mnavyocheza na uhai wa watu ,na ikumbukwe hii barabara Ni barabara inayounganisha nchi ya tza Burundi na Rwanda so muda mwingine muwe mnatembea tembea mjione mlivyo watupu na muone mnavyotumia ujinga wa wanaccm wenzen kubak madarakan.

Kwa hiki kipande Cha barabara ingekuwa nchi za watu wanaojielewa mapka Sasa Hilo Jimbo ccm wangekuwa hawana Chao Ila maajab ya tz ndio kwanza ccm imetaradad.
Kipande hicho kibovu chenye umbal wa km90 tu kinawafanya wakaz wa huku hasa ngara wasafir kwa masaa 7 ngara to kahama wakat Ni sehem ya masaa 3 had manne.so punguza mahaba kabisa hii barabara Ni kilio kikubwa Sana kwa Wana ngara ,ww wa dar Shona Domo lako Hilo maana Kama kuchagua tumeichagua Sana ccm na hakuna mlichofanya na kwa aibu ndio maana hajataka kupita hiyo barabara
OK. Tumeshasikia kirio chenu. Miaka hii mitano tunaanza na hiyo balabala
 
Ndugu yangu Brazaj naomba uweke ramani za barabara zote zinye uhitaji wa kuwekewa lami iwe katavi, rukwa, mtwara, lindi , mafia ,kigoma na Kagera n.k

Nenda tanroads. Mfugale (jiwe humwitaga: chief) atafurahi mno kuwa wa huduma sahihi kwako.
 
Nenda tanroads. Mfugale (jiwe humwitaga: chief) atafurahi mno kuwa wa huduma sahihi kwako.
Niliona umeweka ile mliosimamishwa na ya Biharamulo n.k nikajua unaweza kutuletea zote nilizoomba at za Kigoma, Kagera, Katavi,Rukwa Tabora na Lindi, Ntwara etc
 
Sasa hizo barabara za kwenda mpakani ni nyingi lakini kilio cha watu wa Ngara kisikilizwe na za Kigoma nazo naona ni nyingi ,lakini kutokana na maeneo hayo kusaulika au kwakuwa mawaziri wa fedha kuwa walikuwa wanaweka budget maeneo yao , basi hali hiyo sasa ibadilike, mpaka katavi, rukwa, tabora n.k
Ndugu zetu wa singida wao wana bahati barabara zimepita sana hapo kwao, na sasa watapata ya kutoka simiyu

Kulinganisha sehemu ya barabara ya rusahunga - rusumo na zingine hizo ulizoorodhesha ni umbumbu uliopitiliza.

Huko Facebook na Instagram kuna majukwaa ya watu kama wewe mkuu.

Uwezo wako wa kufikiri kwa hakika kunatia kinyaa. Hakukufai huku jombi. Huku si kwa watu kama wewe.
 
Kulinganisha sehemu ya barabara ya rusahunga - rusumo na zingine hizo ulizoorodhesha ni umbumbu uliopitiliza.

Huko Facebook na Instagram kuna majukwaa ya watu kama wewe mkuu.

Uwezo wako wa kufikiri kwa hakika kunatia kinyaa. Hakukufai huku jombi. Huku si kwa watu kama wewe.
Nimekuuliza kistaarabu hiyo inakwenda wapi ? Kimya maana kwa mipakani, mpaka wetu na Rwanda via Rusumo, we Uganda via Mtukula, lazima tuwe na priority na tuwe focus tume maliza hizo, kuna za Kigoma, Katavi,Rukwa , Tabora -Katavi , Tabora -Mbeya, Singida-Tabora , Simiyu - Singida, Simiyu-Mza n.k .
Kuna ya Lupaso kuna za mbinga to mbambabay n.k
Halafu nyinyi mtasema Kigoma imesahaulika, au barabara fulani imeeachwa n.k.
Mind u priorities zetu ilikuwa na countries roads na ,regional roads kwanza , then district road, n.k
Na Mimi kuomba kwangu hizo ramani ni ktk kukazia ujenzi wa barabara hizo kufuatana na umuhimu wake na pia Rome was not built in one day , Sasa wewe endelea na story zako za Instagram au fb
 
Mahaba mengi mwishowe upofu. Umeshindwa kuona kwa nini kuja Ngara ilikuwa muhimu zaidi?

"Baada ya kufuatilia kampeni za jiwe na kutambua kuwa baada ya Bukoba alielekea Biharamulo, ilitegemewa asingeacha kwenda Ngara ili pia aione barabara ile pendwa ya Rusahunga - Rusumo."

Ramani kwenu bila shaka ni mapambo. Asingeweza kufika Karagwe bila kufika Ngara kwanza akiwa rusahunga kutokea Biharamulo.

Umeshindwa kujiongeza pia kujua kuwa hata huko karagwe nako ni "maji ga nyanja!" Kama kulivyo Ngara karagwe hakuna miundo mbinu ya kumwimbisha mapambio yoyote ya ya mafanikio tuliyozoea kuimbishwa!

Sina hakika pia kama hata ramani niliyoweka uliweza kuiona kuhalalisha kusimamishwa shughuli za wengine 30km kutokea atakakopita mwomba kura za watu huyu.

Inawahusu nini waliowekwa 3 hours + kumsubiria yeye aamke atakapojisikia ili atumie barabara lote peke yake kwa raha zake?

Adha inayo wasibu wengine kwenye mipangilio hii si kitu sana kwako kwa sababu haikukufika wewe? Huu si utakuwa ndiyo ule binafsi uliopitiliza?

Rais ajaye na aliangalie hili. Tunamini hata kwa kutumia Chopa ingekuwa ni nafuu mno kwenu na kwetu pia tusiokuwa na cha kufanya na state he zenu.

Mnachekesha sana - yaani ku-down load Google map ndio ujifanye wewe ni mega smart cartographer (it may sound Greek 2U), sasa sikiliza - agree to disagree without offending anyone.

Now,fast forward - FYI Dr.Magufuli knows barabara zote unazo zungungumzia like back of his hand - kazisimamai yeye kwenye ujenzi alipokuwa Waziri, siku nyingine alikuwa analazimika kulala porini akisimamia ujenzi wa barabara na madaraja - hivi sasa halazimiki kupitia kila bits and pieces za barabara zenye changa moto,ana vyombo vya intelligesia vinavyo weza kupatia taarifa zenye mshiko na akazifanyia kazi

Binafsi nataka niwapatie ushauri wa bure, mnaonaje mkitumia Mega Calories zetu mkijinadi badala ya kumbeza beza Dr.Magafuli ambaye ni light years ahead of you - au nyinyi hilo hamulioni? Kwa maneno mengine, leteni mikakati/sera zenu mbadala muone kama kuna any level headed person atawapigia kura ya kwenda Ikulu.
 
Back
Top Bottom