Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Hao wote waliotangulia hawakukutana na mahitaji aliyokutana nayo Samia.Humo humo kuna tozo za simu humo humo kuna tozo za Luku
Harafu unaleta unafiki
magufuli hakutoza hizo
Kikwete hakutoza hizo
Mkapa hakutoza hizo
Kimberembere kibaya Sana
Chawa kama chawa
Miamala na tozo za ktk umeme, hata mie ningekusanya hizo, tena zaidi maana ningeziba magepu ya ufisadi na upigaji...
Wewe CM 1774858 nitakupa nishani ya Uzalendo,Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara Rais Samia aweka rekodi mpya Ukusanyaji mapato | TRA yakusanya kodi ya TZS 1.9T mwezi Sept 2021,kazi iendelee kwa kasi & weledi zaidi,
==================================
Wakati Hayati Rais Mkapa anaondoka madarakani serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 322BL kwa mwezi,Wakati Mzee Jakaya Mrisho Kikwete anaondoka madarakani serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 850BL kwa mwezi na Wakati Hayati Rais Magufuli anaaga dunia Serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 1.4trl kwa Mwezi,
Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kuapishwa kuiongoza Serikali kwa awamu ya Sita aliapa kamwe hatokubali serikali kukusanya Kodi ya dhuluma namnukuu "Niheri tukusanye kidogo lakini kiwe cha halali kitatufaa " alisikika kwa Upole na unyenyekevu akiwaasa wateule wake,Rais Samia alishangaa watu kudaiwa kodi za nyuma "Presumptive Tax accessment " wakati wanazo tayari "Tax Clearance " toka kwa haohao wanaowadai tena,Kitendo hiki Rais Samia alikiita kuwa kwa Mujibu wa Mungu na dini huo ni "udhulumati "
Wakati Serikali ya Rais Samia imepanga kutumia Jumla Tshs 36.33trl kwa Mwaka wa fedha 2021|2022 mwaka ulioanza tarehe 01|07|2021 ambapo mapato ya ndani yanatarajiwa kuwa
Tshs 26.03trl, sawa na 71.7% ya bajeti yote. Kati ya mapato hayo, mapato ya kodi ni Tshs 22.18trl, sawa na 13.5% ya Pato la Taifa. Aidha, Serikali inalenga kukusanya
mapato yasiyo ya kodi ya Tshs 2.99trl na mapato kutoka
vyanzo vya Halmashauri ni Tshs 863.9BL,
Mungu ni mwema,kama kasi yetu ni Tshs 1.9trl kwa mwezi,Chukuaa 1.9trl zidisha kwa miezi 12 utapata jumla ya Tshs 22.8 tutavuka lengo kwa 3% naomba mfahamu tangu uhuru hakuna Rais aliwahi kutenga Tshs 36.33trilioni kwa aajili ya bajeti ni Samia and only Samia,
Tuendelee kulipa kodi kwa hiari kwaajili ya maendeleo yetu na ya watoto wetu na yawatoto wao,Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa pengine tangu uhuru japo ni niukweli mchungu kwa wengine.
#Kazi iendelee kwa kasi & nguvu zaidi
Be blessed & Happy Sunday
=============================
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
View attachment 1961007
Anasahau kuwa tozo mara nyingi ni indirect haina maumivu ya moja kwa moja ya mfanyabiashara kuonana uso kwa uso na mtu wa TRA. Anasahu unyama mwingi tu wamefanyiwa mpaka wakalazimika kufunga biashara zao.Umesahau huko hakuna interest and penalties na fine za miaka 5 nyuma kutoka kwa wafanyabiashara.
Umesahau huko hakuna akaunti za benki kufungiwa na kuchukua fedha.
Huwa mnataka kina nani walipe kodi?
🚮🚮🚮 wewe zako unaanza lini?Umeanza kampeni mapema sana.
Magu aliweka mifumo gani?Mifumo aliyoiweka Magu ndio inafanikish hayo, huyu mama enu within 6 months hawezi kufikia level ya ukusanyaji huo.
RIP JPM
🚮🚮🚮 Kichaa wewe tangu lini tozo ikawa kodi,Humo humo kuna tozo za simu humo humo kuna tozo za Luku
Harafu unaleta unafiki
magufuli hakutoza hizo
Kikwete hakutoza hizo
Mkapa hakutoza hizo
Kimberembere kibaya Sana
Chawa kama chawa
Wafanyabiashara walipita kipindi kizito sana.Anasahau kuwa tozo mara nyingi ni indirect haina maumivu ya moja kwa moja ya mfanyabiashara kuonana uso kwa uso na mtu wa TRA. Anasahu unyama mwingi tu wamefanyiwa mpaka wakalazimika kufunga biashara zao.
🚮🚮🚮 Zote ulizotaja sio kodi kichaa mwenzanguMnatukamua tozo za miamala na kodi ya majengo alafu mnajisifu.
Kwann milioni tano? Ni makosa ya kiuandishi?Kumbe inawezekana kukusanya kodi bila vitisho, kufunga watu, kukwapua hela kwenye accounts za wafanyabiashara na kubambikia watu kodi za hovyohovyo na uongo!! Kazi na iendelee....
View attachment 1961077
🚮🚮🚮 Achana na vichaaNi kama vile kipindi kile tulivyoanza kumtengenezea mazingira Lisu mara oh atahutubia umoja wa ulaya, mara atahutubia un mara atafungua case katika mahakama ya kimataifa dhidi ya Magufuli nk. Lkn cha kushangaza uchaguzi mkuu wa 2020 ulipofika Lisu mwenyewe aliangukia pua. Yani propaganda zetu zote na uongo tuliotengeneza havikusaidia kuwashawishi wananchi wampigie kura. Hii ndo Tanzania ndugu.
Ni million 5,151,372=5,151,372,000,000=Trilion 5.151Kwann milioni tano? Ni makosa ya kiuandishi?
Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara Rais Samia aweka rekodi mpya Ukusanyaji mapato | TRA yakusanya kodi ya TZS 1.9T mwezi Sept 2021,kazi iendelee kwa kasi & weledi zaidi,
==================================
Wakati Hayati Rais Mkapa anaondoka madarakani serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 322BL kwa mwezi,Wakati Mzee Jakaya Mrisho Kikwete anaondoka madarakani serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 850BL kwa mwezi na Wakati Hayati Rais Magufuli anaaga dunia Serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 1.4trl kwa Mwezi,
Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kuapishwa kuiongoza Serikali kwa awamu ya Sita aliapa kamwe hatokubali serikali kukusanya Kodi ya dhuluma namnukuu "Niheri tukusanye kidogo lakini kiwe cha halali kitatufaa " alisikika kwa Upole na unyenyekevu akiwaasa wateule wake,Rais Samia alishangaa watu kudaiwa kodi za nyuma "Presumptive Tax accessment " wakati wanazo tayari "Tax Clearance " toka kwa haohao wanaowadai tena,Kitendo hiki Rais Samia alikiita kuwa kwa Mujibu wa Mungu na dini huo ni "udhulumati "
Wakati Serikali ya Rais Samia imepanga kutumia Jumla Tshs 36.33trl kwa Mwaka wa fedha 2021|2022 mwaka ulioanza tarehe 01|07|2021 ambapo mapato ya ndani yanatarajiwa kuwa
Tshs 26.03trl, sawa na 71.7% ya bajeti yote. Kati ya mapato hayo, mapato ya kodi ni Tshs 22.18trl, sawa na 13.5% ya Pato la Taifa. Aidha, Serikali inalenga kukusanya
mapato yasiyo ya kodi ya Tshs 2.99trl na mapato kutoka
vyanzo vya Halmashauri ni Tshs 863.9BL,
Mungu ni mwema,kama kasi yetu ni Tshs 1.9trl kwa mwezi,Chukuaa 1.9trl zidisha kwa miezi 12 utapata jumla ya Tshs 22.8 tutavuka lengo kwa 3% naomba mfahamu tangu uhuru hakuna Rais aliwahi kutenga Tshs 36.33trilioni kwa aajili ya bajeti ni Samia and only Samia,
Tuendelee kulipa kodi kwa hiari kwaajili ya maendeleo yetu na ya watoto wetu na yawatoto wao,Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa pengine tangu uhuru japo ni niukweli mchungu kwa wengine.
#Kazi iendelee kwa kasi & nguvu zaidi
Be blessed & Happy Sunday
=============================
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
View attachment 1961007
Tena bora huku tanzania uko Ulaya mnakosema kuna uhuru,ukikutwa umekwepa kodi,unafirisiwa na kufungwa kabisa.Sio kufungiwa biashara tu.Anasahau kuwa tozo mara nyingi ni indirect haina maumivu ya moja kwa moja ya mfanyabiashara kuonana uso kwa uso na mtu wa TRA. Anasahu unyama mwingi tu wamefanyiwa mpaka wakalazimika kufunga biashara zao.
Hadi kwenye maneno imeandikwa milioni 5.Ni million 5,151,372=5,151,372,000,000=Trilion 5.151
Kosa la kiuandishi MkuuHadi kwenye maneno imeandikwa milioni 5.