Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara, Rais Samia aweka rekodi ukusanyaji mapato

Umeharibu kufikiria kuwa wanaolipa kodi za majengo asilimia kubwa sio wahusika?
 
Tayari pungufu wameomba mkopo kea kutumia corona usione wanalazimisha chanjo nia yao wapate mkopo
 
Kwahiyo Magufuli alikuwa na dhulma na alikimbiza wafanyabiashara, mbona mlikuwa hamsemi?
Si mlikuwa mnamwimbia mapambio atawale milele?
CCM mnanuka aibu.
 
Ni vyema tukapata mchanganuo wake na kulinganisha na wakati wa hayati JPM - September 2020.
 
Mnatupiga katika TOZO alafu mnakuja kumsifia uyo mama yenu. Pesa zote zitaishia katika kuzurura
 
Updated!! Taarifa ya kwanza ilikuwa na utatanishi wa lugha kidogo...
 
Kwakweli walichofanya ni sasa hivi ni mfanyabiashara ambae alikuwa analipa lundo la kodi sasa analipa na Tozo juu

Mwananchi wa kawaida nae analipa Tozo
Tozo siyo kodi, ndiyo maana tozo ina account yake maalum, na ina matumizi yake maalum pia (Kujenga madarasa, vituo vya afya na barabara vijijini)
 
Ya Tehama,kwani hizo Control number zimekomaliwa kipindi gani,ila Magu hashindani na Samia,maana Samia uwezo wake haufiki hata robo ya Magufuli😂😂😂
shauri yenu, semeni vyovyote manvyoweza kusema!

mapato ndo hayo yanapaa (kwa kutumia akili na si ubabe na upayukaji na kuwapondea wengine)
vituo vya afya hivyo vyaja (kwa kutumia akili na hekma, sio ubabe na upayukaji na kuwapondea wengine)
madarasa hayo yaja (kwa kutumia akili na sio ubabe na upayuakaji na kuwapondea wengine)
ajira hizo zinatangazwa tu n.k

umeweka emoji za kucheka lakini kiukweli upo kwenye kilio......maana ni dhahiri sasa unaona legacy ileeeee inaenda zake kimya kimya. kinachokuliza ni kwamba huoni nguvu zikitumika kama kuiua legacy, inaenda yenyewe tu kimya kimya. tuliona jinsi maguvu yalivyotumika kuwaaminisha 'wenye usonji" kuwa kikwete hakufanya lolote, hali iliyopelekea hata vile alivyovibuni yeye km flyovers kutosikika tu na badala 'wenye usonji' (ambao kwa bahati mbaya tz hii ni wengi sana) wamebaki na imani hiyo mpaka sasa. mabarabara yote aliyoyajenga kikwete eti 'wenye usonji' wameaminishwa na kuamini kabisa kuwa ni jpm (r.i.p) huyoooo! n.k eh, ngoja ninyamaze kwanza.

huyu anafanya haya bila kutuambia kuwa jpm (r.i.p) hakufanya kitu na bila kinyongo mazuri yake yanaendelezwa kwa kasi ileile
 
Labda kusanyo la b 900!
Kama anakusanya kodi kubwa angemalizia miradi yote ya JPM!
Hapa ni sifa ili agombee 25, na namhakikishia hata kwa usanii 25 hatoboi
Kura za bara ni za mtu wa bara
Watu milion 2 wa Zanzibar hawatapata kitu
Kwani hiyo miradi ujenzi hauendelei??
 

Tusidanganyane Hakuna kilichofanyika...
Kwanini Mapato yalinganishwe kwa miezi inayofanana tu???

Kama September 2020 Mapato yalikuwa 1.7Tn
Maana yake October yaliongezeka, Nov yakaongezeka, Dec yskaongezeka,
Jan, 2021 yakaongezeka..

Iweje kufika July 2021 Mapato yashuke mpaka 1.5Tn???

Kutokea July 2020 mpk july 2021 Hapa Katikati hakukuwa na Makusanyo!!!???

Kwa kifupi TUMEPIGWA
 
Kiukweli mimi nimuhumini wa siasa za mlengo mkali wa Magufuli, lakini this Samia can make a best presidency.

She knows what she is doing hongera sana bi mdashi
 
mtoa mada huna akili huoni izo tozo kwa jembe jpm zilikuwepo kuwa na akili angalau za kufikria
 
Mbona hawaweki kiasi wanachokusanya kila mwezi? Hakuna kuweka makande.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…