Bila Kanisa Katoliki, Ukristo ungefutika duniani na Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa


Kumbe ni dictionary ya kiarabu. Sasa ulitegemea waarabu wakuambie kitu tofauti?

Waarabu si ndio waliokufundisha wewe kuwa Isa ni Yesu? Sasa ulitegemea wakupe translation tofauti na hiyo?


Nitakuuliza swali moja rahisi sana.

Biblia ya Kiarabu inamtaja Yesu kama ISA au kama YASU?
 
Yeshua sio ki aramaic wakati hapo juu nimetoa link ya Biblia ya ki-aramaic inayo prove hoja yangu? Ipinge hiyo Biblia na tafsiri yake niliyotoa hapo.


Hakuna wakristo wanaotumia jina la Isa. Hata waarabu wakristo hawamuiti Yesu Isa, wanamuita YASU
 
muanzilishi wa masanamu ni allah , alituma majini kwa suleiman muislamu yakajenga msikiti na kuweka masanamu Koran 34:13. Hao majini wakifanya atakacho Suleiman, kama misikiti kwa ajili ya ibada, na masanamu,....

Lazima wameiga hapo kwa Allah

 
Yeshua sio ki aramaic wakati hapo juu nimetoa link ya Biblia ya ki-aramaic inayo prove hoja yangu? Ipinge hiyo Biblia na tafsiri yake niliyotoa hapo.


Hakuna wakristo wanaotumia jina la Isa. Hata waarabu wakristo hawamuiti Yesu Isa, wanamuita YASU
Sasa ili usicheke tuwekee vifungu vya biblia wapi huyo Yesu alisulubiwa
 
Yeshua sio ki aramaic wakati hapo juu nimetoa link ya Biblia ya ki-aramaic inayo prove hoja yangu? Ipinge hiyo Biblia na tafsiri yake niliyotoa hapo.


Hakuna wakristo wanaotumia jina la Isa. Hata waarabu wakristo hawamuiti Yesu Isa, wanamuita YASU
Wewe umekaa kiubishi. Umemezeshwa kwa majina matatu Yesu, Yeshua na Yesu.
Nimekuwekea link hadi youtube kiaramaic inavyotamkwa tena na wakristo inavyotamkwa ambapo haifanani hata kidogo na Yeshua.
Angalia lugha mbalimbali wanavyotamka jina lake acha ubishi kwa vitu ambavyo haujui.
Kwanza biblia ya kiarabu ni ya juzi juzi.
Kwa akili ya kawaida kwa nini kuanzia Adam hadi wengine wakina Musa majina isiwe shida.
Shida iwe kwa huyo Yesu wa kipindi cha muda mfupi.
 
Common sense is not common to everyone.
Kwamba Mungu anaweza kushindwa kueneza na kutunza kitu alichokianzisha mwenyewe!
 
muanzilishi wa masanamu ni allah , alituma majini kwa suleiman muislamu yakajenga msikiti na kuweka masanamu Koran 34:13. Hao majini wakifanya atakacho Suleiman, kama misikiti kwa ajili ya ibada, na masanamu,....

Lazima wameiga hapo kwa Allah
 
Unasema kuwa Isa ndio yesu.

Sasa swali langu kwako ni hili [emoji116]

Isa alisulubiwa au hakusulubiwa?
tatizo lako ni ufahamu wako kuwe mdogo issa akusurubiwa wala huyu yesu pia ukizama vizuli kwenye biblia bila ushabiki utagundua kuwa hakusulubiwa

hili jina yesu linatumika kwenye biblia ya kiswahili tafuta biblia ya kingereza hakuba jina yesu biblia imetafusiliwa kwa lugha zaidi ya 6000 dunia kalibia kila nchi wanayo ya lugha yao

mfano jina maria hakuna jina hilo kwa wazungu wachina nk baada ya kutufusili biblia likawekwa jina la yesu kwa kiswali na mussa kwa kiarabu na maria kwa kiswahili misemo mingi kwenye biblia ni ya kiarabu hilo ulijue
 
tatizo lako ni ufahamu wako kuwe mdogo issa akusurubiwa
Issa hakusulubiwa tueleze
Issa Ilikuwaje mpaka hakusulubiwa na ni kina nani walitaka kumsulubu Issa na kwa sababu gani?
Issa alikuwa na kitabu? kama Muhmamad alivyokuja na Koran? kama Ndio Kitabu chake kiliitwaje na kipo wapi tuweze soma habari zake
 
kwani biblia ya kwanza ambayo ilikuwa aijatafusilwa yusu akiitwaje? jina alilopewa na ukoo wake
 
Issa hakusulubiwa tueleze
Issa Ilikuwaje mpaka hakusulubiwa na ni kina nani walitaka kumsulubu Issa na kwa sababu gani?
Issa alikuwa na kitabu? kama Muhmamad alivyokuja na Koran? kama Ndio Kitabu chake kiliitwaje na kipo wapi tuweze soma habari zake
nime sema hivi yesu yuko na majina mengi kila nchi yuko na jina lake makabila 6000 yana muita jina tofaoti na yesu hilo kwa unalikubali?
 
nime sema hivi yesu yuko na majina mengi kila nchi yuko na jina lake makabila 6000 yana muita jina tofaoti na yesu hilo kwa unalikubali?
Sasa jibu maswali
Issa hakusulubiwa tueleze
Issa Ilikuwaje mpaka hakusulubiwa na ni kina nani walitaka kumsulubu Issa na kwa sababu gani?
Issa alikuwa na kitabu? kama Muhmamad alivyokuja na Koran? kama Ndio Kitabu chake kiliitwaje na kipo wapi tuweze soma habari zake
 
kama kanisa katoliki lisingekuwepo lingekueepo lingine badala yake

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
kwanza ujui nini maana ya neno sanamu sana hili hapa lichunguze vizuli hapo kwenye fimbo ya karidinali pengo au chunguza hapo kweye rozali yako shingoni kuna sanamu
Hiyo ni symbolic tu
Nafikiri wewe nafikiri hujui kazi ya jiwe , jiwe ni ibada kamili ya waislamu
  • Sanamu jiwe unalolisujudi kila siku lisome kazi zake, kALIGUSE jiwe likusamehe dhambi 😂😂😂
  • Jiwe jeusi lina fyonza dhambiza waislamu
    • Ibn Abbas alisisitiza kwamba: Muhammad alisema: "Jiwe jeusi liliteremka kutoka Peponi, na lilikuwa jeupe zaidi kuliko maziwa, kisha likatiwa weusi na dhambi za watoto wa Adamu. Jami` at-Tirmidhi 877
  • Jiwe jeusi kutoa hukumu siku ya mwisho
    • Imesimuliwa kwamba Ibn 'Abbaas alisema: Muhammad alisema juu ya Jiwe: "Na Allaah, Allaah Atalileta jiwe hiyo Siku ya Kiyama, na jiwe litakuwa na macho mawili na ambayo yanaona na mdomo ambao utaongea , na jiwe litashuhudia kwa wale walioigusa kwa moyo wa kweli. "Jami` at-Tirmidhi 961
  • Jiwe linafuta dhambi likiguswa kwa moyo wa kweli
    • Imesimuliwa kutoka kwa Abdullah bin Ubaid bin Umair kwamba: "Ewe Abu abdur-Rahman, kwanini nikuone tu ukigusa hizi pembe mbili?" Alisema: "Muhammad alisema: Kuzigusa zinafuta dhambi." Sunan an-Nasa'i 2919

Unajua kwa nini hili jiwe lipo na shape ya Uke ?

Baada ya apa na wewe nipe umuhimu wa kubusu msalaba kutoka maandiko ya wakristo
 
chunguza vizuli hapo chini kwenye msalaba anau ubushu rais wetu alietangulia mbele ya haki utakacho kiona ndilo sanamu
Koran 34:13. Hao majini wakifanya atakacho Suleiman, kama misikiti kwa ajili ya ibada, na masanamu,....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…