Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Ukristo,bali Catholic [RC] ndiyo iliyoanzisha uislamu, lengo lilikuwa ni kukata/kupunguza makali ya Wakristo wa kweli/halisi waliokuwa wanaupinga Ukatholiki [kwa maana ya taasisi/mamlaka]iliyokuwa imeingiza desturi zao za kipagani kwenye dini/imani ya kikristo.Uikristo ndio baba na Mama wa Uislam,hapo ndipo unaniacha mdomo wazi.
we kweli ni mkunduge,si uweke ukweli unaoujuaHili kanisa lilijaribu kufuta ukristo likashindwa, liliua watu mamilioni kwa mamilioni. Miaka fulani hapo kati papa aliomba radhi. Wadanganye wasiojua historia. Kuna watu walipata shida sana kusimamisha ukristo, akina Martin Luther wa kkkt
Usijidanganye ndugu.Jizoeshe kusoma vitabu ili uujue ukweli,upate maarifa pia.Hakika Kanisa Katoliki ndio msingi na mlinzi wa Imani Kikristo duniani.
Hili kanisa lilijaribu kufuta ukristo likashindwa, liliua watu mamilioni kwa mamilioni. Miaka fulani hapo kati papa aliomba radhi. Wadanganye wasiojua historia. Kuna watu walipata shida sana kusimamisha ukristo, akina Martin Luther wa kkkt