Bila Kanisa Katoliki, Ukristo ungefutika duniani na Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa

Bila Kanisa Katoliki, Ukristo ungefutika duniani na Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa

kanisa kama linazuia watu kusoma biblia, na waliosoma wakaona tofauti wakahoji, waliuawa .
soma hata historia ya Martin Luther uone alivyoteswa kabla ya kutengwa.
utasemaje sasa
Kule kuna katekisimu na mithale ya waumini pamoja na Agano jipya, tena halisomwi kivile
 
Wakatoliki hawakuwepo
Ila Wakatoliki ndo waliokueleza kuwa Musa aliandika Torati.
Bila Wakatoliki usingeijua hiyo Torati.
Labda ungeijua kupitia dini nyingine na si Ukristo. Dini nyingine zina Torati lkn inatofautiana na ya kwenye biblia iliyokusanywa na Wakatoliki walioamua Vitabu vya kuingiza kwenye biblia na vingine kuviacha.
Vitabu vya Dini kama Torati haviifadhiwi maktaba kama unavyofikiri, bali vinaifadhiwa kwenye mioyo ya watu na kurishishana kizazi na kizazi, kama inavyoifafhiwa Quruani takatifu
 
huu ndio ukweli na itabaki kuwa hivyo

Kanisa katoliki ni Kanisa la mitume kwa hapa duniani halimilikiwi na mtu yeyote kama yalivyo madheheu mengine na hapo ndipo panapoleta utofauti mkubwa sana.
Mitume gani? tueleweshe
 
Vitabu vya Dini kama Torati haviifadhiwi maktaba kama unavyofikiri, bali vinaifadhiwa kwenye mioyo ya watu na kurishishana kizazi na kizazi, kama inavyoifafhiwa Quruani takatifu
Aisee hili kwangu jipya
Kwaiyo biblia ama quaran hazijahifadhiwa kwa maandishi bali mioyoni mwa watu.
Asante kwa kunifundisha hili.
 
Aisee hili kwangu jipya
Kwaiyo biblia ama quaran hazijahifadhiwa kwa maandishi bali mioyoni mwa watu.
Asante kwa kunifundisha hili.
Yaani iko hivi kusoma kwake au kujifunza kwake inabidi uikremu, yaani uimeze, mwanzo mpaka mwishwo, nukta hadi kituo, kwa hiyo kama leo zitakusanywa na kuchomwa Quruani zote hakutakuwa na hasara, sababu watu wamehifadhi miyooni mwao
 
Hapa umeonyesha, kuto tambua nguvu za Mungu, Mungu angetaka lisingekuwepo na Dunia ingeendelea vizuri.
Ama angeamua nguvu ilimo kwenye ukatoriki, alikua na uwezo wa kupeleka kwingine, na Dunia ikasonga.
Jua kuna vitu mpaka sasa avijavumbuliwa na Dunia inasonga, na wala hatuhisi tumepungukiwa sehemu.
 
Kajisomee upate maarifa ,kiufupi. Catholicism iliua millions kwenye zile campaigns za inquisition hapo Europe , hizo holocaust dhidi ya wayahudi hazikuanza na Hitler , zilianzishwa na kanisa katoliki ,mauaji dhidi ya wayahudi na waliokuwa wanapinga mafundisho potofu ya taasisi ya upapa ambayo kipindi hicho ndio ilikuwa kama Mungu mtu wa hapo ulaya na dunia , millions perished that way
Ngoja niwawekee na kitabu kabisa ,kiufupi mambo ya ovyo sana yalifanywa na kanisa katoliki ,,na ndio iliyochochea watu kuanza kufanya kuquestion legitimacy ya Catholicism na papacy ndio kikaja hicho kipindi cha " christian reformation era " ,thinkers kama Martin Luther na wengine wakaanza kufanya critical thinking na kupinga maovu na mafundisho potofu yaliyokuwepo ndani ya kanisa katoliki ndio kipindi hicho harakati hizo uprotestant ukazaliwa ,kiufupi Protestantism ni makanisa yaliyozaliwa kutokana na mmeguko kutoka ndani ya kanisa katoliki la Kirumi ndio humo unapata Lutheran ,Anglican ,Moravians nk kutokana na mmeguko na reformation ulivyokuwa unaendelea ndani ya kanisa , kiufupi kanisa na upapa ilikuwa ni zaidi ya tyrany ,mnajua hata kutafsiri tu Bible au kufundisha watoto kuhusiana na imani ilikuwa ni uhaini na adhabu yake ilikuwa ni kuchomwa moyo mpaka kifo na kuteswa kinyama enzi hizo ? ,kanisa lilikuwa na death squads na spies za mapadre wa kijesuits ,watu waliwindwa ,kukamatwa ,kuteswa na kuuawa kinyama ,kutafsiri Bible katika lugha nyingine tu ilikuwa uhanini ,mtu kama John Tyndale na wenzake alikamatwa akateswa vibaya na alichomwa Moto Kwa kutafsiri Bible kwenda katika lugha ya kiingereza , kuna mambo mengi ya ovyo mno na ya kutisha yalifanywa na kanisa katoliki enzi zile chini ya uongozi wa popes
someni hiki kitabu

.

Wewe unayejua historia hebu Tupe ushahidi wa hii statement yakokajis
 

Attachments

Kiufupi hao orthodox ni kanisa la Kirumi la mashariki huko Greece ,Russia nk ,na lilitengenezwa baada ya ule utengano wa Roman empire ya magharibi na mashariki ,yaani East Roman empire Chini ya emperor Justinian ambayo ilikuwa imebase kwenye dola za mashariki kama Syria ,Jerusalem , Jordan , Constantinople (uturuki ya leo ) ,Lebon nk na Western Roman empire / Dola ya Kirumi ya magharibi ambayo tunaongeza western Europe yote la leo huko France ,Germany ,Austria , Spain NK
Hiyo orthodox wanaamini wao ndio wanaendeleza mafundisho ya asili ya kikiristo na hii western Roman church ambalo ndio kanisa catholic la leo , wanaliona kama kanisa corrupt na lisilofuata misingi ya kikiristo na lenye uovu ndani yake
Hizo zote zimekopi mambo ya wayahudi hakuna mwenye hati miliki hapo,,,,,......tena uislam unaweza kua na historia ya uhakika zaidi ya ukristo huu wa warumi maana wayahudi na waarabu waliishi pamoja kwa miaka mingi sana kuliko mzungu alivyoishi na myahudi......na huu ukristo wa wamagharibi upo tofauti sana na ule ukristo asilia wa jamii za pande ile............ukristo ambao kidogo umebaki na chembechembe za kale ni orthodox hasa wale oriental ila huu wa wamagharibi wazungu wameuchakachua vya kutosha,,,,.....wakristo wa zamani walikua wanasujudu pia kama waislam na pia watu wote ndani ya eneo la kuabudu walikua wanatizama upande wa altare hata waongoza ibada walikua wanageukia upande wa altare na sio kama siku hizi muongoza ibada anatizamana na waumini,,,,,,hizo tamaduni zote ukiangalia zilikua za jamii za watu wa mashariki ya kati, wayahudi wakiwemo..................Na orthodox wanawaita wakatoliki wakirumi na makanisa yote yaliyotokea kwao heretics( wanaeneza mafundisho ya uongo)
 
Kiufupi hao orthodox ni kanisa la Kirumi la mashariki huko Greece ,Russia nk ,na lilitengenezwa baada ya ule utengano wa Roman empire ya magharibi na mashariki ,yaani East Roman empire Chini ya emperor Justinian ambayo ilikuwa imebase kwenye dola za mashariki kama Syria ,Jerusalem , Jordan , Constantinople (uturuki ya leo ) ,Lebon nk na Western Roman empire / Dola ya Kirumi ya magharibi ambayo tunaongeza western Europe yote la leo huko France ,Germany ,Austria , Spain NK
Hiyo orthodox wanaamini wao ndio wanaendeleza mafundisho ya asili ya kikiristo na hii western Roman church ambalo ndio kanisa catholic la leo , wanaliona kama kanisa corrupt na lisilofuata misingi ya kikiristo na lenye uovu ndani yake
Hujakosea
 
Muhammad alitengenezwa na Waraqah ndugu yangu
Na ukristo umeiba mambo ya kemet
12109036_10206536673649426_3273724447286012186_n.jpg
images.jpeg-9.jpg
Why-Africans-Should-Not-Be-Celebrating-Christmas.jpg
a1438599-e5c8-49e1-ac09-c2186488c9e1_16x9_1200x676.jpg
 
Wadau hamjamboni nyote?

Niende kwenye mada Moja Kwa Moja

Bila Kanisa Katoliki:
  • Ukristo usingeenea Duniani
  • Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa
  • Ukristo usingeheshimika
  • UKRISTO ungefutika na dini ile nyingine ingetawala
Kanisa Katoliki kwa habari ya hapa Duniani ndiye Mlinzi Mkuu wa Ukristo. Kanisa Katoliki ndiye Msemaji Mkuu wa Ukiristo. Ili kupambana na kuufuta Ukiristo Duniani lazima kwanza yule adui apambane & kuushinda Ukatoliki. Mungu libariki Kanisa Katoliki.

Karibuni tujadili kwa hoja

NB: Lugha zisizo na staha hazikubaliki na ikibidi Uzi huu utafutwa

Soma hoja iliyowasilishwa kwa umakini na kisha ndiyo uchangie
Nimepekua Bible mwanzo mwisho sijaona huo mstari wa ku support hoja yako.

Nimeendelea kuperuzi hata hicho cheo au ukipenda wadhifa wa Papa hakuna.

Ukristo unajisimamia wenye hauitaji dhehebu au majambia.
 
Ndugu yangu Wakiristo wote hamjamboni nyote?

Niwaeleze ukweli kuwa bila Kanisa Katoliki Wakiristo Duniani tusingalikuwepo na kama tungalikuwepo tungeishi maisha magumu ya mateso na manyanyaso ya kushindwa kulitaja Kwa uhuru jina la Kristo

Tunajivunia Ukiristo kwakuwa Kanisa Katoliki lipo makini na thabiti

Tunawabeza wakatoliki kwakuwa Kanisa Katoliki lipo hai na lina nguvu

Ila tambueni kuwa tunaye adui wetu Mkuu hapa duniani anayetamani kutuangamiza kikwazo ni Kanisa Katoliki

Akiamua kutupiga itabidi aanze na Kanisa Katoliki kisha huku kwingineko kutakuwa ni kwepesi mno!

Kanisa Katoliki ndiyo Msemaji, mtetezi na mlinzi Mkuu wa Wakiristo wote duniani dhidi ya yule ADUI wetu!

Hata ukisoma historia vita vilivyoanzishwa na yule ADUI yetu dhidi ya Ukiristo kiuhalisia vilikuwa dhidi ya Ukatoliki na hata makamanda waliopambana Kwa niaba yetu walikuwa wakatoliki

Taasisi ya kikatoliki imejitolea kwa hali na mali Kwa niaba ya Ukiristo

Niwatakie Dominika njema
 
Moderator nikuombe tafadhali usiunganishe wala kuufuta Uzi

Ndugu yangu Wakiristo wote hamjamboni nyote?

Niwaeleze ukweli kuwa bila Kanisa Katoliki Wakiristo Duniani tusingalikuwepo na kama tungalikuwepo tungeishi maisha magumu ya mateso na manyanyaso ya kushindwa kulitaja Kwa uhuru jina la Kristo

Tunajivunia Ukiristo kwakuwa Kanisa Katoliki lipo makini na thabiti

Tunawabeza wakatoliki kwakuwa Kanisa Katoliki lipo hai na lina nguvu

Ila tambueni kuwa tunaye adui wetu Mkuu hapa duniani anayetamani kutuangamiza kikwazo ni Kanisa Katoliki

Akiamua kutupiga itabidi aanze na Kanisa Katoliki kisha huku kwingineko kutakuwa ni kwepesi mno!

Kanisa Katoliki ndiyo Msemaji, mtetezi na mlinzi Mkuu wa Wakiristo wote duniani dhidi ya yule ADUI!

Niwatakie Dominika njema

Tuendelee kufurahia uhuru wetu chini ya ulinzi thabiti wa taasisi ya Kanisa takatifu la Mitume

Huu ukweli unakataliwa na wengi. Leo hii, kwa kuliogopa kanisa Katoliki, Global strategists, hasa Fremasonry, wamepenyeza watu wao wengi, ili waliharibu na kuliangusha.

Huu mwendo wa sasa ndani ya kanisa, umejaa kila aina ya kuthibitisha nia zao. Ndio maana nakubaliana na wewe kabisa. Bila Kanisa katoliki, hakuna ukristu wa aina yoyote.

Kutakuwa na club za kucheza ndombolo wakisema wanamwabudu Mungu.
 
Hakika hakuna kama Kanisa Katoliki. Wewe ndio Petro na juu ya

mwamba huu nitalijenga kanisa nayo milango ya kuzimu haitalishinda.

Kanisa ni Moja, Takatifu, Katoliki na asili yake ni la Mitume.
 
Back
Top Bottom