Bila Kanisa Katoliki, Ukristo ungefutika duniani na Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa

Bila Kanisa Katoliki, Ukristo ungefutika duniani na Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa

Koran 34:13. Hao majini wakifanya atakacho Suleiman, kama misikiti kwa ajili ya ibada, na masanamu,....
Wacha kudanganya, Aya hiyo haisemi hivyo. Kumbuka unaweka ushahidi wa uongo, utahukumiwa, ingawa unajifanya hujali




34:13
to top
34:13

Sahih International
They made for him what he willed of elevated chambers, statues, bowls like reservoirs, and stationary kettles. [We said], "Work, O family of David, in gratitude." And few of My servants are grateful.
 
Wacha kudanganya, Aya hiyo haisemi hivyo. Kumbuka unaweka ushahidi wa uongo, utahukumiwa, ingawa unajifanya hujali




34:13
to top
34:13

Sahih International
They made for him what he willed of elevated chambers, statues, bowls like reservoirs, and stationary kettles. [We said], "Work, O family of David, in gratitude." And few of My servants are grateful.
😂😂🤣 Statue ni sanamu kijana

Nakuwekea mpaka tafsir
Waislamu walikuwa wanayaangalia masanamu ya malaika , mitume na watumishi watiifu ili wamuabudu allah
Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, ...........
Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,
 
😂😂🤣 Statue ni sanamu kijana

Nakuwekea mpaka tafsir
Waislamu walikuwa wanayaangalia masanamu ya malaika , mitume na watumishi watiifu ili wamuabudu allah
Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, ...........
Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,
Sanamu ya kitu gani? Wakiabudu ?

Ibn Abbas Quran ni kitu gani?
 
Sanamu ya kitu gani? Wakiabudu ?
Msome mfasiri wenu

Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,
 
Msome mfasiri wenu

Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,
IbnAbbass Quran umeitoa wapi ?
 
😂😂🤣 Statue ni sanamu kijana

Nakuwekea mpaka tafsir
Waislamu walikuwa wanayaangalia masanamu ya malaika , mitume na watumishi watiifu ili wamuabudu allah
Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, ...........
Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,

Msome mfasiri wenu

Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,

Ibn Abbas Quran umeitoa wapi ?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Niende kwenye mada Moja Kwa Moja

Bila Kanisa Katoliki:
  • Ukristo usingeenea Duniani
  • Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa
  • Ukristo usingeheshimika
  • UKRISTO ungefutika na dini ile nyingine ingetawala
Kanisa Katoliki kwa habari ya hapa Duniani ndiye Mlinzi Mkuu wa Ukristo. Kanisa Katoliki ndiye Msemaji Mkuu wa Ukiristo. Ili kupambana na kuufuta Ukiristo Duniani lazima kwanza yule adui apambane & kuushinda Ukatoliki. Mungu libariki Kanisa Katoliki.

Karibuni tujadili kwa hoja

NB: Lugha zisizo na staha hazikubaliki na ikibidi Uzi huu utafutwa

Soma hoja iliyowasilishwa kwa umakini na kisha ndiyo uchangie
Kwa hivyo Mungu anapaswa kiwashukuru Katoliki kwa jambo hilo?
 
Kanisa lilikua linatawala ulaya,kwa mkono wa chuma,wakalipindua na kuweka serikali za kisekula zilizopo mpaka Leo,hawana maajabu zaidi ya kunyonya wantonge kupitia fungu la kumi,sadaka na kuwauzia huduma kwa Bei Kali,wao wananona waamini wananyauka tu
Nenda kwa Mwamposa uone jinsi utakavyokamuliwa hadi kinyesi .
 
Wadau hamjamboni nyote?

Niende kwenye mada Moja Kwa Moja

Bila Kanisa Katoliki:
  • Ukristo usingeenea Duniani
  • Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa
  • Ukristo usingeheshimika
  • UKRISTO ungefutika na dini ile nyingine ingetawala
Kanisa Katoliki kwa habari ya hapa Duniani ndiye Mlinzi Mkuu wa Ukristo. Kanisa Katoliki ndiye Msemaji Mkuu wa Ukiristo. Ili kupambana na kuufuta Ukiristo Duniani lazima kwanza yule adui apambane & kuushinda Ukatoliki. Mungu libariki Kanisa Katoliki.

Karibuni tujadili kwa hoja

NB: Lugha zisizo na staha hazikubaliki na ikibidi Uzi huu utafutwa

Soma hoja iliyowasilishwa kwa umakini na kisha ndiyo uchangie

na pia bila kanisa katoliki ushoga ungetoweka ila kwa kuwa wao ndio uliouleta umekomaa sana nchi nyingi
IMG_0797.jpg

IMG_0364.jpg
 
Kutoka msikitini, tena ipo kwa lugha yenu ya peponi



JE YESU ALISULUBIWA NA KUFA MSALABANI?​

Wengi katika ndugu wakristo hufikiri Nabii Yesu[as] ndiye aliye kuja na msalaba kwa hivyo wakautukuza mno hadi wengine kudai msalaba waweza kuokoa jambo ambalo si kweli hata kidogo. Ni kwa hili ndipo sisi kama waislamu tukaona umuhimu wa kutafuta ile kweli na kuufahamisha umma ambao unajiangamiza kwa fikra ,au akida isiyo kuwa ya kisawasawa .

Quran na baadhi ya maandiko ya Biblia yaliyo salimika yanaafikiana kuwa msalaba ni alama ya laana na si vyema kujihusisha nao kwa ushahidi ufuatao:

1.Torati 21:22-23

2.Yoshua 10:26-27

3.Esta 9:24-25

4.Quran 5:33-34

5.Wagalatia 3:13-14

1.Quran 3:54-56

2.Yohana 11:45-52

3.Quran 4:155-156

1.Quran 4:157-158- Allah anAhibitisha wazi kuwa Nabii wake hakufa kifo cha laana

2.Mathayo 26:24-25-majuto kwa msaliti

3.Mathayo 27:27-29 –vazi jekundu

4.Marko 15:16-18 vazi la rangi ya zambarau

5.Mathayo 27:45-46 saa sita Yesu yuko msalabani

6.Yohana 19:14-15 saa sita Yesu yuko mahakamani
7.Marko 15:25 saa tatu asubuhi Yesu ameshasulubiwa

ISHARA YA NABII YESU

1.Mathayo 12:38-40 ishara ya nabii Yona ni ipi

2.Yona 2:1-2 Yona aliomba ndani ya tumbo la samaki

3.Yohana 19:3-35 maiti aweza kuvuja damu?


MWISHO WA YUDA ULIKUWAJE?

1.Mathayo 27:3-7 Yuda alienda akajinyonga?

2.Matendo 1:16-19 Yuda alianguka kwa kasi akapasuka tumbo?


WALIOENDA KABURINI NI WANGAPI?

1.Mathayo 28:1-2 wanawake walio enda kaburini ni Mariamu Magdalene na Mariamu Yule wa pili

2.Marko 16:1-walio enda ni Mariamu Magdalene,Mariamu mamaye Yakobo,naSalome

3.Luka 24:1,10 walioenda kaburini ni Mariamu Magdalene,Yoana,Mariamu mamaye Yakobo na wale wanawake wengine waliokuwa pamoja nao

4.Yohana 20:1-2 Mariamu Magdalene peke yake alikwenda kaburini

5.Luka 24:36-40 ushahidi kuwa Nabii Yesu hakusulubiwa

6.Quran 2:119-120

7.Quran 2:111 -changamoto kwa ndugu wakristo wadhibitishe kifo cha Nabii Yesu

Paulo aliye muasisi wa ukristo,aliwachanganya wakristo akisema usipo uamini msalaba huwezi kamwe kuokoka 1 wakorintho 15:14,jambo ambalo si kweli.


Mwandishi wa kikristo asema kwenye kitabu chake “The Crucified God”

“Kifo cha Yesu msalabani ndicho kiini cha ukristo wote ……………………mazugumzo yote ya kikristo kuhusu Mungu,uumbaji ,dhambi,na kifo zote zina chimbuko katika Yesu ‘aliyesulubiwa’.Mazungumzo yote ya kihistoria, kuhusu kanisa, imani ,kutosheka na kuhusu mambo yajayo ,kuhusu tumaini,yote yameitikadiwa kwenye kusulubiwa kwa Yesu”……………..Prof. Jurgen Moltmann

Naye mwandishi mwingine Josh Mcdowell katika kitabu chake kiitwacho ”The Ressurection Factor” asema

”Nililazimika kwenye uamuzi kufufuka kwa Yesu huenda ni uwongo,ukora ,ujanja uliopangiliwa na kuingizwa NDANI YA bongo la mwanadamu,au ni tukio kubwa la kihistoria”


Yote haya yanathibitisha wazi msalaba ni upotofu mkubwa kwa wanadamu.
 
Mwandishi hana alijualo,. Na Bahati mbaya sana Church Goers wa Kiafrica ni Mashabiki tu kama Wale wa Man U na Arsenal
Mtu anafeel ploud kabisa na Dini ya Mzungu mpaka anaanza kutambia dhidi ya dini zingine.
Ukibahatika kua wa kiroho sali tulia umeletewa ibada tu wewe hayo Mengine huyajui hata kidogo. Tulia Wajanja Wakupige vizuri.
 
Back
Top Bottom