Hakika Kanisa Katoliki ndio msingi na mlinzi wa Imani Kikristo duniani.
Usijidanganye ndugu.Jizoeshe kusoma vitabu ili uujue ukweli,upate maarifa pia.
Kabla ya Ukatholiki [Rumi ya kidini],kulikuwa na serikali ya Rumi ya kipagani iliyotesa na kuuwa mitume wa KRISTO [YESU],Petrol,Yohana,Paulo n.k.pamoja na waumini wengi wa kikristo.Baadae ulikuja utawala [ufalme] mwingine uliotoa uhuru wa kuabudu,ila kwa makubaliano/masharti;
1/.Siku ya ibada iwe ni j2=siku ya mungu jus,=siku ya kwanza ya juma.
2/.Wakubali, baadhi ya desturi zao [Rumi]ziingizwe kwenye taratibu za ibada, pamoja na sikukuu zao kama krismas,pasaka n.k
3/. Ibada ya bikira Maria=ikiwakilisha mungu mke wa kirumi, pamoja na ibada ya wafu.Zama hizi ndiyo ilikuwa mwanzo wa Upapa,ambao ulikuwa na mamlaka ya kidini na serikali [kisiasa]na ikaanzishwa ROMAN CATHOLIC [Rumi Ulimwenguni],watu walikatazwa kusoma na hata kumiliki Biblia,walipewa mafundisho ya uongo kama katekism,misale ya waumini n.k.
Roman Catholic ilisababisha mauaji makuu duniani mpaka mwaka 1798-1799 ambapo jeshi la Ufaransa chini ya Jemedari Napoleon walipomkamata papa na akauliwa gerezani,mauaji yalikoma kwa muda.
Mauaji ya rejareja yalianza tena baada ya Upapa kurudi tena.Vita vinavyoendelea sehemu mbali mbali duniani, vikundi na matukio ya kigaidi, Magonjwa ya milipuko,ebola,mpox ,HIV, COVID 19,n.k.ni kazi ya Catholic ikiwemo mauaji ya kimbari ya Rwanda,machafuko ya DRCongo n.k. zote ni kazi za Catholic.Haya yote huwezi kuyajua ikiwa kazi yako ni kusomewa na kukaririshwa,soma vitabu ujue uhusiano wa U Catholic na Uislamu n.k.