Bila Kanisa Katoliki, Ukristo ungefutika duniani na Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa

Bila Kanisa Katoliki, Ukristo ungefutika duniani na Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa

hili kanisa lilijaribu kufuta ukristo likashindwa, liliua watu mamilioni kwa mamilioni
miaka fulani hapo kati papa aliomba radhi
wadanganye wasiojua historia
kuna watu walipata shida sana kusimamisha ukristo, akina Martin Luther wa kkkt
Ukatoliki ndio Ukristo wenyewe sasa
 
Wadau hamjamboni nyote?

Niende kwenye mada Moja Kwa Moja

Bila Kanisa Katoliki:

Ukiristo usingeenea Duniani

Wakiristo wangeishi kwenye mateso makubwa

Ukiristo usingegeshimika

UKIRISTO ungefutika na dini nyingine ingetawala

Kanisa Katoliki kwa habari ya hapa Duniani ndiye Mlinzi wa Ukiristo

Ili kupambana na Ukiristo lazima kwanza upambane na kuushinda Ukatoliki

Karibuni tujadili kwa hoja

NB: lugha zisizo na staha hazikubaliki na ikibidi Uzi huu utafutwa
Wa RC sio Wakristo halisi hiyo ni mila za asili za Kirumi.
Wanachanganya imani ya kikristo na mila za kirumi.
 
Kanisa katoliki ndio lililoua ukristo wa kweli duniani. Katoliki liligeuzwa kuwa dini ya Nchi, wengi wasiowakatoliki waliuwawa. Middle east yote ilikua christian land, Morocco, Algeria na Egypt. Zilikua christian countries. Catholic chini ya utawala wakiimula uliua na kuumiza wengi. Ndipo ulipotokea uislamu kama mkombozi wa mateso ya Catholics. Ukristo ulikuwepo,kabla ya ukatoliki na ulivurugwa na tawala zilizo kuwa chini ya Catholic. Wanakuja watu kama Martin Luther n.k kuuamusha ukristo iliuwawa na Catholic. Leo hii uislamu usingekuwepo duniani lakini Catholic ilizaa Islamic. Usidanganye watu.
Martin Luther ni mkatoliki na ataendelea kuhesabika kama Mkatoliki, hao wanaojiita walutheri ni wakatoliki waliochangamka.
 
Ukishindana na kanisa Katoliki ni sawa na mtu kupigisha mguu kwenye jiwe, mguu utaumia na jiwe litabaki lilivyo.
Kanisa lilikua linatawala ulaya,kwa mkono wa chuma,wakalipindua na kuweka serikali za kisekula zilizopo mpaka Leo,hawana maajabu zaidi ya kunyonya wantonge kupitia fungu la kumi,sadaka na kuwauzia huduma kwa Bei Kali,wao wananona waamini wananyauka tu
 
Catholic ilizaaje Uislam?
Mke wa kwanza wa Bwana Muhammad alikuwa mkristu mkatoliki, kupitia huyu mwanamke Muhammad akawa anachota baadhi ya vifungu vya BIBLIA TAKATIFU kwa maelekezo ya kitaalamu ya Bi khadija mkatoliki na kuja kuvijazia kwenye kitabu cha kuran, akaongezea na hadithi za hapa na pale ndio Kuran ikapatikana.
 
Mfano mdogo!! Leo Kanisa Katoliki likatuhusu ushoga, basi ujue Dunia nzima ushoga utakuwa ruksa
Kuna hivi vijikanisa kama Anglican , wana hadi maaskofu mashoga lakini hakuna anayejali kwa sababu ni kijikanisa kisicho na ushawishi duniani.
 
Mke wa kwanza wa Bwana Muhammad alikuwa mkristu mkatoliki, kupitia huyu mwanamke Muhammad akawa anachota baadhi ya vifungu vya BIBLIA TAKATIFU kwa maelekezo ya kitaalamu ya Bi khadija mkatoliki na kuja kuvijazia kwenye kitabu cha kuran, akaongezea na hadithi za hapa na pale ndio Kuran ikapatikana.
Mkuu ebu punguza ufala basi unaweza kutupa ushahidi wa haya unayo yasema?
 
Lakini ndiyo waasisi wa ukiristo ikiwemo sikuu zote ambazo kimsingi ni za wapagani wa roma
ukristo umepitia changamoto nyingi sana.
Kwa wasiojua historia ya kanisa ni ngumu kuelewa
 
Back
Top Bottom