InvisibleTarget
JF-Expert Member
- Dec 20, 2014
- 1,138
- 2,176
nilimaliza form four pindi NCCR-MAEUZI kilikuwa chama kikuu cha upinzani kabla hata ya uchaguzi na Mrema alikuwa akipiga kampeni huku akitembea na Gazeti lililokuwa na ile habari aliyokataa Rushwa nono ya kitu kama Milioni 9 pindi akiwa waziri wa mambo ya ndani.