Bila Rais Samia Suluhu, Freeman Mbowe angeozea jela. Upinzani fuateni sheria

Kidumu kilishatoboka zamani, hao usiowapenda wamevunja Sheria Gani za nchi hii zaidi ya nyie kuwaonea Kwa kuwabambikia kesi kinyume na Sheria[emoji848]
Dikteta uchwara wao yy ndo anaozea kaburini.....
 
Eti Walikosa ushahidi
 
Wewe umeharibiwa na yule shetani anayegeuka udongo huko chattle. Samia katumia huruma gani kwa mtu ambaye hakuwa na kosa? Uliona mwenyewe maaskari wenye heshima zao wakipata matumbo ya kuhara kwenye ushahidi wa kuchonga!! Kua kijana kua hicho kichwa kilichodumazwa na jiwe!!
 
Ni kwa nini Siro anapenda kubambika watu kesi
 
Mama mtu mwema sana, Ofisi ya mwendesha mashtaka ilishaionyesha mahakama kwamba Mbowe ana kesi ya kujibu
 
Chagueni maneno ya kuandika, mbona mwendazake Kesi hii aliogopa Kama ukoma , naye wa Sasa akasema ngoja ajaribu , mbona maji kaita mma ,
Leo mwashangilia kuonana na Makam wa Rais USA ,mnajua kilicho nyuma ya picha ,au mwaongea tu ,
 
Mwanzisha uzi umesahau kuweka jina na namba ya simu ili ukumbukwe vizuri. Ila usisahau kuna jamaa alikuwa ameapa kuutokomeza upinzani lakini cha ajabu akakataa kufanya uchaguzi huru ili apime vizuri kukubalika kwake. Na hakumaliza muhula wake. Hata huyo unayemtukuza hana ukuu huo unaompa.
 
Hata dikteta uchwara bila maombi ya wenye haki leo angee ndelea kuteka na kuua !.ama kweli Mungu Ni fundi...
 
Rais Samia na Tanzania iliyo salama,
 
Dkt Bagonza 😍😍
 
Hivi
 
Mpishi mkuu ameozea ndani ya tanuri la kuokea mikate.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…