Kama kumbukumbu zangu ziko vizuri...and no one is perfect just use a polite language to correct meHaka katoto kanaongea shombo tu humu ndani. JF ameona kama ni group la watoto wenzie huko Watsup.
Mabeti-Mabeki...nimekuelewa Ndugusasa ww jamaa point yako ni nini unataka modric azungumzwe ili iweje,ww ukiona ronaldo ndio anyezungumzwa kuzidi huyo modric jua fika majukumu ya ronaldo ni makubwa kuzidi ya huyo modric ndio maana hazunhumzwi! au ww unadhani kufunga ni kazi rahisi,mbona ma goal keeper wanaokoa mipira sana lakini bado sifa zote hupewa ma forward na hii ni duniani kote!au unadhani watu dunia nzima kuwapa sifa ma forward na kuwaacha wechezaji wengine kama ma goal keeper,mabeti na viungo ni wajinga!.sijui kama umisha wahi kucheza mpira ww unadhani kazi ya kufunga ni kazi rahisi eeh.
Hatimaye nimejua point yakoNashukuru nimepata kujifunza mengi according to my age
Na la liga most hatrick Christ Ronaldo
Unajua barca keshakula 4-1 dhidi ya celta vigo Na messi akiwamo hakuna uwanja mgumu kwa barca kama ule wa celta vigohizo ni hisia zako vipi nami nikukuambia kuwa kama messi angeaza hiyo game basi uwepo wa messi pale mbele ni hofu tosha na labda celta vigo wangecheza mpira wa kuzuia zidi na inawezekana uwepo wa messi ungesababisha wafungwe magoli kama 3 mapema na kuwaondoa matumaini kabisa ya kushinda game
Bila kichwa bila mkono bila tumbo bila mkono wala mguu hakuna MTUNakubiliana na wewe ndugu ila baadhi ya watu wanaamini ukiwa na wachezaji dizaini ya Messi kazi inakua rahisi.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kumbe kuzunguka kote kumbe unamsapoti mmoroco huenda nawe ukawa na tabia kama zakeNashukuru nimepata kujifunza mengi according to my age
Na la liga most hatrick Christ Ronaldo
Barca vs man city uliangalia ?? Kama hukuona kaangalie ujue nani aliamua ile mechi ...Aliwahi kuhojiwa Ivan Rakitic Mchezaji wa Barcelona mzaliwa wa Croatia akakiri hakuna kazi ngumu kama kucheza na Wachezaji aina ya Messi,Neymar na Suarez
Ugumu wake wachezaji wa aina hiyo siyo wakabaji ivyo inabidi uzibe yale mapengo yao ili timu isilemewe na timu pinzani hivyo inakubidi uzunguke uwanja mzima kuziba yale mapengo yao..
Naimani hata Messi akisifiwa anaweza kukataa na badala yake akaelekeza sifa kwa wachezaji wenzake.
Hivyo tunavyompa sifa Messi tukumbuke hao wachezaji..
Hawapo na ndio maana messi alistaafu timu ya taifaKwani timu inaundwa na wachezaji wangapi??
Vipi kule Argentina hao akina xavi wapo?
Cr7 ni the best we mtoto...huwezi mfananisha na hicho kimessi chakowe nae inaongea vitu gani mbona messi akiwa hayupo uwanjani ushindi wa barcelona unakuwa mgumu sana na mara nyingi huwa wanakuwa na wakati Mgumu! alafu acha kumfananisha messi na akina CR7 sio level zake messi level zake ni akina gaucho na maradona...tena koma kumfananisha mess na vitu vya kijinga
kuongea ukweli ndo nimemsapoti?[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kumbe kuzunguka kote kumbe unamsapoti mmoroco huenda nawe ukawa na tabia kama zake
HIVI VITOTO VYA FB TOKA VIWEZE KUANZISHA THREAD IMEKUWA KERO
Bila kichwa bila mkono bila tumbo bila mkono wala mguu hakuna MTU
Messi alishawahi kupiga chenga beki Zote za Madrid na kwenda kufunga pale timu ilipozidiwa ,,, kafanya hivi mara nyingi sana ! Na mda mwingi anakuwa nyuma ya mshambuliaji , amecheza na forwards kama etoo , ibrahimovic , Henry lakini wote wanajua .. kwa maneno yake Henry alishasema kuna kipindi alizidiwa na messi akamwambia nipe huo mpira nikafunge na ikawa hivo ,, buesquet pia ishamtokea hii tena wakicheza na mabeki wakali. Rudi angalia world cup , angalia mabara utajua messi ndo ArgentinaBarca vs man city uliangalia ?? Kama hukuona kaangalie ujue nani aliamua ile mechi ...
Nliangalia mpaka Jerald pique akitolewa nje kwa majeraha barca akiongoza kwa moja mfungaji messi baada ya fernadihno na kuslide na messi kumlamba chenga bravo.Barca vs man city uliangalia ?? Kama hukuona kaangalie ujue nani aliamua ile mechi ...
Mengine yako wazi sanaUsihukumu ndugu...
Mesi ni habari ya ulimwngu ujaoMessi alishawahi kupiga chenga beki Zote za Madrid na kwenda kufunga pale timu ilipozidiwa ,,, kafanya hivi mara nyingi sana ! Na mda mwingi anakuwa nyuma ya mshambuliaji , amecheza na forwards kama etoo , ibrahimovic , Henry lakini wote wanajua .. kwa maneno yake Henry alishasema kuna kipindi alizidiwa na messi akamwambia nipe huo mpira nikafunge na ikawa hivo ,, buesquet pia ishamtokea hii tena wakicheza na mabeki wakali. Rudi angalia world cup , angalia mabara utajua messi ndo Argentina
Acha uongo wewe! Mara ngapi Messi ametoa assist wengine wafunge. Kwa hiyo mnataka hata kama Messi yuko kwenye nafasi ya kufunga asipasiwe kisa nyie mtanuna?Tatizo timu imeundwa kupitia Messi mfano unaeza kuta Neymar/Suarez wako kwenye nafasi nzuri ya kufunga ila wanampa pasi Messi
Napenda teamwork
Kama imeundwa kupitia Messi mbona tena mnasema kuwa Messi anawategemea wengine? Acheni kujichanganya!Tatizo timu imeundwa kupitia Messi mfano unaeza kuta Neymar/Suarez wako kwenye nafasi nzuri ya kufunga ila wanampa pasi Messi
Napenda teamwork
Kweli kabisa mkuu. Dogo huwa anawajibu wachimba chumvi kwa vitendo. Roho huwa zinawauma kama nini!kuna watu hawaangalii mpira ila wanasubiri matokeo wabishane
Messi akiwa uwanjani ndio anaamua matokeo