Bila shaka tumepata picha kamili, uvunjifu wa haki huzalisha chuki ya kudumu

Bila shaka tumepata picha kamili, uvunjifu wa haki huzalisha chuki ya kudumu

Anayemchukia magufuli ni mtu aliyenyimwa uwezo wa kupambanua mambo,asiyeona mbali
tena mwenye akili za kujua kuchamba tu
Unajua ni machozi kiasi gani ya wafanyakazi waliofukuzwa kwakisingizio cha vyeti fake yanatakiwa yafutwe? Tena wengine walibakisha nusu ya mwaka wastaafu na mafao wakanyimwa? Huyo mtu aliwezaje kufanya kazi zaidi ya miaka 30 na vyeti fake?

Anadhani marais waliopita walikuwa hawalioni wala kulijua hilo?

Mkuu achana tu na haya mambo. Watu wanalia sanasana na mno mno.
 
Chuki ipo moyoni mwako wewe mimi sina chuki na Raisi wala serikali yangu. Hiyo ni kumchafua mkuu wa Nchi basi kama unaona hapa Tanzania kuna makovu nenda kongo ukajifunze au nenda marekani huko ukaishi kidemokrasia hapa Tanzania ni ujamaa na kujitegemea. Anyway viherehere dawa yao ni kupotezwa tu.
 
Kuna mijitu inajidanganya eti taarifa za kifo cha mtu katili zikitolewa italeta taharuki. Watu wanasubiria kwa haaamu sana kusikia hivyo tunywe bia mpka asubuhi. Baada ya dhiki sasa faraja.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Umetoa mfano wa Lissu ambaye alikuwa hapa nchi kwa zaidi ya miezi 3 akasepa kwa njia ya kihuni. Kwa nini unamsemea wakati muda aliokuwepo hapa angefuatilia upelelezi wa shambulio dhidi yake?

Rejea kauli zake kwenye majukwaa ya kampeni, je, ziligusa kushambuliwa kwake zaidi ya kufitinisha Rais aliyeko madarakani na jamii. Huoni yeye Lissu ndiye mwenye silika ya visasi?
Unaposema amesepa kihuni kuna mtu anamdai? Au umeona lisu analo jeshi la kupeleleza? Utumie akili kujibu hija Lissu.
 
We mzee unagojeka kabisa. Angekufa hyo kesi angepeleleza nani??
Yaan mhanga arudi aanze kufuatilia wahujumu wake tena!!?

Hii naisikia kwako[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Suala la vyeti feki lilianza awamu ya pili ya jakaya magufuli kaja kukazia tu. Halafu hao waliofukuzwa kazi wameonewa au sheria zimetekelezwa?
 
Chuki imo humu mitandaoni mitaani kuko safi mno hakuna chuki
Chiki imetamalaki kila mahali. Watu wameamua kuficha hisia zao mtaani sababu wanajua wakizionesha huko mitaani mtawaua kama ambavyo mmekuwa mkisema na kuwatisha mara kwa mara kupitia police.

Litoke la kutokea utaona furaha watu waliyonayo. Tayari watu wana champagne wanasubiria tangazo rasmi
 
Umetoa mfano wa Lissu ambaye alikuwa hapa nchi kwa zaidi ya miezi 3 akasepa kwa njia ya kihuni. Kwa nini unamsemea wakati muda aliokuwepo hapa angefuatilia upelelezi wa shambulio dhidi yake?

Rejea kauli zake kwenye majukwaa ya kampeni, je, ziligusa kushambuliwa kwake zaidi ya kufitinisha Rais aliyeko madarakani na jamii. Huoni yeye Lissu ndiye mwenye silika ya visasi?
Kuanzia lini muhanga wa shambulio akafanya upelelezi na polisi kazi yao nini. Hivi wako watanzania bado wajinga kama wewe kweli katika hii karne.
 
Binafsi sifikiri kama hii "chuki" inatokana na tukio la Lissu pekee. Nafikiri ni zaidi sana ya hapo. Kuna matukio mengi tu ambayo yamezalisha hizi chuki.....na mengine hata hayakuwa ya lazima kutendwa kwa namna yalivyotendwa.
 
Back
Top Bottom