Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Kumbe unajuaChuki zao wana zi expresss humu tu mitandaoni huku mitaani hawathubutu
Mitaani watu wanaogopa maana wasiojulikana wapo kila sehemu Ila huku Mara nyingi ni ngumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe unajuaChuki zao wana zi expresss humu tu mitandaoni huku mitaani hawathubutu
Mimi ndio Sina akili hata chembe mkuuAnayemchukia magufuli ni mtu aliyenyimwa uwezo wa kupambanua mambo,asiyeona mbali
tena mwenye akili za kujua kuchamba tu
Kwahiyo wa humu mitandaoni wanatokea sayari gani?Chuki imo humu mitandaoni mitaani kuko safi mno hakuna chuki
Sawa. Basi acha watu wakazie na waosuala la vyeti feki lilianza awamu ya pili ya jakaya magufuli kaja kukazia tu.Halafu hao waliofukuzwa kazi wameonewa au sheria zimetekelezwa?
Tumekubaliana hakuna kitu mtoto mzuriJamani kuna nini kwani?[emoji848][emoji848]
alafu watu wangejiuliza ni asilimia ngapa ya watz wapo mitandaoniChuki imo humu mitandaoni mitaani kuko safi mno hakuna chuki
watz wapo mil 60. humu jf wapo wangapiKwa hiyo hawa waliomo humu Jf hawaishi mitaani?
Hiyo inaitwa demokrasi - yaani huyu anamwombea aongezewe miaka ya kuongoza taifa, wakati huo huo - mwingine anamchulia ugonjwa na kifo!Asubuhi hii kuna mtu nimemsikia akisema hajawahi kunywa pombe ila ikitangazwa jamaa ka RIP atakunywa pombe hadi alale bar. Hapa ndipo awamu ya tano ilipo wafikisha Watanzania.
Tulia dawa ikuingie Mama..Chuki imo humu mitandaoni mitaani kuko safi mno hakuna chuki
wanapresent asilimia ngapi ya milioni 60Nikiwa job jana, njemba zingine hazinywi pombe lakin wamekiri watapiga K Vant za kutosha na nyama choma.
Kwa sababu hao wa mitandaoni wana ishi angani na sio mitaani.. Hebu jiulizeni mlipo kosea mjirekebishe. Acheni kukebehi watu. Ati atoke ande Kariakoo!! Kwani Kariakoo hakuna walio mpa kura?? Ubaguzi hadi kwa maeneo. Ccm mmetufikisha pabaya.Chuki imo humu mitandaoni mitaani kuko safi mno hakuna chuki
Probability= ?wanapresent asilimia ngapi ya milioni 60
Wewe unzao za kunya tu lakini za kuchamba hunaAnayemchukia magufuli ni mtu aliyenyimwa uwezo wa kupambanua mambo,asiyeona mbali
tena mwenye akili za kujua kuchamba tu
tunasubiri kazi yake mola tusiokuwa walevi na sie tukalewe tulale barJamani kuna nini kwani?[emoji848][emoji848]
kwani sheria inasemaje mtu akiwa mahabusu au mfungwa anaruhusiwa kwenda kuzika akifiwa na mama au baba? je ukifanya kosa hufai kuwekwa rumande au kufungwa kisa mama au baba anakutegemea?R.I.P mama Kabendera
Huyu mama kila nikikumbuka kauli machozi yananilenga
kwani cc wa mitandaoni hatuishi mitaani?Chuki imo humu mitandaoni mitaani kuko safi mno hakuna chuki