ndio jibu hiloProbability= ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio jibu hiloProbability= ?
Kazi ipi ya mola tena jamani[emoji1751][emoji1751]tunasubiri kazi yake mola tusiokuwa walevi na sie tukalewe tulale bar
[emoji16][emoji16]unazidi kunivuruga we mkakaTumekubaliana hakuna kitu mtoto mzuri
Toka nimeamka nacheka balaa dah...leo tweeter moto jf pia motroooKababy kangu Wangari Maathai kamechekeshwa
Mtoto mzuri me sitaki kabisa nikuvuruge vuruge jamani[emoji16][emoji16]unazidi kunivuruga we mkaka
Unanikumbusha Lissu jana akiongea kwenye youtube, wakati anafafanua kwa nini inabidi kujua afya ya Rais wa nchi yetu! Alisema kwasababu ni sisi tuliompigia kura na kumuweka kwenye utawala! Kusema kweli nilishangaa sana kusikia Lissu anatamka bayana kwamba alimpigia kura Rais Magufuli na hakujipigia yeye! (Uchambuzi online TV)Kwani chuki inaonekana kwa macho mkuu? Unaweza kuona binadamu anakuchekea lakini ana jambo lake moyoni. Kwenye mitandao wanapata ujasiri wa kufunguka
🤣🤣🤣🤣Njoo basi wangu tucheke wote hapa kitandani huku umeegemeza kichwa chako kwenye kifua changu ukisikiza mapigo ya moyo tukisubiria kwa hamu the most anticipated breaking news ever!
COUNT DOWN TO GLORY!
Duh Lissu ndio afuatilie uchunguzi wa shambulio? Hvi Magufuli akitukanwa mitandaoni huwa anaenda kusimamia physically uchunguzi hadi wachochezi wakamatwe?muda aliokuwepo hapa angefuatilia upelelezi wa shambulio dhidi yake?
ya kutoa na kutwaaKazi ipi ya mola tena jamani[emoji1751][emoji1751]
Daaah naona umekasirika,lakini ukweli ni kwamba magufuli ni raisi bora afrika kwa sasa
Watu si ni hawa hawa !Chuki imo humu mitandaoni mitaani kuko safi mno hakuna chuki
Taharuki ya Nyoko hapa ni Bata tuKuna mijitu inajidanganya eti taarifa za kifo cha mtu katili zikitolewa italeta taharuki. Watu wanasubiria kwa haaamu sana kusikia hivyo tunywe bia mpka asubuhi. Baada ya dhiki sasa faraja.
Kwa hiyo hawa waliomo humu Jf hawaishi mitaani?
Wanao comment humu mitandaoni wanaishi wapi !?Chuki imo humu mitandaoni mitaani kuko safi mno hakuna chuki
Watumiaji wa mtandao tanzania wapo 28mil kwa mujibu wa data za TCRA.watz wapo mil 60. humu jf wapo wangapi
Sijakataa mkuu.Daaah naona umekasirika,lakini ukweli ni kwamba magufuli ni raisi bora afrika kwa sasa
28milkwenye mil 60 sample size yako ngapi