Unajua ni machozi kiasi gani ya wafanyakazi waliofukuzwa kwakisingizio cha vyeti fake yanatakiwa yafutwe? Tena wengine walibakisha nusu ya mwaka wastaafu na mafao wakanyimwa? Huyo mtu aliwezaje kufanya kazi zaidi ya miaka 30 na vyeti fake?Anayemchukia magufuli ni mtu aliyenyimwa uwezo wa kupambanua mambo,asiyeona mbali
tena mwenye akili za kujua kuchamba tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna mijitu inajidanganya eti taarifa za kifo cha mtu katili zikitolewa italeta taharuki. Watu wanasubiria kwa haaamu sana kusikia hivyo tunywe bia mpka asubuhi. Baada ya dhiki sasa faraja.
Ko wa mtandaoni wanaishi mbinguni siyo mtaani kwa meko.Chuki imo humu mitandaoni mitaani kuko safi mno hakuna chuki
Unaposema amesepa kihuni kuna mtu anamdai? Au umeona lisu analo jeshi la kupeleleza? Utumie akili kujibu hija Lissu.Umetoa mfano wa Lissu ambaye alikuwa hapa nchi kwa zaidi ya miezi 3 akasepa kwa njia ya kihuni. Kwa nini unamsemea wakati muda aliokuwepo hapa angefuatilia upelelezi wa shambulio dhidi yake?
Rejea kauli zake kwenye majukwaa ya kampeni, je, ziligusa kushambuliwa kwake zaidi ya kufitinisha Rais aliyeko madarakani na jamii. Huoni yeye Lissu ndiye mwenye silika ya visasi?
Kwahiyo walioko humu hawakai mitaani?Chuki imo humu mitandaoni mitaani kuko safi mno hakuna chuki
Kwamba kuna mtu atatolewa kafara kwa ajili ya maadhimisho ya pasaka hii?Pasaka Pasaka Pasaka inakaribia
Chiki imetamalaki kila mahali. Watu wameamua kuficha hisia zao mtaani sababu wanajua wakizionesha huko mitaani mtawaua kama ambavyo mmekuwa mkisema na kuwatisha mara kwa mara kupitia police.Chuki imo humu mitandaoni mitaani kuko safi mno hakuna chuki
Kuanzia lini muhanga wa shambulio akafanya upelelezi na polisi kazi yao nini. Hivi wako watanzania bado wajinga kama wewe kweli katika hii karne.Umetoa mfano wa Lissu ambaye alikuwa hapa nchi kwa zaidi ya miezi 3 akasepa kwa njia ya kihuni. Kwa nini unamsemea wakati muda aliokuwepo hapa angefuatilia upelelezi wa shambulio dhidi yake?
Rejea kauli zake kwenye majukwaa ya kampeni, je, ziligusa kushambuliwa kwake zaidi ya kufitinisha Rais aliyeko madarakani na jamii. Huoni yeye Lissu ndiye mwenye silika ya visasi?
SubiriChuki imo humu mitandaoni mitaani kuko safi mno hakuna chuki
Utakoma mwaka huu. Pitisha kura ya maoni huko mtaani 84% wanata taarifa za msiba zitangazwe mapema. Hiyo ni idadi sawa ya mliojiongopea wamewachagua.Chuki imo humu mitandaoni mitaani kuko safi mno hakuna chuki
Kwani mitandaoni kuna maroboti?Chuki imo humu mitandaoni mitaani kuko safi mno hakuna chuki
Tukio la lifu ni mfano tu, lakini ukiukwaji wa haki ni mkubwa sanaBinafsi sifikiri kama hii "chuki" inatokana na tukio la Lissu pekee. Nafikiri ni zaidi sana ya hapo. Kuna matukio mengi tu ambayo yamezalisha hizi chuki.....na mengine hata hayakuwa ya lazima kutendwa kwa namna yalivyotendwa.