Bila shaka tumepata picha kamili, uvunjifu wa haki huzalisha chuki ya kudumu

Hiyo ni tisa; kumi ni raia kuporwa haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka. Kitendo hiki kimeligawa taifa na kuinua chuki.
 
Nope, tupo wengi sana sababu the dude is doing great job for this country.. nyie wenye chuki nae bila hata sababu za msingi mpo wengi pia katika uchache wenu.
Mpo wengi na nani Wakati unaandika peke yako hapo
 
Acha ramli chonganishi chuki iko wapi yaani unaongela kuzibwa mianya ya wizi ndiyo chuki.Umepotea Wembe uleule wezi hamtapumua mpaka mnyooke
 

Na hii dhambi itamtafuna Stone yeye na Vizazi vyake vyote
 
Uko sahihi kabisa kwa 100%
 
Wengine hawa nao wana jambo lao
Your browser is not able to display this video.
 
Chuki imo humu mitandaoni mitaani kuko safi mno hakuna chuki

Huko mtaani hakuna anayethubutu kuonyesha hisia zake maana atahukumiwa
Bora niwe mjinga kuliko kuwa lofa ns mpumbavu, mithili ya nyumbu.

Haiingii katika akili aliyeshambuliwa anadai, nje ya nchi, kuwa anawajua waliomshambulia. Anarudi nchini hachukui hatua yoyote kusaidia upelelezi. AKILI ZA KUUNGANISHA
Jiwe ndio aliagiza ashambiliwe fullstop.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…