Bila tawala za sasa za Saudi Arabia, Jordan, Egypt, UAE, Kuwait kuondolewa madarakani, Israel itaendelea kushikilia ardhi ya Palestina kwa muda mrefu

Hata wakiondoa wana utaalamu gani ?
 
Huielewi Qur'an. Unataka kuitafsiri Qur'an kama biblia?

Qur'an hadithi na visa vilivyomo ndani yake vimelenga kutufundisha daima.

Aya ipo wazi kabisa, mpaka leo hii ina maana kubwa sana. Niambie hiyo aya umeielewa inasema nini? Bila kujidai unaitafsiri.
 
Usifikiri kwamba Wananchi wote wa nchi hizo ulizotaja ni Wajinga Kama Waarabu wengine. Hao wanajitambua.

Kuna mstari mwembamba Sana unaotenganisha kati ya Uislamu na Ugaidi.
Wajinga wapo wengi tu, wale wanaokubali kuuza utu wao kwa thamni ya starehe. Lakini kuna wale wachache wenye kuijuwa thamni ya utu, hao ndiyo watakaofanya mabadiliko.
 
tawala hizo zinatakiwa kuondolewa na nani? kw lengo gani?
 
Umejazwa ujinga ukakujaa, nani alikudanganya Mwarabu anapigana na kupingana na Myahudi? Mbona nchi za Kiarabu ndipo wanapoishi Wayahudi wengi tu mpaka leo hii? Jionee Wayahudi wanasema nini:

Your browser is not able to display this video.
 

View: https://x.com/NiohBerg/status/1819057557903675737
 
Waislamu wenzio
 
Umejazwa ujinga ukakujaa, nani alikudanganya Mwarabu anapigana na kupingana na Myahudi? Mbona nchi za Kiarabu ndipo wanapoishi Wayahudi wengi tu mpaka leo hii? Jonee Wayahudi wanasema nini:
Wewe kiajuza acha Uongo wenu wa Kiislamu hapa. Mumewafukuza wayahudi karibu wote toka nchi za kiarabu za kiislamu, ona hapa chini
 
Umesema kweli, maadui wa Uislam hawaiwachi ikaishi vizuri. Wameshasema wazi "aidha uwe nasi au ni adui yetu".

Mfano mzuri Afghanistan chini ya Taliban.
Iran inakwenda kuwa destabilized big time.Israel akimuangusha Ayatollah tu maandamano ya kuangusha utawala wa kiislam yanaanza iran.
Vurugu za ndani ya nchi za Gen Z wa Iran pamoja na wapigania haki za akina mama zinaanza.Mark my post.
Iran inaangushwa na wa Iran wenyewe!
 
Iran haihusiani kabisa na nada yangu, naamini wanajuwa kujihami.

Mada yangu ni ya nchi za Kiarabu, Iran siyo nchi ya Kiarabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…