Bila UMAFIA hujawa tajiri bado. Umafia ndio dira ya utajiri

Bila UMAFIA hujawa tajiri bado. Umafia ndio dira ya utajiri

Mpaka ufikie level ya kuwa tajiri, ni lazima uwe umefanyiwa umafia hadi na wewe unakuwa mafia mkubwa.

Utajiri ni himaya, kila jicho linaiangalia himaya kwa husda. Kuna uchawi, ujambazi, figisu na michezo yote michafu.

Ukiwa tajiri utajilinda wewe na uzao wako kiroho, kimwili na kitàaluma ili usipitwe na teknolojia.

Bila kuwekeza kwenye teknolojia utajiri wako utakuwa ni wa muda mfupi tu.

Maskini ni tatizo kubwa. hayo mawazo mgando yanakuja ukiwa na njaa. njia za kumiliki hela halali zipo nyingi bila umafia.

Maskini akishafeli maisha huwa anaona kila mwenye hels ni tapeli.

Tafuta hela tu hayk mawazo mgando utayasahau
 
Nilisha wahi kuhangaika sana na maisha ya utafutaji. Victim wa kuibiwa nikawa mimi, victim wa kutapeliwa nikawa mimi. Michezo yote michafu nafanyiwa mimi, hadi kusingiziwa uongo mkubwa.

Kwa kweli kuufikia utajiri wenu ni kazi kubwa na ngumu.

Nilianzisha kiwanda kidogo tu, vita haziishi, hadi kikatengenezwa tukio la moto
Usichoke kupambana.
 
Weeeeee nenda kaulize wafanyakazi wake anavyowanyoosha
Anawanyoosha nini? Wacha porojo.

Nawafahamu toka wafanyakazi alioanza nao. Kina Ma K, kina Aziz. kina marehem Jidawi.

Namjuwa Bakhresa toka anauza ngozi za viatu, mpaka akatajirika kwa kuuza majongoo ya bahari (sea cucumbers) biashara aliyopewa na rafiki yake waliokuwa pamoja Unguja, Mchina Mzanzibari anaitwa Apang.

Utanieleza nini na watu wa kariakoo wewe.

Ana wafanyakazi kila namna toka Watanzania mpaka wazungu na wahindi kutoka India siyo wahindi wa Tanzania tu. Na ana viwanda mpaka nje ya Tanzania.
 
Kabisa mkuu....matajiri wanaishi maisha ya ajabu sana..yupo mmoja kula yake ni ya bei ya chini mno...haangalii TV hana starehe yeyote.......halafu anasoma sana...hajichanganyi na watu....akipewa mwaliko anatuma mwakilishi......T shirt zake na jeans zina miaka zaidi ya 10.....report za biashara zake anapenda kuziweka kwenye graph,histograms,pie chart etc.
Utajiri ni kufurahi na marafiki huyo ni mtumwa wa pesa
 
Anawanyoosha nini? Wacha porojo.

Nawafahamu toka wafanyakazi alioanza nao. Kina Ma K, kina Aziz. kina marehem Jidawi.

Namjuwa Bakhresa toka anauza ngozi za viatu, mpaka akatajirika kwa kuuza majongoo ya bahari (sea cucumbers) biashara aliyopewa na rafiki yake waliokuwa pamoja Unguja, Mchina Mzanzibari anaitwa Apang.

Utanieleza nini na watu wa kariakoo wewe.

Ana wafanyakazi kila namna toka Watanzania mpaka wazungu na wahindi kutoka India siyo wahindi wa Tanzania tu. Na ana viwanda mpaka nje ya Tanzania.
Baada ya kutumia njia za kiislam ili uwe tajiri, binafsi umeweza kufikia japo punje ya ulezi ya utajiri wa Bakhresa?
 
Back
Top Bottom